Ushauri kwa vijana ambao bado hawajaoa

Sio kila mwanamke anabidi kuolewa haijalishi yupo kwao au gheto.


Hata JAY Z analijua hili .
Jay z is a high value man, naona mnajifananisha na Jay Z, thamani yake inatosha kumtuliza mwanamke yoyote, fame, money, power e tc. Sasa mtu unakaa geto kitanda na jiko la gesi afu upige kelele humu, tafuta hela uprovide na ku protect kwanza.
 
Sasa kwa sababu mimi ni mzee haya yote uliyoyasema hapa nayajua. Ushauri wako kwangu zaidi ya haya ni upi?
 

mbona wanatusema eti hatukui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…