Ushauri kwa Rais na washauri wake: Anzisha vipindi vya televisheni kusikiliza kero za wananchi na kupokea simu zao

Ushauri kwa Rais na washauri wake: Anzisha vipindi vya televisheni kusikiliza kero za wananchi na kupokea simu zao

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
Ushauri kwa Rais na watu wake, hii itasaidia sana kusikiliza kero za Tanzania nzima kwa wakati mfupi. Anaweza kuwa live kwenye TV na radio. Kuliko sasa hivi anatupotezea muda bara barani anafunga bara bara na ni hatari kwake.

Hakuna mkuu wa wilaya au mkoa anayeweza kuzuia mwananchi asipeleke kero zake. Labda kama unafanya maigizo ya kuwapanga watu kama meko (scripted).
 
Usimfundishe tabia za polepole

Mama mwache atumie akili zake yupo fresh tu

Madam SSH songa mbele
 
Yaani mpaka Rais asikilize kero za mtu mmoja mmoja, ina maana mifumo iliyopo imefail, na kwa maana hiyo viongozi huko chini hawatimizi majukumu yao full stop. Kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom