Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 629
- 1,688
Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tuuMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Ameanza salamu asubuhi, na my dear nyingi kufika saa Moja ! Naomba tenWe acha tuu
Miujinga ujinga, sijui ni malezi ama nini!View attachment 3120208
View attachment 3120209
Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.
Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
Sioni kosa la jamaa hapo.Mnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Na kweli sometimes ni kuendekezana tuMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Jamaa ana kosa kajiingiza kwenye mfumo halafu malalamiko kaleta humu!!Sioni kosa la jamaa hapo.
Kosa lipo kwa kidosho, asivyojua kula na kipofu!
Hapana, mara moja-moja sana.Anaomba sana hela au?
SIJALETA MALALAMIKO, KUNA SEHEMU YOYOTE NIMELALAMIKA?Jamaa ana kosa kajiingiza kwenye mfumo halafu malalamiko kaleta humu!!
mtajuana wenyeweHapana, mara moja-moja sana.
Yupo period labdaSIJALETA MALALAMIKO, KUNA SEHEMU YOYOTE NIMELALAMIKA?
Huu ni ushauri tuu, na sio mwanamke mbaya, huwaga ana siku zake tuu anakuwa kama amevurugwa.
Kama hukumkuta bikra lazima akusumbueView attachment 3120208
View attachment 3120209
Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.
Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.