Ushauri kwa Serikali: Ajira za mkataba ndiyo suluhisho pekee la uhaba wa ajira nchini

Ushauri kwa Serikali: Ajira za mkataba ndiyo suluhisho pekee la uhaba wa ajira nchini

wataajiriwa wale wanaojitolea au wapiga tempo kwenye taasisi ili tayari wawe na uzoefu wa kazi!!PLAN INA WEZEKANA KABISA KAMA WADAU WAKIKAA NA KUTUNGA KANUNI NA SHERIA ZA KAZI NA AJIRA NCHINI!!!

Mnhhhhh graduates wengi wana practical element kwenye masomo yao ila hii sidhani kama kumchagua between fresh graduate au graduate ambae aliefanya kazi vizuri for five years muajiri atachagua yupi??,,, ndio una plan yes kwa nchi yetu kufanya kazi?! NO
 
Ila jamaa wawili kuiba billion 50 serikalini inawezekana😅?
Nenda na kipaza sauti bungeni kisha uwaambie billion 50 zimeibwa ambazo zingesaidia Tatizo la ajira LOL....nchi yetu ina ukiritimba mwingi ila ambacho mna suggest hakiko valid, sio kwa nchi yetu
 
Hela inayopotea kwa wizi na ufisadi ni nyingi kuliko ambayo ingetosha kulipa watu 5M kwa mwezi! Kwa sasa tuna tozo pia mbona linawezekana!

Sasa kumbuka hapa tunazungumzia mpango maalumu ili kunusuru janga la ajira kwa graduates! Yani lengo ni upewe hela nyingi kwa muda mfupi ili upishe wenzio! Mbona hili swala liko practical sana.

Ambaye ataonekana hatoshi pia ataondolewa kupisha wengine, ili kulinda ufanisi! Cycle ya ajira inakuwa ya muda mfupi tu.
Hela inayopotea kwa wizi ingenunua madawa, kuhakikisha maji na umeme ni wa uhakika na unafika kila mahali, vyuo Vinakua free n.k ila isingetumika kuweka policies zitakazowafanya watu wengine wawe stressed and depressed,kisa kupoteza Ajira,Hakuna system hii duniani hakuna, kumpa huyu kazi na kumny'ang'Anya mwingine,,,
 
Daah mada ni nzuri kuichangia,,,mi naona wangepunguza umri wa kustaafu hadi 40yrs maana tuna asume mtu ameanza kazi akiwa na umri wa 25 yrs kwa hiyo atatumikia zaidi ya miaka 15,hivyo akiachishwa kazi atakuwa na nguvu za kuendelea na shughuli nyengine za ujasilia mali,pia ukomo wa madaraka kisiasa iwe kugombea ni awamu moja except presidential post
 
Anakua na mtaji wa kuanzisha ujasiria mali wowote ule sio sawa na kukosa ajira kabisa!!
Unafahamu thamani ya uzoefu kazini? Ukiajiriwa leo mwajiri hatofaidi peak ya utendaji wako mpaka angalau baada ya miaka m5..

Ni sawa na kusajili mchezaji na kumwacha bure aondoke akiwa kwenye peak. Hata hivyo tatizo la ajira litaongezeka teknolojia inavyokua. Itafika kipindi wahasibu hawatahitajika sana sababu ya technology.

Siku ukisikia kazi zote zitafanyika through tin mpaka kumlipa mtu wa kukusaidia kutoa gari lililodumbukia mtaroni na software zikawa bora na efficiency kuhandle hizo details hapo wahasibu watakuwa kwenye hatari kubwa ya ajira.
 
[emoji1666] sawa mr.extrovert ila tusubiri kidogo Hadi 2030..ili tuupeleke mswada bungeni.
Mkuu ni idea tu! Nchi yetu sote hii sasa hamna sababu wengine tule msoto wengine muinjoy wakati degree wote tunazo na tunahitaji kuwa na maisha pia tufanye ambayo wenzetu mnayafanya.
 
Kila mwaka wanavyuo wengi wana graduate na kurundikana mtaani bila ajira huku wakihangaika kutafuta ajira bila mafanikio. Serikali kama mdau wa ajira nchini inapaswa kuja na wazo la ajira za mkataba kama ifuatavyo;-

1.Kwenye utumishi wa umma:
Mfumo wa ajira za maisha uondolewe yaani nesi, daktari, mwalimu n.k badala ya ajira zao kuwa za maisha ziwe za mkataba wa miaka mitano hadi kumi tena wakilipwa mishahara minono ili mkataba unapoisha mtumishi akajiajiri ili kuendeleza maisha yake! Hii itasaidia serikali kuajiri watumishi wapya wanaotafuta ajira kila siku na kupunguza uhaba wa ajira nchini!

2.Kwenye siasa:
Serikali itunge sheria itakayosimamia vyama vya siasa kutorudia kuteua majina yale yale kwenye uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani kila baada ya miaka mitano. Kuwe na ukomo wa utumishi wa kisiasa kwa miaka mitano mitano ili kuwapa nafasi wengine wenye sifa na vigezo vya kielimu vikichukuliwa kama sifa kuu mojawapo ya uteuzi. Angalau Shahada ya kwanza kwa ubunge na Astashahada kwa udiwani. Hii itatoa fursa kwa wengi kupitishwa na vyama vya siasa kwenye uchaguzi na kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Nawakaribisha kwa mjadala huru na mwenye mawazo mbadala aongezee.
Wazi lako Ni zuri kijana tumelisikia ila haliwezekani.
 
katika kazi kama ya udaktari ambayo inahitaji mtu mwenye experience hio idea yako haitakua applicable..

Daktari kafanya kazi miaka mitano anajua magonjwa yote ya watoto, akielezewa tu shida ya mtoto kashapata jibu juu ya nini kinamsumbua mtoto, daktari mwingine ameshazoea kufanya upasuaji bila hofu yoyote, leo hii umfukuze kazi umlete Daktari anayeanza na zero? SIO KWELI.
Kwa mlengo wa kuongeza ajira yupo sahihi Ila ufanisi katika kazi ndo ameboronga uyu kijana kwaio msamehe ndo amemaliza chuo anatafuta ajira
 
tena wakilipwa mishahara minono
Kuwalipa mishahara minono inaweza isiwe suluhisho kwa sababu tatizo sio ajira chache,tatizo ni kuwa serikali pemgine bajeti ya kuajiri watu wengine haitoshi.

Mfano una watu 10 unawalipa laki kila mtu manake kila mwezi serikali itatoa milioni moja kulipa mishahara,wakati huo kuna watu mtaani hawana ajira pengine pesa haitoshi serikalini.

Sasa ukija wewe ukasema hawa watu 10 wafanye kazi mwezi kisha wapishwe wengine kumi,lakini ukataka hawa 10 walipwe laki mbili kila mtu,hii maana yake kwa mwezi serikali itatoa 2M kulipa mishahara yaani gharama itakuwa kubwa kuliko mwanzo.

Sasa kama ghharama ni kubwa kuliko mwanzo na pale mwanzo serikali iloshindwa kuajiri kwa sababu ya bajeti haitoshi hapo itakuwa hakuna tulishoishauri serikali zaidi ya kuiongezea gharama tu.

Kwa sababu tunaasuume kwamba serikali haiajiri kwa sababu ya pesa ya kuwalipa waajiriwa wapya hakuna,hivyo kuongeza mishahara kwa watu wa idadi ile ile huku wakibadilishana hao gharama ambayo serikali ikiikimbia ndio itakuwa mara mbili.

Ingekuwa bora kwa upande wangu useme kwamba serikali iajiri kwa mkataba kwa mishahara ile ile,au ipunguze mishahara kama mtu anapokea laki tatu apewe laki na nusu ili aajiriwe mwingine,SINA MAANA KWWMBA HAYA NDIO MAAMUZI BORA YA KUTATUA CHANGAMOTO YA AJIRA,ILA TU NIMESHAURI KWA MUJIBU WA UZI WAKO.
 
Acha kudharau mawazo yake. Ana point ya msingi.

Exeption chache kama hizo za madaktari zinaweza kuwekwa.

Ila hii itapunguza sana suala la watu kujisahau makazini.
Mi nawaza hawa maaskari uwalete mtaani
 
Acha kudharau mawazo yake. Ana point ya msingi.

Exeption chache kama hizo za madaktari zinaweza kuwekwa.

Ila hii itapunguza sana suala la watu kujisahau makazini.
Hata madaktari wanapaswa kuajiriwa kwa mikataba tu cv yake ndiyo itambeba kama ana tabia nzuri na awajibika atarenew mkataba wake,pia mtu atajiuza kama bidhaa kutokana na uwezo wake na experience,yuko sahihi kabisaaa
 
Sio kweli hii haingezi nafasi za ajira, Sana Sana itaongeza gharama kwa serikali na ujue pia ujuzi ni asset,.
Halafu sio Kila raia lzm ajiriwe na serikali
Na hata ikifanya hivyo waliopo maofisin ndio watakopata hizo ajira.
 
Hii thinking quality yako ni mbovu sana,Im so sorry kukuambia ukweli!

Yaani unaamini sekta ya umma ndio itoe ajira?

Unaamini ajira hizo chache zizungushwe kwa wananchi wale leo zamu ya huyu kua na kazi kesho zamu ya yule kua na kazi na yule kutokua na kazi?

Badala useme kifanyike nini ajira nyingi zijengwe kila mtu apate ajira seriousya kudumu,wewe ajira mbili hizo hizo zizungushwe kwa wananchi milioni 60?

Poor thinking kabisa
kwani miaka yote sekta gani inayotoa ajira nyingi?Binafsi umma???kama ni umma kwanini tusiboreshe ajira hizo???LETA FIKRA MBADALA JAMVINI ACHA KUSHAMBULIA MTOA MADA!!
 
Hii thinking quality yako ni mbovu sana,Im so sorry kukuambia ukweli!

Yaani unaamini sekta ya umma ndio itoe ajira?

Unaamini ajira hizo chache zizungushwe kwa wananchi wale leo zamu ya huyu kua na kazi kesho zamu ya yule kua na kazi na yule kutokua na kazi?

Badala useme kifanyike nini ajira nyingi zijengwe kila mtu apate ajira seriousya kudumu,wewe ajira mbili hizo hizo zizungushwe kwa wananchi milioni 60?

Poor thinking kabisa
kwani miaka yote sekta gani inayotoa ajira nyingi?Binafsi umma???kama ni umma kwanini tusiboreshe ajira hizo???LETA FIKRA MBADALA JAMVINI ACHA KUSHAMBULIA MTOA MADA!!
 
Hii thinking quality yako ni mbovu sana,Im so sorry kukuambia ukweli!

Yaani unaamini sekta ya umma ndio itoe ajira?

Unaamini ajira hizo chache zizungushwe kwa wananchi wale leo zamu ya huyu kua na kazi kesho zamu ya yule kua na kazi na yule kutokua na kazi?

Badala useme kifanyike nini ajira nyingi zijengwe kila mtu apate ajira seriousya kudumu,wewe ajira mbili hizo hizo zizungushwe kwa wananchi milioni 60?

Poor thinking kabisa
kwani miaka yote sekta gani inayotoa ajira nyingi?Binafsi umma???kama ni umma kwanini tusiboreshe ajira hizo???LETA FIKRA MBADALA JAMVINI ACHA KUSHAMBULIA MTOA MADA!!
 
Ile option ya Experience required itafanya ku-recycle walewale ambao mkataba umekwisha...., Nothing beats Experience...

Tatizo tumeacha ku-base kwenye utendaji bali tuna-base kwenye kipato..., yaani jinsi ya ku-share kipato kidogo kilichopo..., I wish mentality zetu zingebadilika badala ya kugombania kidogo kilichopo tungejitahidi kutengeneza kingi zaidi

Nothing beats experience?!? Are you for real Chief??!

As of current, we are in a Era that Talent, Persistence & exceptional attitude of work is a major factor.

In today’s era, experience is just / should just be an added value!!
 
Back
Top Bottom