Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,897
- 7,074
Jay z is a high value man, naona mnajifananisha na Jay Z, thamani yake inatosha kumtuliza mwanamke yoyote, fame, money, power e tc. Sasa mtu unakaa geto kitanda na jiko la gesi afu upige kelele humu, tafuta hela uprovide na ku protect kwanza.Sio kila mwanamke anabidi kuolewa haijalishi yupo kwao au gheto.
Hata JAY Z analijua hili .