dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Watanzania walio wengi inasemekana nimasikini kwahiyo sidhani kama wana simu Janja na Kama wana hela ya bando Kama inasemekana hawana hata uwezo wakupata milo mitatu.
Labda tuseme kutoka 2015 watanzania wameendelea sana na wanaweza sasa kutumia teknolojia kufuatilia siasa bila kuhudhuria viwanjani wala kupitia vyombo vya habari vilivyorahisi Kama TV na radio? Tuendelee kutafiti maana haya maendeleo ya ghafla waliopata watanzania yananiambia huenda kweli tuko uchumi wa Kati.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Labda tuseme kutoka 2015 watanzania wameendelea sana na wanaweza sasa kutumia teknolojia kufuatilia siasa bila kuhudhuria viwanjani wala kupitia vyombo vya habari vilivyorahisi Kama TV na radio? Tuendelee kutafiti maana haya maendeleo ya ghafla waliopata watanzania yananiambia huenda kweli tuko uchumi wa Kati.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app