Ushauri kwa vijana: Kama unataka kuajiriwa, hakikisha unaajiriwa kipindi hiki cha Rais Samia Suluhu

Ushauri kwa vijana: Kama unataka kuajiriwa, hakikisha unaajiriwa kipindi hiki cha Rais Samia Suluhu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Aisee kama hujaajiriwa kipindi hichi cha Rais Samia sidhani kama utaweza tena kupata ajira za serikali.

Miaka ijayo kutakuwa na mtu atakuja kwa mgongo na sera za Magufuli naye atapata Urais, na hapo ndipo kilio kwa wasomi kitakuwa kikubwa zaidi ya kile cha awamu ya tano. Ukizingatia idadi ya wasomi hairudi nyuma kila siku.

Tumia ubunifu na akili kubwa kuendana na soko la ajira la sasa usifuate mkumbo na maneno ya kijiweni.

Asante
 
Miaka ijayo tabaka kubwa la masikini litakua la waajiriwa
 
Yaani msomi ndio alie kwa kukosa ajira? Basi hamna msomi hapo;

Usomi usiwe kilema cha kukuzuia kufanya kazi za nje ya ulichosomea.

kisa umesomea uhandisi nasi ushindwe kufungua ofisi ya welding kwamba utachekwa?

Watu wanatajirikamkwenye kila sekta siku hizi, halafu we kazi kuzunguka na mabahasha?
 
Back
Top Bottom