Ushauri kwa vijana wenzangu, Kama upo single endelea kuwa single, achana na mahusiano

Ushauri kwa vijana wenzangu, Kama upo single endelea kuwa single, achana na mahusiano

Sijawahi hivi mnadhani wanawake wote tunaendekeza njaa km hivyo vimada vyenu?
Sihivyo mkuu, umeninukuu vibaya mwaya, 'jamaa flan flani' waweza kuwa washikaji wa kawaida tu ama vyovyote.

Mfano mimi nimewagroup wadogo zangu, hurusha msg moja tu 'zasubui', majibu nayapata rundo.
Ndoivo
 
Piga hiyo mbuziiii😅😅😅😅😅yani katoa kwa genye zake halafu anakuja humu kulalama, ukimbana anasema ooh mi sijamaanisha hivyo bla bla bla blaaaa
🤣🤣🤣 nimeshangaa sana kaja kulalama humu halafu anajifanya kuwashauri wenzake. Tatizo la vijana wa sasa wanashindwa ku-control nyege mshenzi. Halafu anataka kumvimbia malaya aonekane anajiweza, hii ni ishara ya usimp. Wenzako wakikataa wanamaanisha

Ndiyo yako imaanishe ndiyo na siyo iwe siyo Yesu alisema

Mathayo 5:37 BHN​

BHNSUVNenoSRUV
Ukisema, ‘Ndiyo’, basi iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.
 
Sihivyo mkuu, umeninukuu vibaya mwaya, 'jamaa flan flani' waweza kuwa washikaji wa kawaida tu ama vyovyote.

Mfano mimi nimewagroup wadogo zangu, hurusha msg moja tu 'zasubui', majibu nayapata rundo.
Ndoivo
Yani ni hivi ukiombwa hela ukatoa kausha,, sababu wew mtoaji ndo boya lenyewe,
 
Huu uzi sio wa lawama za kuombwa hela, nimelenga insecurities na mtatizo ya wanawake hata ukifanya jambo zuri
Sisi tunadeal na wewe tu

Mara ya mwisho kumtumia mama yako hela ni lini?

Huyo mwanamke uliyemnunulia umeme wa elfu 5 ni mkeo?

Unafikiri kati ya wewe na baba yake ni nani hasa alipaswa amnunulie umeme?
 
No money..no honey...ikifika TURN YAKO IKAMIE ...huyu kwa uzoefu wangu mpo kama mtu 10...
Kuna bint nilikua namfukizia sasa ,siku kadhaa baada ya kukubali akaniomba elfu 10 amekwama nikamwambia poa nakuwekea ,zikapita kama dakika 10 nilikua na mambo yangu sasa wakati ninachukua simu nimtumie ikaingia sms kutoka kwake "Asante mpenzi nimepata💕" . Nikaguna nikamtext "mimi mbona bado sijakutumia hela" akakaa kama dk 2 akapiga ohh simu alikua nayo shoga yangu alikua anamtumia sms bwana wake ndo amekosea samahani ,nikamjibu "nenda kadanganye malofa wenzio" ndo ikawa mwisho wetu.

Baadhi ya mabint njaa njaa wanaishi kwa hela za kuombaomba hapa na pale ukiingia kwenye mfumo utafurahi
 
deed5ff644655f7b99ba1ff6559532f0.jpg
 
wanawake mmezidisha mno kasi ya kujiuza duh, ona kwa mfano huyu hapo hajatimiza hata week tangu tujuane
 

Attachments

  • Screenshot_20241009_224457_Messages.jpg
    Screenshot_20241009_224457_Messages.jpg
    184.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241009_224447_Messages.jpg
    Screenshot_20241009_224447_Messages.jpg
    193.6 KB · Views: 1
Sisi tunadeal na wewe tu

Mara ya mwisho kumtumia mama yako hela ni lini?

Huyo mwanamke uliyemnunulia umeme wa elfu 5 ni mkeo?

Unafikiri kati ya wewe na baba yake ni nani hasa alipaswa amnunulie umeme?
Leo mmenifurahisha mnapiga penyewe kwwnye mshono
 
Sisi tunadeal na wewe tu

Mara ya mwisho kumtumia mama yako hela ni lini?

Huyo mwanamke uliyemnunulia umeme wa elfu 5 ni mkeo?
Mama yangu hana shida na hela, labda anipe yeye.

Hapana sio mke, Mzee Xi Jinping we ni mwanaume kuwa na akili sharp, lengo la huu uzi sio lawama za kuombwa hela, nilicho highlight ni kitendo cha wanawake kuwa na insecurities na lawama hata ukifanya jambo zuri, nafikiri umenielewa.
 
Mnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
View attachment 3120208
View attachment 3120209

Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.

Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.

View attachment 3120208
View attachment 3120209

Baada ya kuona sijibu message alipiga simu akaanza kulalamika.

Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
Yan mkuu umemwekea umeme kumbe chumbani kwake kuna jamaa anataka aione mbususu ya demu wako vizuri kwenye mwanga na feni wamewasha🤣kwahyo hyo hyo 5000 yako ya umeme
 
Back
Top Bottom