Uchaguzi 2020 Ushauri kwa waandaaji wa Kampeni za CHADEMA

Watanzania walio wengi inasemekana nimasikini kwahiyo sidhani kama wana simu Janja na Kama wana hela ya bando Kama inasemekana hawana hata uwezo wakupata milo mitatu.
Labda tuseme kutoka 2015 watanzania wameendelea sana na wanaweza sasa kutumia teknolojia kufuatilia siasa bila kuhudhuria viwanjani wala kupitia vyombo vya habari vilivyorahisi Kama TV na radio? Tuendelee kutafiti maana haya maendeleo ya ghafla waliopata watanzania yananiambia huenda kweli tuko uchumi wa Kati.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Yaani tanapa wanavyojitahidi kujieleza mpaka huruma
 
Ndio maana najitahidi sana Kuwasisitiza Chadema wameze Jeuri na wakubali kuishi na Watanzania. Wengi wanaongalia Campain zao humu sio wapiga kura husika video inaweza kuwa viewers 5000 watazamaji 1000 wanatokea Kenya 1000 Uganda, na pengine hao viewers walikuwa wanangalia huku wanasogeza mbele na kurusha matukio.

Chadema wasiweke bifu na vyombo vya Habari vya Ndani
 
Kampeni inachangia sehemu ndogo sana katika uamuzi wa mpiga kura amuchague nani. Kama mpiga kura anafikiri kuwa hakuna athari yo yote aliyopata kwa miaka mitano iliyopita,hakuna namna ya kubadilisha msimamo wake. Katika mambo ya nchi wengi wape hadi pale watakapoelewa kwa nini mabadiliko yanahitajika sasa.

Ujinga ambao CCM imeulea ndiyo mtaji wake.
 
Vijana wa kileo chini ya bwana Makamba Januari wanaamini kwenye nyomi
 

Kwa hiyo mnatukana wapiga kura sio?
 

Pia sio vibaya Lisu na Membe wakifanya mdahalo kwenye TV maana Magufuli hawezi kukubali mdahalo, hasa ambao Lisu atakuwepo. Na kisha mdahalo huo upewe promo ya nguvu wiki moja kabla.
 
Usiwapangie watu Cha kufanya kila mtu ana Uhuru wa kufanya anachotaka.

Kutokwenda kwenye mkutano sio kigezo Cha kutochagua anachokitaka.

Mwenyewe nilikuwa uwanjani taifa
 
Niliwaza the same.
 
Lowassa kaondoka na wapiga Kura wake Kaondoka na Wapembe wake Kaondoka na wapenzi wake Kwa CHADEMA lazima mkubali DR SLAA was The Perfect Guy kuwavusha ila Tamaa na Uroho Wa Madaraka Umewacost Kumdaharau mtu wa familia na kualika mgeni tena mliemponda FISADI mkajua atawavusha Leo yuko wapina Hamtashinda uchaguzi hata Magu amalize Maika yake 10 maana kwa Sasa mkubali tu tunakamilisha Ratiba tu Nchi ishajua Rais ni nani ndio maana CCM hawangaki kufanya Kampeni kila ila siku MUNGU WA SLAA ATAAWADHIBU MPKA MKAMWOMBE MSAMAHAA SLAA
 
Mambo yanazidi kuwa matamu Mwanza CCM imefutwa
Mbona Niko apa mtaaa wajeshini maeneo ya bugando, naleo nimeshinda mjini na kazizangu niza hapahapa mtaaa wa ribeti, ccm imefutwa waapiii yaheeee. Badala ya kushauri mwali wenu anayelazimisha watanzania wampe urais kwa kisingizio cha kushambuliwaaa. Yaaaanii apewe uraisi kama kifuta machoziii.
Achakudanganya watuuuu bwasheee
 
Hivi wewe mtu huwa una akili au ujinga kichwani! Hizi ndoto zako zinafubuza ukweli. Subiri uchaguzi uone JPM anavyopendwa! Lissu anapwaya
 
Pia sio vibaya Lisu na Membe wakifanya mdahalo kwenye TV maana Magufuli hawezi kukubali mdahalo, hasa ambao Lisu atakuwepo. Na kisha mdahalo huo upewe promo ya nguvu wiki moja kabla.
Yaani strategy ya pamoja kati ya Chadema na ACT ni muhimu mno. Kwenda mbele upinzani unahitaji kufanya ubunifu mwingi kuinua hamasa kwenye mambo ya siasa na kampeni za uchaguzi huu mkuu........
 
Jamani mbona ushauri umekuwa mwingi, na hekima za kumwaga kuna nini?
 
Huko uwanjani, mhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz alisikika akisema kwenye kipaza sauti "Magufuli Mitano Tenaaaaa" unadhani wewe ndio ungekuwa Lissu na upo uwanjani ungejisikiaje? Wao wana intelijensia yao pia, inawaeleza ukweli wa mambo ulivyo. Sio wajinga hata kidogo.
 
Ninyi Wazinza mko wachache sana hapa Mwanza Sisi Wasukuma na Wakurya na Waha ndio tunalifanya Mwanza lionekane jiji

Ninyi rudini Visiwani mkakabane makoo na na hao maafsaa wenyekufuatilia ukubwa wa samaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…