Ushauri kwa mnaohitaji misaada mbali mbali mtandaoni/popote

Ushauri kwa mnaohitaji misaada mbali mbali mtandaoni/popote

Kwahiyo huu uzi mnabishana kuhusu salamu hafu mnajifanya watu flani mpo busy hamna muda wa kuchezea.
 
Waziri kwako unamuona ni Mungu. Hata huyo waziri angeniandikia mambo wakati namba siijui nisingemjibu. Go straight to the point. Kaka kwema. Kuna abcdefg
Rafiki waziri kwangu si Mungu ila najaribu kuonesha kuwa kuna muda inabidi kuishi na watu vile walivyo .

Actually na mimi nilikuwa kama wewe sikupenda mtu aanze na bla bla badala yake anyooke kwenye point .

Ila sasa tuko kwenye kizazi cha Generation Z vijana hawaelewi hata useme nini hivyo kuna muda unaishi nao kulingana na hulka na silka zao as long as haupungukiwi na chochote mkuu .

Nakupa mfano , nimewahi kuwa napogiwa simu na mtu simjui na yeye ana shida kwaangu kichekesho anapiga simu napokea anasema habari mkuu nasema salama , alafu ananiambia niambie 🤔 kiukweli nilikuwa najawa na hasira sana ila mwisho ikabidi nikubali mazingira na watu wa dunia yangu ya Tanzania kuwa sina namna zaidi ya kuendana nao .

Kataa kubali sio kila anayetuma meseji za salamu hataki kwenda direct kwenye point anaomba hela au msaada wowote wengine wanakuwa ni wema kwako kwa baadhi ya either taarifa utakazopewa ndugu .

Ni hayo tu kaka mkubwa ila nimetaja mawaziri sio kwakuwa ni lolote wala chochote ila ni kwakuwa hulka na silka ya watanzania wengi ni kuwa wajivuni hivyo kwa hizi tabia ninhetegemea hata wao wajivune wasiwe wanajibu meseji zetu hata usiku wa manane .

Note: Sio mawaziri wote ndugu yangu .
Karibu Keko _ Akida ni wikiendi imeanza kaka , njoo tufurahi maisha ni haya haya , kwani yuko wapi mama yangu ? Baba yangu ? Je Magufuli yupo ?
Basi tuishi kwa amani na furaha sie ni wapitaji .
 
Rafiki waziri kwangu si Mungu ila najaribu kuonesha kuwa kuna muda inabidi kuishi na watu vile walivyo .

Actually na mimi nilikuwa kama wewe sikupenda mtu aanze na bla bla badala yake anyooke kwenye point .

Ila sasa tuko kwenye kizazi cha Generation Z vijana hawaelewi hata useme nini hivyo kuna muda unaishi nao kulingana na hulka na silka zao as long as haupungukiwi na chochote mkuu .

Nakupa mfano , nimewahi kuwa napogiwa simu na mtu simjui na yeye ana shida kwaangu kichekesho anapiga simu napokea anasema habari mkuu nasema salama , alafu ananiambia niambie 🤔 kiukweli nilikuwa najawa na hasira sana ila mwisho ikabidi nikubali mazingira na watu wa dunia yangu ya Tanzania kuwa sina namna zaidi ya kuendana nao .

Kataa kubali sio kila anayetuma meseji za salamu hataki kwenda direct kwenye point anaomba hela au msaada wowote wengine wanakuwa ni wema kwako kwa baadhi ya either taarifa utakazopewa ndugu .

Ni hayo tu kaka mkubwa ila nimetaja mawaziri sio kwakuwa ni lolote wala chochote ila ni kwakuwa hulka na silka ya watanzania wengi ni kuwa wajivuni hivyo kwa hizi tabia ninhetegemea hata wao wajivune wasiwe wanajibu meseji zetu hata usiku wa manane .

Note: Sio mawaziri wote ndugu yangu .
Karibu Keko _ Akida ni wikiendi imeanza kaka , njoo tufurahi maisha ni haya haya , kwani yuko wapi mama yangu ? Baba yangu ? Je Magufuli yupo ?
Basi tuishi kwa amani na furaha sie ni wapitaji .



Umejibu vizuri Sana

JF imekuwa na watu wajinga Sana . now days

Hawa mawaziri nimefanya nao kazi Sana huwezi kuwakuta wanadharau watu

Humbleness is KEY of life.
 
Binadamu ama ubongo wa binadamu huwa unaelewa kwenye Raha ama kwenye maumivu. Ndio Mana unaona jeshini watu wanafundishana kwa matusi na wanaelewa mno.
Bila kuongea ivyo usingeelewa . Niambie unaishi Kama waroma ukiwa Roma so unakubaliana na kauli iyo. Jikite hapo Sasa sema iyo nimemtumia psychology tricky
Hakuna ulichokua unaelewesha hapo zaidi ya shambulizi.
Kuishi kama Waroma haimaanishi ufanye kila kitu wao wanafanya, kuishi kama waislam haimaanishi uishi 100% kama wao maana sio rahisi kwa mgeni wa maeneo hayo.
Sijui unaelewa hapo..?

Umeenda ugenini, wote mnakula kwenye sahani moja, wenzio kabla ya kula wanasali kwa pamoja, kisa wewe husali utaanza kudokoa pasi na kuwasubiri wamalize sala zao mle pamoja??
Hiyo ikiwa na maana kua usifanye jambo kwenye jamii hiyo ambayo makwazo kwao, ni emotional intelligence tu inahitajika kuelewa hilo.
 
Yaani huna mda hata wasalamu?, sisi wa Africa salamu ni Bora kuliko chochote

Yaani mitaa yetu ukijichanganya kutaka msaada bila salamu huenda ukasidiwa sicho.

Lazima uanze kuwajulia hali ndo ueleze shida Yako.

Kwamba wewe uko busy mpaka unaona salamu kwako inachelewesha mda?
Apa ameyumba Mkuu kwanza anatufokea
 
Rafiki waziri kwangu si Mungu ila najaribu kuonesha kuwa kuna muda inabidi kuishi na watu vile walivyo .

Actually na mimi nilikuwa kama wewe sikupenda mtu aanze na bla bla badala yake anyooke kwenye point .

Ila sasa tuko kwenye kizazi cha Generation Z vijana hawaelewi hata useme nini hivyo kuna muda unaishi nao kulingana na hulka na silka zao as long as haupungukiwi na chochote mkuu .

Nakupa mfano , nimewahi kuwa napogiwa simu na mtu simjui na yeye ana shida kwaangu kichekesho anapiga simu napokea anasema habari mkuu nasema salama , alafu ananiambia niambie 🤔 kiukweli nilikuwa najawa na hasira sana ila mwisho ikabidi nikubali mazingira na watu wa dunia yangu ya Tanzania kuwa sina namna zaidi ya kuendana nao .

Kataa kubali sio kila anayetuma meseji za salamu hataki kwenda direct kwenye point anaomba hela au msaada wowote wengine wanakuwa ni wema kwako kwa baadhi ya either taarifa utakazopewa ndugu .

Ni hayo tu kaka mkubwa ila nimetaja mawaziri sio kwakuwa ni lolote wala chochote ila ni kwakuwa hulka na silka ya watanzania wengi ni kuwa wajivuni hivyo kwa hizi tabia ninhetegemea hata wao wajivune wasiwe wanajibu meseji zetu hata usiku wa manane .

Note: Sio mawaziri wote ndugu yangu .
Karibu Keko _ Akida ni wikiendi imeanza kaka , njoo tufurahi maisha ni haya haya , kwani yuko wapi mama yangu ? Baba yangu ? Je Magufuli yupo ?
Basi tuishi kwa amani na furaha sie ni wapitaji .
Wewe unatoka nje ya point. Maneno mengiiiii. Simu ikipigwa napokea namba yoyote kwasababu shughuli zangu zinanilazimu kupigiwa na watu tofauti kila siku. Ila msg zisizo na kichwa wla miguu sihangaiki nazo, ndivyo ilivyo. Hayo mambo ya nani sijui yupo hayupo ni nje ya mada kabisa.
 
You
Hakuna ulichokua unaelewesha hapo zaidi ya shambulizi.
Kuishi kama Waroma haimaanishi ufanye kila kitu wao wanafanya, kuishi kama waislam haimaanishi uishi 100% kama wao maana sio rahisi kwa mgeni wa maeneo hayo.
Sijui unaelewa hapo..?

Umeenda ugenini, wote mnakula kwenye sahani moja, wenzio kabla ya kula wanasali kwa pamoja, kisa wewe husali utaanza kudokoa pasi na kuwasubiri wamalize sala zao mle pamoja??
Hiyo ikiwa na maana kua usifanye jambo kwenye jamii hiyo ambayo makwazo kwao, ni emotional intelligence tu inahitajika kuelewa hilo.
You nailed it with positive energy frequency sir
 
Back
Top Bottom