Jay z is a high value man, naona mnajifananisha na Jay Z, thamani yake inatosha kumtuliza mwanamke yoyote, fame, money, power e tc. Sasa mtu unakaa geto kitanda na jiko la gesi afu upige kelele humu, tafuta hela uprovide na ku protect kwanza.Sio kila mwanamke anabidi kuolewa haijalishi yupo kwao au gheto.
Hata JAY Z analijua hili .
Aaah wapi jay z kaoa chombo ambacho wanae kina 50 wamekilaLakini jay z ndiye alimtoa bikira huyo beyonce..
Sasa kwa sababu mimi ni mzee haya yote uliyoyasema hapa nayajua. Ushauri wako kwangu zaidi ya haya ni upi?Kama bado hujaoa, usikimbilie kuoa hasa hasa usioe mwanamke anaeshi geto usije kujuta baade. Kila kitu kina wakati wake, na ni muhimu kuchagua mwenzi sahihi kwa maisha ya baadaye. Chukua muda kumjua mpenzi wako vizuri, usifanye maamuzi kwa pupa, na hakikisha kuwa upo tayari kiakili, kihisia, na kifedha kabla ya kuchukua hatua hiyo muhimu. Ndoa ni jambo la kudumu, hivyo ni bora kusubiri na kufanya uamuzi sahihi kuliko kujuta baadaye."
Watu wabishi sana...Aaah wapi jay z kaoa chombo ambacho wanae kina 50 wamekila
Watu wabishi sana...
Si unajua kusoma? Kabishane na waandishi na Beyonce mwenyewe aliyesema...
https://www.google.com/amp/s/www.hi...married/story-OgqKsN9H80dCzZXlhNLhCK_amp.html
Kusema tu nini?Kusema tu.
Ulikuepo..??Kusema tu nini?
Ndio hivyo mzee habari ndio hiyo .. Mnyama Jay ndiye katoa kizibo kwa yule mtoto...
Kwa hiyo?Telling men to go after unambitious women.. wanaume wa siku hzi tunaogopa sana changamoto..yani ukatae mke kisa ulimkuta kwake?π€£π€£
Ndiye nilikua nimeshika miguu ya Beyonce kipindi mnyama Hova aka Jigga anapeleka moto...Ulikuepo..??
Sawa so na ww jay z akakukula maana bikra haina utamu. So kumbe ukikung'utwa πππNdiye nilikua nimeshika miguu ya Beyonce kipindi mnyama Hova aka Jigga anapeleka moto...
Wewe! Inarudishwa bwana wee. Na mchumba(msichana) siku ya ndoa yake 'harusi inasema' sijui kama umenielewa.KAMA SIO BIKRA NA HUJAOLEWA KAMLILIE ALIEKUTOA UBIKRA
Tulikua tunamla Beyonce kwa zamu...Sawa so na ww jay z akakukula maana bikra haina utamu. So kumbe ukikung'utwa πππ
Sawa sawa na ww uka pumuliwa tena uwani pole. Usjipe uhakika mambo ya watuTulikua tunamla Beyonce kwa zamu...
We unabisha kwani Jay Z ndiye alikutoa bikira ya tako? mbona unabisha wakati media zote zilishamhoji Beyonce akasema, alishazungumza kwenye live talk shows si mara moja... .Sawa sawa na ww uka pumuliwa tena uwani pole. Usjipe uhakika mambo ya watu
"Kabla ya kufanya uamuzi wa kuoa, fikiria kwa makini kuhusu mpenzi unayemchagua. Usioe mwanamke amehamia na kupanga nyumba kwa maisha yake mwenyewe. Badala yake, tafuta mwanamke ambaye bado yupo kwa wazazi wake au nyumbani kwao.
Ninasema haya kutokana na uzoefu; utakuja
mbona wanatusema eti hatukui?