Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Utelezi unauzwa mbona!!Hao anaowaambia wawe single anataka waishi bila huo utelezi ili iwe nini!!! Wapige puchu au ............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utelezi unauzwa mbona!!Hao anaowaambia wawe single anataka waishi bila huo utelezi ili iwe nini!!! Wapige puchu au ............
Huyo ndio muhimu sana sanaKatumiwa kaka
Unarudi kule kuleUtelezi unauzwa mbona!!
Kuachana na wanawake anayekupenda sio mchezokiufupi hapa wewe ndie tatizo kumuacha huwezi,
Nishasema mara nyingi, hili sio tatizo na hii sio point ya huu uzi, point ya huu uzi ni insecurity na vibweka vya wanawake zinazosababisha psychological torture kwa wanaume wengi.unatimiza maombi yake ya kipesa ataachaje kuomba!!
Kushindwa kitu haimanishi huwez kumshauri mtu, kuna psychiatrists wengi tuu wanashauri watu kuhusu ndoa huku wao wenyew wameachikaLa kushangaza unasisitiza vijana wawe single kivipi yani wakati wewe umeshindwa?
Kodi ya nyumba.....Mzinga ulio pigwa ww unazungumzika kabisa. Kuna mizinga mingine unashindwa ata namna ya kumuelezea mtu
KISA CHA MFALME NA MVUVI MWELEVU:View attachment 3120208
View attachment 3120209
Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.
Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
Huko hakuna kutiana stressUnarudi kule kule
Ebu leta huo uthibitisho.Kwahiyo nianze kurudi huko mwanzoni kutafuta uthibitisho!! Hiyo shot uliyoleta ni yangu? Jamaa upo km mwanamke yani hujui unataka nini
Mi mtu hawezi nishauri kitu ambacho yeye kakishindwa, kesho kuna ombi la wengine usiache kuwatumia ila tabia ya kushauri watu wawe singo wakati wewe unazo 3 ni roho ya kichawi uacheKuachana na wanawake anayekupenda sio mchezo
Nishasema mara nyingi, hili sio tatizo na hii sio point ya huu uzi, point ya huu uzi ni insecurity na vibweka vya wanawake zinazosababisha psychological torture kwa wanaume wengi.
Kushindwa kitu haimanishi huwez kumshauri mtu, kuna psychiatrists wengi tuu wanashauri watu kuhusu ndoa huku wao wenyew wameachika
La msingi pesa kote inakutokaHuko hakuna kutiana stress
Sister soma vizur, huu uzi hauhusiani na lawama za kuombwa hela, nime highlight insecurities na vibweka vya wanawake hata ukifanya kitu kizuri.Wanaume skuizi nanyinyi mmezidi uchoyo hee! Chukulia tu kama sista ako umeme wa 5000 tu si sadaka hio jamani! Mtusimange tukianza kuomba labda laki... ila izi afu 10 afu 5 afu 20 mbona ni hela zenu za kubetia tu mnampa mpaka Manchester united inaliwa na hamuumii! Hebu badilikeni jamani Wababa/wakaka/wadogo zangu eeh mbona mambo ya kawaida tu!
Muache akiwa hana adabu na mzinzi sio kwasababu za kiutunzaji mana hata mngezaliwa mwaka 60 miaka ya 80 mngekua mshaoa nanmajukumu tele!
Hizo kawaida jamaniSister soma vizur, huu uzi hauhusiani na lawama za kuombwa hela, nime highlight insecurities na vibweka vya wanawake hata ukifanya kitu kizuri.
Alale gizani wapii?Mnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Katika mazingira ya hvo unamsaidia tu asikae gizani, tena hamna raha kama ya kumsaidia kutatua changamoto za hivo kuliko kuambiwa "Mpaji naomba nisaidie nina shida ya 250k" kitu hakielewekiMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Majibu mazuri sana. Wanahendekeza harafu wanakuja kulalamika.Mnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Sema utakavyo, ila wanawake ninaowatumia hela kirahisi ni wale ambao najua ananipenda na sio mwongo, kama sijajihakikishia hivi vitu unaweza kuona mi ni mwanaume mchoyo kuzidi wote dunianikesho kuna ombi la wengine usiache kuwatumia