Ushauri kwa Serikali: Nashauri Serikali iwanyang'anye passport za kusafiria wale wote waliotukana, kudhihaki na kumsema vibaya Rais wetu

Ushauri kwa Serikali: Nashauri Serikali iwanyang'anye passport za kusafiria wale wote waliotukana, kudhihaki na kumsema vibaya Rais wetu

Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu.

Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi wale wanaoishi ughaibuni.

Hawa mabwana wamekuwa wakitukana, kudhihaki na kumdharau sana Rais wa nchi yetu na wamekuwa wakifanya hivyo kupitia mitandao ya kijamii.

Binafsi nimekuwa nikikerwa sana na hawa watu waliokosa hekima na hata chembe ya heshima na adabu ndani ya mioyo yao.

Pengine ni mihemuko ya kiasiasa walio nayo kutokana kujenga mifumo ya siasa za kishabiki ndani yao.

Mimi kama raia mwema na mzalendo wa kweli, nimekuwa nikiwaza kitu kwamba mbali na adhabu za kuwapeleka mahakamani naishauri serikali yangu iwaongezee na adhabu nyingine ya kuwanyang'nya passport zao za kusafiria kwasababu passport ni mali ya serikali kupitia taasisi yetu ya uhamiaji.

Hivyo nawaomba uhamiaji wawanyang'anye passport hizo kwasababu wemeshindwa kuzitumia kwa heshima na adabu.

Lakini pia nawashauri TCRA watafute vijana wabobezi kwenye fani ya mitandao ili wawafuatilie watu kama hawa popote walipo. Kwasababu haya mambo yanawezekana.

Mbali na kufuatilia wezi wanao tutapeli fedha kwenye mitandao, tafadhali TCRA isaidieni serikali kufuatilia taarifa za watu wanamna kama hiyo. Kama mmekosa vijana hao mnaweza kuomba ushauri kwenye kitengo cha mawasiliano nchini China wao wanafanyaje.

Ningependa swala la kunyang'nya passport lihusiane na watuhumiwa ambao wanaitukana Serikali wakiwa nje ya Tanzania. Pamoja na watuhumiwa ambao wanamtukana Rais wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.

Mfano mtuhumiwa anayewaita waandishi wa habari na kumtukana Rais pamoja na serikali ya Tanzania mbele ya waandishi wa habari hao nje ya mipaka ya Tanzania. Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Pili mtuhumiwa anaye kwenda kwenye kituo cha kurusha matangazo ya habari nje ya mipaka ya Tanzania na kuanza kulisimanga vibaya taifa letu pamoja na kumsimanga vibaya Rais wetu.
Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Kwa hivyo ili kumfunza adabu mtuhumiwa huyo inatakiwa anyang'anywe passport ili abaki ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi kuheshimu taifa lako akiwa nje ya mipaka ya taifa letu.

Mtuhumiwa mwengine ni yule ambaye anatukana viongozi kwa njia ya mtandao ila akiwa nje ya mipaka ya Tanzania. Anapata uhuru wa kufanya hivyo eti kwa vile yuko nje ya Tanzania.
Sasa huyu naye inatakiwa anyang'anywe passport ya serikali ili atulie ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi ya kuheshimu taifa letu.

Wenu katika ujenzi wa taifa,
Meneja wa Makampuni.
Hii shahawa bora ingetupwa na condom chooni.
 
how much money do you make per day mr?...but ill tell you what when you're out here preaching about something you dont have business to do with and people who dont even know you they bag more money, and grow rich and rich everyday and they gonna be rich and left you trapped in that idiot circle you just built and lock in by your damn self. Do you think him(president) he didn't saw them, or the authorities(tcra,immigration)? The answer is yes they saw em and heard very clearly but they got no time deal with them because they know they just as idiot as you.
Halafu utakuta mwnamke naye anajisifia na yeye ana mwanaume kama wewe me huwa najiuliza huwa huoni aibu kuongea mambo kama haya ..hahahahah shame on you brother shame on you
Dawa imekuingia rasmi. Now I know that's the best vaccine for you folks who go against our laws.
 
Sihitaji kuteuliwa nafanya biashara zangu ili niipatie kodi nchi yangu. Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe. Fanyeni biashara acheni uvivu. Ukienda pale posta majengo yanapendeza eeeeee. Yale majengo yamejenjwa na wafanya biashara. Ukizunguka hapa Dar unaona jiji linapendeza, eeeeee majengo mazuriiiiii.

Hayo majengo yanapendeza kwasababu ya wafanya biashara Je wewe mchango wako ni upi hapa Tanzania? Fanya kazi acha kuwaza kuteuliwa. Mimi sihitaji kuteuliwa wala sihitaji kuajiliwa. Nafanya biashara zangu ili niajiri wengine nipunguze ukosefu wa ajira Tanzania.
Hata hilo jengo kubwa na refu kuliko yote ni la kwako lakini bado wewe ni meneja uchwara tu wa kampuni ya Machinga pale Posta.
 
Mbona hamkusema haya wakati wa Mzee wa Msoga?
 
Mkuu tuna hoja nyingi muhimu za kujadili kama taifa..hii ya kwako ni "useless" nikushauri tu kuwa nenda kamshirikishe "mumeo" sio sisi. Umenielewa? Ovaa!
That's a good vaccine for you
Hata hilo jengo kubwa na refu kuliko yote ni la kwako lakini bado wewe ni meneja uchwara tu wa kampuni ya Machinga pale Posta.
expand...
Dawa imekuingia rasmi. Now I know that's the best vaccine for you folks who go against our laws.
 
Dawa imekuingia rasmi. Now I know that's the best vaccine for you folks who go against our laws.
hahahaha nigga aint no body fuvck with no laws and the damn dumb ass smart shit yo got, boy you just an idiot talking about vaccine..man shut yo ass up and stop embarrassing yourself...but the truth is he doesn't even know you kwahiyo acha kujipendekeza tena kasema jana pale chamwino
 
Dawa imesha kuingia tayari
Dawa ipi zaidi ya kudhihirisha ujinga wako?! Nimekuuliza wanyang'anywe kwa kutumia sheria ipi, umeshindwa kujibu!! Na hapa chini ni mambo ambayo Kamishna wa Uhamiaji yanampa mamlaka ya kunyang'anya passport:-
Passport.png


Sasa si unaona ulivyo mjinga?

Hivi hapo una tofauti gani na wale JPM aliowaambia waache kujipendekeza?! Tayari sheria imeshaelekeza ni mambo gani yanaweza kumfanya mtu anyang'anywe passport, wewe unataka itumike sheria ambayo haipo kwa ajili ya rais!!!

Kwa screenshot hiyo hapo juu, ndipo utajua ni nani hana akili yako kati yako na wale unawaowa-brand kwamba hawana akili ingawaje kulifahamu hilo nako kunahitaji kuwa na akili!
 
Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu.

Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi wale wanaoishi ughaibuni.

Hawa mabwana wamekuwa wakitukana, kudhihaki na kumdharau sana Rais wa nchi yetu na wamekuwa wakifanya hivyo kupitia mitandao ya kijamii.

Binafsi nimekuwa nikikerwa sana na hawa watu waliokosa hekima na hata chembe ya heshima na adabu ndani ya mioyo yao.

Pengine ni mihemuko ya kiasiasa walio nayo kutokana kujenga mifumo ya siasa za kishabiki ndani yao.

Mimi kama raia mwema na mzalendo wa kweli, nimekuwa nikiwaza kitu kwamba mbali na adhabu za kuwapeleka mahakamani naishauri serikali yangu iwaongezee na adhabu nyingine ya kuwanyang'nya passport zao za kusafiria kwasababu passport ni mali ya serikali kupitia taasisi yetu ya uhamiaji.

Hivyo nawaomba uhamiaji wawanyang'anye passport hizo kwasababu wemeshindwa kuzitumia kwa heshima na adabu.

Lakini pia nawashauri TCRA watafute vijana wabobezi kwenye fani ya mitandao ili wawafuatilie watu kama hawa popote walipo. Kwasababu haya mambo yanawezekana.

Mbali na kufuatilia wezi wanao tutapeli fedha kwenye mitandao, tafadhali TCRA isaidieni serikali kufuatilia taarifa za watu wanamna kama hiyo. Kama mmekosa vijana hao mnaweza kuomba ushauri kwenye kitengo cha mawasiliano nchini China wao wanafanyaje.

Ningependa swala la kunyang'nya passport lihusiane na watuhumiwa ambao wanaitukana Serikali wakiwa nje ya Tanzania. Pamoja na watuhumiwa ambao wanamtukana Rais wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.

Mfano mtuhumiwa anayewaita waandishi wa habari na kumtukana Rais pamoja na serikali ya Tanzania mbele ya waandishi wa habari hao nje ya mipaka ya Tanzania. Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Pili mtuhumiwa anaye kwenda kwenye kituo cha kurusha matangazo ya habari nje ya mipaka ya Tanzania na kuanza kulisimanga vibaya taifa letu pamoja na kumsimanga vibaya Rais wetu.
Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Kwa hivyo ili kumfunza adabu mtuhumiwa huyo inatakiwa anyang'anywe passport ili abaki ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi kuheshimu taifa lako akiwa nje ya mipaka ya taifa letu.

Mtuhumiwa mwengine ni yule ambaye anatukana viongozi kwa njia ya mtandao ila akiwa nje ya mipaka ya Tanzania. Anapata uhuru wa kufanya hivyo eti kwa vile yuko nje ya Tanzania.
Sasa huyu naye inatakiwa anyang'anywe passport ya serikali ili atulie ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi ya kuheshimu taifa letu.

Wenu katika ujenzi wa taifa,
Meneja wa Makampuni.
Nchi haipaswi kuunda sheria/kanuni kwa kufuata mihemko ya kisiasa . Kumbuka yawezekana kabisa chama kinachounda/kinachoongoza serikali leo kinaweza kikawa chama pinzani kesho
 
Dawa imekuingia rasmi. Now I know that's the best vaccine for you folks who go against our laws.
Narudia tena heri mzee wako angetumia mpira wa kinga kuliko kinyaa alichotuletea duniani.

Siwezi ingiwa na dawa ya kinyaa kama wewe.
 
Dawa imekuingia rasmi. Now I know that's the best vaccine for you folks who go against our laws.
Nimekuuliza taja sheria inayosema mtu anyang'anywe passport, umeshindwa halafu bado unazungumzia sheria?! We wa wapi wewe?!
 
Mkuu nadhani bado hujaelewa nilicho kiandika. Na hilo laweza kuwa ni sababu ya low thinking ability. Kwani tangia uzaliwe umesikia watu wangapi walio mtukana Rais wetu? Kwa wewe unavyo dhani wanaweza kufika watano? Tumia akili kidogo uzi wangu upo wazi kabisa
Punguza hasira basi.... Sasa mbona na wewe unaanza kufanana na hao watukanaji tena?
Ukiona mtu anatoa maneno mabaya kwa rais au serikali ujue ndivyo alivyo hata kwa jamii na watu wanaomzunguka.

Rais ana mambo mengi makubwa ya kufanya watukanaji watajipa adhabu wenyewe, muda ni mwalimu mzuri kuliko maneno
 
Leo tarehe 23 bado siku 4.akifika tu airport wanachukua gamba lake.
 
Punguza hasira basi.... Sasa mbona na wewe unaanza kufanana na hao watukanaji tena?
Ukiona mtu anatoa maneno mabaya kwa rais au serikali ujue ndivyo alivyo hata kwa jamii na watu wanaomzunguka.

Rais ana mambo mengi makubwa ya kufanya watukanaji watajipa adhabu wenyewe, muda ni mwalimu mzuri kuliko maneno
Sijawai kuwa na hasira, najua leo nimewabana sana watu humu, hawafurukuti leo.
 
Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu.

Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi wale wanaoishi ughaibuni.

Hawa mabwana wamekuwa wakitukana, kudhihaki na kumdharau sana Rais wa nchi yetu na wamekuwa wakifanya hivyo kupitia mitandao ya kijamii.

Binafsi nimekuwa nikikerwa sana na hawa watu waliokosa hekima na hata chembe ya heshima na adabu ndani ya mioyo yao.

Pengine ni mihemuko ya kiasiasa walio nayo kutokana kujenga mifumo ya siasa za kishabiki ndani yao.

Mimi kama raia mwema na mzalendo wa kweli, nimekuwa nikiwaza kitu kwamba mbali na adhabu za kuwapeleka mahakamani naishauri serikali yangu iwaongezee na adhabu nyingine ya kuwanyang'nya passport zao za kusafiria kwasababu passport ni mali ya serikali kupitia taasisi yetu ya uhamiaji.

Hivyo nawaomba uhamiaji wawanyang'anye passport hizo kwasababu wemeshindwa kuzitumia kwa heshima na adabu.

Lakini pia nawashauri TCRA watafute vijana wabobezi kwenye fani ya mitandao ili wawafuatilie watu kama hawa popote walipo. Kwasababu haya mambo yanawezekana.

Mbali na kufuatilia wezi wanao tutapeli fedha kwenye mitandao, tafadhali TCRA isaidieni serikali kufuatilia taarifa za watu wanamna kama hiyo. Kama mmekosa vijana hao mnaweza kuomba ushauri kwenye kitengo cha mawasiliano nchini China wao wanafanyaje.

Ningependa swala la kunyang'nya passport lihusiane na watuhumiwa ambao wanaitukana Serikali wakiwa nje ya Tanzania. Pamoja na watuhumiwa ambao wanamtukana Rais wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.

Mfano mtuhumiwa anayewaita waandishi wa habari na kumtukana Rais pamoja na serikali ya Tanzania mbele ya waandishi wa habari hao nje ya mipaka ya Tanzania. Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Pili mtuhumiwa anaye kwenda kwenye kituo cha kurusha matangazo ya habari nje ya mipaka ya Tanzania na kuanza kulisimanga vibaya taifa letu pamoja na kumsimanga vibaya Rais wetu.
Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Kwa hivyo ili kumfunza adabu mtuhumiwa huyo inatakiwa anyang'anywe passport ili abaki ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi kuheshimu taifa lako akiwa nje ya mipaka ya taifa letu.

Mtuhumiwa mwengine ni yule ambaye anatukana viongozi kwa njia ya mtandao ila akiwa nje ya mipaka ya Tanzania. Anapata uhuru wa kufanya hivyo eti kwa vile yuko nje ya Tanzania.
Sasa huyu naye inatakiwa anyang'anywe passport ya serikali ili atulie ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi ya kuheshimu taifa letu.

Wenu katika ujenzi wa taifa,
Meneja wa Makampuni.
tusi gani katukanwa Raisi na nani
 
Serikali haiitaji ushauri wako acha kujipendekeza, kamshauri mke wako, na shemeji zako.
 
Dawa ipi zaidi ya kudhihirisha ujinga wako?! Nimekuuliza wanyang'anywe kwa kutumia sheria ipi, umeshindwa kujibu!! Na hapa chini ni mambo ambayo Kamishna wa Uhamiaji yanampa mamlaka ya kunyang'anya passport:-
View attachment 1514579

Sasa si unaona ulivyo mjinga?

Hivi hapo una tofauti gani na wale JPM aliowaambia waache kujipendekeza?! Tayari sheria imeshaelekeza ni mambo gani yanaweza kumfanya mtu anyang'anywe passport, wewe unataka itumike sheria ambayo haipo kwa ajili ya rais!!!

Kwa screenshot hiyo hapo juu, ndipo utajua ni nani hana akili yako kati yako na wale unawaowa-brand kwamba hawana akili ingawaje kulifahamu hilo nako kunahitaji kuwa na akili!
Wewe una uwezo mdogo wa kufikiri ndio sababu, huwezi kutufundisha tulio tunga hivyo vitu.

Pale chini kuna point imeandika
National Interests or National Security

From Huawei P40 Pro.png


Naomba uwe unasoma kwa kuelewa ndugu yangu. Read between the lines you'll understand well.
 
Wewe una uwezo mdogo wa kufikiri ndio sababu, huwezi kutufundisha tulio tunga hivyo vitu.

Pale chini kuna point imeandika
National Interests or National Security

View attachment 1514591

Naomba uwe unasoma kwa kuelewa ndugu yangu. Read between the lines you'll understand well.
Angalia ulivyo mjinga! Sasa suala la kumtukana rais linaathiri vp national interest au national security?! Hivi una akili kweli wewe?! Hivi unajua nini maana ya national interest?! Do you know anyyhing about national security?

Halafu unaweza kukuta eti nawe una shahada... what a waste!!!
 
Back
Top Bottom