Ushauri kwa wadada ambao ni michepuko ya waume za watu

Write your reply...utopolo tu....na hii iwafikie michepuko wote Mali za kuchukua kutoka kwa waume za watu hutokea matakoni......ni laana tupu na hazidumu!...trust me....unakula michesho ya kuku huku nyumbani mume hajaacha chochote au kaacha kisichotosheleza wewe mchepuko unajiona mjanjaaaa kumbe yuko MUNGU na ardhi inakurekodi utaolewa na mume wako atachepuka! utalia mbele za Mungu na ardhi itakushitaki...# kataa dhambi ya kuwa mchepuko ni laana kama laana nyingine.
 

Wanawake msikilizeni mwenzenu anawapa ushauri
 
Ushaur wako hauna mantiki,
Umekaa kikutusnitch wanaume wenzako[emoji3525]
 
Wanaume mliosingle mnawachezea hamtaki kuwaoa wala kuwahudumia

Ila sisi tuliooa tukiwa nao mnaona nongwa sana, mnaona Kama tunafaidi Sana[emoji3525][emoji34]
 
Nilikua sijasoma mpk mwisho,
Kumbe mtoa mada nae mwanachama[emoji4]

Sasa chuki ya Nini mkuu?
Wee Kama yamekushinda Si utulie TU mwnyw na mkeo mkuu?

yanini kutiliana michanga Hadi kwenye vitumbua vya wenzio mkuu?
 
Wadada say no kuwa michepuko, Mungu alimuumbia kila mdada na baby wake, why kuchukua mume wa mtu.🤔
Mkuu ni maumbile ya mungu ,tizama wanyama wengine utagundua mume ni wa wengi ,pia Mungu huyo huyo kila jamii wanawake ndo wengi zaidi kuliko wanaume Naamini yeye ni genious anamambo yake.Asilimia kubwa ya watu wamezaliwa nje ya ndoa na tunakubaliana kila mwanadamu ni mpango wa mungu .mfano jamii ingekuwa haina malaya wa kujiuza vijana waliozaliwa na sura mbovu na vilema wangebidi wawabake binti zako wa primary,lakin wakienda ambiance wanalala na pisi kali kwa 10k nao wanakuwa na furahabkwenye jamii
 
Nilikua sijasoma mpk mwisho,
Kumbe mtoa mada nae mwanachama[emoji4]

Sasa chuki ya Nini mkuu?
Wee Kama yamekushinda Si utulie TU mwnyw na mkeo mkuu?

yanini kutiliana michanga Hadi kwenye vitumbua vya wenzio mkuu?
Mkuu kitendo cha kutosoma hadi mwisho kisha kujibu nahisi si ww mtoto alikuwa anachezea simu.
Mkuu mm ni mwanachama og najaribu kuwaelimisha nafasi yao na namna wakitaka watuvune tukifurahi .
Mfano.hakuna anaependa mchepuko wa masimu daily ,asiye na malengo badala akuombe daily 20 na kulewa lewa kwa nn asiombe umtafutie laki 4 kwa miez 2 afungue mantilie ,ili siku unamwita mahala sio anakuja mbele ya washkaj et naomba buku ya toyo.
Mwanaume bila mchepuko ni adimu sana
 
Izo pesa unazowahonga michepuko ungefungua account ukawatunzia wanao zinhekusaidia sana wacha yakukute.
Kwenye bajeti yangu cha matumizi kuna kipengele nakiita Kumwagilizia roho account,hizo za watoto ,mke hadi dada zangu zipo ,hapa nawashauri watumie kifungu chao kwenye bajet yangu kwa faida ,huu ni upendo wa dhat ni watu pia wanastahili maisha na heshima kama nayompa mke wangu kutoka kwa wanaume wao wa future
 
Aisee
Asiye bahati habahatiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…