mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Exactly acha wanyooshweMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Wanajidai baba huruma
Wazee wa ku care
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly acha wanyooshweMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Wala hata.Kwahiyo wewe ke wako amekuvuruga basi unaamua kushawishi wenzio wawe single siku za mvurugiko zikiisha utucheke tunavyolala peke yetu kama mifugo!!!
Kama hayupo hivyo siku zote haikufaa kuleta hii mada
Bikra alikuwa nayo mkuuKama hukumkuta bikra lazima akusumbue
Ukiona hivo hakupendi
Uchaguz ni wako kubaki au kuondoka
Kwa hiyo jamaa kipofu?Sioni kosa la jamaa hapo.
Kosa lipo kwa kidosho, asivyojua kula na kipofu!
Hahah, Kuwa single sio tabu mkuuMkuu 5k tu ndio tusiingie kwenye mahusiano?
Kuwa single ni tabu kuliko hizo bills tunazolipa.
Unao watatu na unataka wengine tusiwe hata na mmoja!!! Huo ni ubinafsi,Wala hata.
Hujui ni mara ngapi nimejaribu kujitoa kweny mahusiano niliyokuwa nayo, lakini nimeshindwa, kwa wote watatu, huwez amini, nyie viumbe sikuiz mmekuwa ving'ang'anizi sana.
Mtu namuonesha kabisa nina mwanamke mwingine ila anakomaa tuu, anakasirika kama wiki haongei na mm wiki nzima, then baada ya hapo anaanza kunitafuta anasema sawa tuu atakuwa mke mwenzangu, hadi nimechoka sasa.
Ndio maana nimetengeneza huu uzi, kwasababu nimemiss ile hali ya kuwa single.
Tuachie hilo jimbo mbona hutaki kubanduka unaendelea kutuma hizo alfu 5 kwa mchuchu?Hahah, Kuwa single sio tabu mkuu
😅😅😅Unao watatu na unataka wengine tusiwe hata na mmoja!!! Huo ni ubinafsi,
Wanakung'ang'ania sababu ni mwepesi wa kuingizwa kwenye mfumo km hivyo umeme umenunua halafu unidanganye unataka kuwaacha ila unashindwa!! Unajichanganya kweli hujui nini unakitaka
Jamaa anatupanga huyu. Umeme ananunua alafu anadai anataka kuwaacha.Unao watatu na unataka wengine tusiwe hata na mmoja!!! Huo ni ubinafsi,
Wanakung'ang'ania sababu ni mwepesi wa kuingizwa kwenye mfumo km hivyo umeme umenunua halafu unidanganye unataka kuwaacha ila unashindwa!! Unajichanganya kweli hujui nini unakitaka
HUJISOMIKama kwako mambo ni mabaya usifikiri wote ni hivyo hivyo.
Pole yako.
Moto mkali!Tuachie hilo jimbo mbona hutaki kubanduka unaendelea kutuma hizo alfu 5 kwa mchuchu?
Ewaaaah kula chuma hichoBikra alikuwa nayo mkuu
Yani unazidi kuonyesha ulivyo dhaifu, tatizo lipo pale kwenye kuambia wengine wawe single kwa shida za udhaifu wako mwenyewe😅😅😅
Labda mi ni mwepesi siwez jua, ila ninachojua ni kwamba siwez kumwacha mtoto wa kike alale giza wakati I have a coin to spare.
Yani jamaa ni mdhaifu sijapata kuona ila anataka udhaifu wake aufiche kwa kuponda wanawake kuomba helaJamaa anatupanga huyu. Umeme ananunua alafu anadai anataka kuwaacha.