X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #21
Huyu mdau yuko sahihi asilimia mia , binafsi sio PM tu, hata ukinifuata kwa meseji ya kawaida ukaanza na salamu ya aina hiyo hasa kwa namba ambayo siijui na haukujitambulisha kwenye hiyo salamu yako siwezi sikujibu...hii inaaply sana kwa mtu ambaye hamfahamiani,! ni kwamba kama umeamua kusalimia, then ambatanisha utambulisho na kusudi la hayo mawasiliano. huu ni utaratibu mzuri na sahihi kabisa wa kuwasiliana unaothamini na kuheshimu muda na nafasi wa mhusika.
Salamu inasaidia Nini labda tuanzie hapo. Usiposalimiwa unapungukiwa ama unaongezeka.Aisee tuna mitazamo tofauti sana, yaani kumsalimia mtu ni kumlainisha ili asaidiwe??
Mmefika huku??
Mnatukosea sana wapenda salamu, tumepanda wote basi, tupo siti moja halafu hutaki kusalimiwa ati utaombwa, why unajishuku?? Wewe ni maskini kiasi kwamba huwezi saidia??
Hujui kusema hapana hata ukishawishiwa??
Huna msimamo, kwamba salamu tu inakutoa kwenye reli??
Kuna msemo kua " ukiwa roma ishi kam waroma" sio mara zote, jiongeze.Salamu inasaidia Nini labda tuanzie hapo. Usiposalimiwa unapungukiwa ama unaongezeka.
Na ukisalimiwa unapata Nini labda.
Kuwa serious toa reasons usije ukasema kuwa tumekuta watu wanaishi ivyo Basi inabidi na sie tunafuata ivyo ivyo
= customer.Akikupa salam, jibu hivi….. Salama, karibu nikusaidie…..
simple ataeleza shida zake. Watu wa costumer care wanawezaje?
Asante Bi faiza, ngoja nirekebishe.= customer.
You're just rationalizing your beliefs.Kuna msemo kua " ukiwa roma ishi kam waroma" sio mara zote, jiongeze.
Salamu ni mwanzo wa mazungumzo, salamu ndo itadetermine kua niendelee kuongea/kujieleza au niishie hapa.
Hakuna taifa lisilo na salamu mkuu, kama lipo litaje, kwamba ukifika tu moja kwa moja unaanza kueleza shida zako.
Hizi kampuni za mawasiliano zinahudumia maelfu ya wateja kila siku, lakini muhudumu akipokea simu yako ataanza na salamu na kumaliza na kuaga, unadhani ni kwanini??
Salamu inalainisha, salamu ni njia moja wapo ya kujua mood ya huyo unaeongea/kuchart nae, ukimwambia mambo akajibu "P" unajua huyu ni mtu wa namna gani nideal nae vipi.
Ukimuambia mambo akajibu "salama habari mtumishi" utajua udeal nae vipi.
Unapouliza salamu ina maana gani, tunarudi kule kwa bibi FaizaFoxy kua huko shule ulienda kusomea nini maana hizo ni ishu ndogo za msomi kung'amua.
Kijana una maneno makali makali, kumbe ndio sababu hupendi salamu.You're just rationalizing your beliefs.
Pia mie sijaenda shule na nimejaa ujinga. Una lingine, ama unapenda kusalimiwa salimiwa utadhani unaongezeka Nini. Kwa iyo mie ndiye nipambane na mood yako.
Nimekuambia kuwa adi raia wengine wanalalamika kuwa tunapenda mno salamu wabongo.
Ishi Kama Roma kwani aliyesema yeye Ni Nani sio kuwa Ni principle.
So ukienda nchi wanaume wanatoa mgundu na wewe utautoa mgundu wako kwa mwanaume mwenzake?
Mana si unaishi Kama Roma ukiwa Roma ama niaje. Usikariri unabeba Shana ama kauli Kama ilivyo unakuja nayo mazima mazima.
Shenzi kabsa weweYani sijui tunawasaidiaje awa ndugu zetu...Yani kwakuwa mtu ana namba Yako basi anakuandikia jinsi anavyo jisikia yeye...!
Nashukuru mkuu🙏🙏🙏🙏Shenzi kabsa wewe
Binadamu ama ubongo wa binadamu huwa unaelewa kwenye Raha ama kwenye maumivu. Ndio Mana unaona jeshini watu wanafundishana kwa matusi na wanaelewa mno.Kijana una maneno makali makali, kumbe ndio sababu hupendi salamu.
Kinywa chako ni kichafu kama choo cha mabibo sokoni.
Hata choo hicho nadhani Ni kisafi like 10^900000000 times ya kinywa icho. Let it be according to your beliefs and thoughtsKijana una maneno makali makali, kumbe ndio sababu hupendi salamu.
Kinywa chako ni kichafu kama choo cha mabibo sokoni.
Huu ujumbe umfikie huyu kijana. Sitajibu msg yake hadi aseme nini anataka sina muda wa kuchat.Umenielewa mkuu...hivyo ndivyo inavyo takiwa sasa...mtu anakufuata PM anakuandikia kimeseji "mambo mkuu"
Anasubiri umjibu...huku akiwa hakujui hajui kuwa pengine kwa wadhifa wako hiko kimeseji ni sawa na kukuvunjia heshima🤣🤣🤣
Watu wabadilike mambo mengi muda ni mchache sana...mtu mzima unapata wapi muda wa kujibu kimeseji kilicho andikwa "mambo mkuu" 🤣🤣🤣🤣
Huu ujumbe umfikie huyu kijana. Sitajibu msg yake hadi aseme nini anataka sina muda wa kuchat.View attachment 2935139
Hongera ndugu yangu...tuwakilishe vyema huko kwa mawaziri...!Mnavyoringa sasa , mngejua kuna mawaziri tunachart nao daily usiku wa manane haki , mngewajibu tu vijana wa watu .