Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kumsaidia mtu ni udhaifu, bac naupenda huo udhaifu.Yani unazidi kuonyesha ulivyo dhaifu, tatizo lipo pale kwenye kuambia wengine wawe single kwa shida za udhaifu wako mwenyewe
WAPI NIMEMPONDA KWA KUOMBA HELA?Yani jamaa ni mdhaifu sijapata kuona ila anataka udhaifu wake aufiche kwa kuponda wanawake kuomba hela
Angenyimwa uteleziMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Vipi bi Mkubwa kule kiiijini na yeye umemtumia LAKINI?View attachment 3120208
View attachment 3120209
Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.
Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
Kumbe anatania🤣🤣🤣🤣Yupo period labda
Kwahiyo wewe ke wako amekuvuruga basi unaamua kushawishi wenzio wawe single siku za mvurugiko zikiisha utucheke tunavyolala peke yetu kama mifugo!!!
Kama hayupo hivyo siku zote haikufaa kuleta hii mada
Wala usijali, ndio Wanawake walivyo! Very soon atakuomba msamaha, ni hali Tu huwa zinawapata na huwa ni nje ya uwezo wao. Sasa unarudi umechoka, mnalala kwa amani kabisa, asubuhi unaambiwa mtoto hatachukuliwa na school bus hujalipa school fees! Na haitakiwi cash , inalipwa bank na mtoto aende na slip hahahahahahaaView attachment 3120208
View attachment 3120209
Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.
Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
Hizi sifa ungeandika kule juu, kwenye mada, kiufupi hapa wewe ndie tatizo kumuacha huwezi, unatimiza maombi yake ya kipesa ataachaje kuomba!! La kushangaza unasisitiza vijana wawe single kivipi yani wakati wewe umeshindwa?Kama kumsaidia mtu ni udhaifu, bac naupenda huo udhaifu.
Nime-deal na wanawake wengi, mwanamke mwongo namjua, mwanamke anayetaka kuni-exploit namjua, huyu sio muongo wala hana nia mbaya, sema tuu insecurity zake ndizo zinanichosha.
SawaYou are the weak man
Kipi hicho nilichohubiri? As far as remember nimetoa tuu a simple advice to single menUnachohubiri wewe kimekushida kukiishi.
SawaThen next time MTU akiomba hela ya umeme mtumie hela na sio tokens.
HapanaHuyo mwanamke Anaoneka anategemea aombe huku na huku ndo mambo yaende
Hakuna private details zozote zinazo-onekana hapoKu-expose charting zake sio busara grow
Anao 3 na wote hawezi kuwaacha!! Hebu mfikirie huyu binadamuunatushauri tuwe single ila hufikirii tutapambana vipi na upwiru!!
Katumiwa kakaVipi bi Mkubwa kule kiiijini na yeye umemtumia LAKINI?
Hao anaowaambia wawe single anataka waishi bila huo utelezi ili iwe nini!!! Wapige puchu au ............Angenyimwa utelezi
hakuna haja yakumfikiria aseme mapema tukazike wapi...?Anao 3 na wote hawezi kuwaacha!! Hebu mfikirie huyu binadamu
Anashauri kitu ambacho yeye hakiwezi hata kwa sekundeKumbe anatania🤣🤣🤣🤣
Hapo hapo huyu asituharibie nauli,hakuna haja yakumfikiria aseme mapema tukazike wapi...?
mh! we kumbe kagaidi kakujitegemea..🤣Hapo hapo huyu asituharibie nauli,
Kwahiyo nianze kurudi huko mwanzoni kutafuta uthibitisho!! Hiyo shot uliyoleta ni yangu? Jamaa upo km mwanamke yani hujui unataka niniWAPI NIMEMPONDA KWA KUOMBA HELA?