Ushauri kwa Sabaya: Acha! Huko unakokwenda siko

They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.
 
Order from the above.....
hiyo sio defence wafatilie NAZI Nurambeg Trials askari wa Hitler walivyokutwa na hatia na hatimae kunyongwa.......
 
Nimefurahi sana Mpango na Luoga kutajwa , waje wajitetee tuone , tulionya kuhusu uteuzi wa Dr Mpango kuwa Makamu wa Rais , hii ni kwa sababu huyu alihusika na uporaji wote wa fedha za watu kuanzia kwenye akaunti zao hadi Bureu De Change
Na ndiyo maana report ya juzi ya CAG aliyoifanya BOT imefinyiwa kwa ndani.
 

sizani kama kuna kosa kuwataja waliokuwa wanamtuma sabaya kaamua kumwaga mboga,
 
Kwa kifupi Sabaya katuthibitishia kuwa Mwendazake aliku katili sana...

Kumbe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa maamuzi yake....
 
mimi nashangaa watu hapa kuona ajabu saa baya kutaja hao aliyowataja,ni mtu mupubavu tu ambae hana uelewa wa vile ccm inafanya kazi,ccm ni genge la majambazi, wote hufanya kazi kwa maagizo toka juu, hakuna vile saa baya alikuwa anateka anaua, kubadikia kesi watu, kufanya hata vijana wengine kufungwa jela miaka 30, kwa kesi za kubadikiwa kubuka yule diwani wa chadema saa baya kamubadikia kesi ya kubaka mwanafuzi wa kike, na yule diwani kashida ile kesi sababu binti alisema hajawai lala na mume wingine maishani wake, ajabu dna ilithibitisa yule diwani sio baba mtoto, na kwa wale ambao wana uelewa mdogo je unafikiria mahakama kwa sasa hivi kwa kesi ya mbowe hawapokei maagizo toka ikulu? yawezekana aje ukonga kukakosa gari ya kumupeleka mbowe kortini? wabongo wenzangu tusiwe wajinga au watu weye fikila duni, vile au kile saa baya anasema is just a drop in the ocean of how ccm works, mpango kubuka report ya bot? bona mama samia hakuiweka wazi kwa umma na ile ni hela yetu walipa kodi? anyway lots of us nhave no ability to think in a proper way and mannner, safari bado ndefu sana bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…