Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
NAKAZIADon't play fatherly or husband role on a girlfriednd
Wewe ndio wa kushauriwa uache huo ujinga umefanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIADon't play fatherly or husband role on a girlfriednd
Wewe ndio wa kushauriwa uache huo ujinga umefanya
NAKAZIAHio hela bora ungemnunulia mama mzazi kitimoto nusu au hata vocha tu ya elfu 5 ungepata baraka.
Ungeachan na haya manyani mengine.
Soma soma kaka, huu uzi sio wa lawama za kuombwa helaMwanamke ombaomba ambaye hajaolewa akiwa na shida ana options 4 tu
1. Auze nyapu
2. Atafute kazi halali ya kumuingizia kipato
3. Amwombe baba yake mzazi, huyu ndiye aliyemleta duniani. Na ndiye mwenye jukumu la kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa
4. Atue shida zake kwa Mungu wake
😁😁😁😁Mnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
Huu uzi sio wa lawama za kuombwa hela, nimelenga insecurities na mtatizo ya wanawake hata ukifanya jambo zuriWewe ni kijana mpumbavu, unafikiri hiyo meseji umetumiwa peke yako hiyo imeforwadiwa kwa SIMPS hata 10 kutia ndani wewe
Muwe mnawakumbuka na mama zenu kuwatumia pesa, huyo binti hauna jukumu la kumhudumia kwa lolote sio mkeo.
Sijawahi hivi mnadhani wanawake wote tunaendekeza njaa km hivyo vimada vyenu?Alale gizani wapii?
Hivi mkuu haujawahi kuwafungulia msg group watu flani flani kisha ukawaandikia msg moja ikarushwa randomly na kuleta majibu mbali mbali kwa wakati tofauti?
Mwingine: ... 'Umeona salio?' , mwingine: 'tatuma jioni',
Mwingine: 'njoo uchukue' nk nk.
Yaani msg aliyoipata yeye, ilipatwa na mwingine na mwingine tena kwa muda ule ule.
Sasa katika group hilo yawezekana mwingine anahonga pakubwa na kula padogo, ndiyo maana majibu ya bibie yakawa ya kiburi.
Ukiona panya anacheza karibu na paka elewa shimo lipo karibu hatua sifuri.
Tatizo lipo kwa mtoaji halafu ndiye mlalamikaji, hapo ndo kwenye sintofahamuKatika mazingira ya hvo unamsaidia tu asikae gizani, tena hamna raha kama ya kumsaidia kutatua changamoto za hivo kuliko kuambiwa "Mpaji naomba nisaidie nina shida ya 250k" kitu hakieleweki
Asanteee wewe sasa tuko ukurasq mmojaMajibu mazuri sana. Wanahendekeza harafu wanakuja kulalamika.
Wewe ni mjinga si huyo malaya wako kakupiga kizinga cha buku 5 na wewe umekubaliSoma soma kaka, huu uzi sio wa lawama za kuombwa hela
🤣🤣🤣🤣mtajuana wenyewe
Wewe huyo kama vile hii mada ulishikiwa bunduki kuiandikaSema utakavyo, ila wanawake ninaowatumia hela kirahisi ni wale ambao najua ananipenda na sio mwongo, kama sijajihakikishia hivi vitu unaweza kuona mi ni mwanaume mchoyo kuzidi wote duniani
Acha wivuMnayaendekeza wenyewe, usingenunua alale gizani angekufa?
😅😅😅Wewe ni mjinga si huyo malaya wako kakupiga kizinga cha buku 5 na wewe umekubali
Umekuja kulalamika humu mpaka umeandika na uzi na ushahidi wa meseji. Chanzo cha malalamiko yote ni buku 5
Mwehu wewe
Mtoaji kazinguaTatizo lipo kwa mtoaji halafu ndiye mlalamikaji, hapo ndo kwenye sintofahamu
Piga hiyo mbuziiii😅😅😅😅😅yani katoa kwa genye zake halafu anakuja humu kulalama, ukimbana anasema ooh mi sijamaanisha hivyo bla bla bla blaaaaWewe ni mjinga si huyo malaya wako kakupiga kizinga cha buku 5 na wewe umekubali
Umekuja kulalamika humu mpaka umeandika na uzi na ushahidi wa meseji. Chanzo cha malalamiko yote ni buku 5
Mwehu wewe unachunwa na malaya apate mazingira mazuri ili atombwe vizuri na bwana wake
Kutoa ushauri sikuiz ni kulazimishana?usilazimishe
Nikasirike kwa lipi? Wewe umeleta makasiriko yako humu sisi tunakuondoa ujinga kwenye medula hilo😅😅😅
Bac hapo ulipo macho yamekutoka, jugular zimesimama kisa comment tuu.
Punguza hasira mzee, unakasirika kisa uzi tuu.
Wivu wa efu 5!!! Aiii nakufaAcha wivu