Izo pesa unazowahonga michepuko ungefungua account ukawatunzia wanao zinhekusaidia sana wacha yakukute.
Kweli mkuu, tatizo umri ukiwa umesogea wanakuwa na changamotoPole kiongoz unaelewa sana nachoshaur hawajielew tulikuwa na opts za ambiance pia
Japo sipendi na sitaki hizi mambo za michepuko
Lkn nakwambia ukweli nimeshuhudia na ndo ilivyo, michepuko,inafunguliwa biashara,inajengewa na nyumbani tunateseka sn tu na mama zetu, na wala havijawatokea puani maisha yanasonga!
Tunaoteseka ni familia,mpk unajiuliza Mungu anaona kweli? Mbona halipi? Wanaendelea kufaidi tu kuliko wa ndani!
Labda vitateseka (watoto)vizazi vyao ila sio wao ndugu
Wanaume siyo malaya ni nature yetu jinsi tulivyoumbwa una kuku hapo nyumbani embu mchunguze jogoo
Siku mtakaokubaliana na huu ukweli mtaacha kuumia
Mifano ipo tu kwenye bibliaNature maana yake nini???
Kwamba uliumbwa malaya
Acheni kujiendekeza Hakuna mwanadamu ambae ameumbwa na Mungu akiwa na tabia chafu kama za umalaya hilo ni liroho la kipepo
Kuwa malaya ni maamuzi yako binafsi haiusiani na nature kabisaa
Wewe kama ni malaya ujue una pepo la ngono ama umerithii ama umeamua mwenyewe
Mungu hajaumba watu wachafu namna hiyo msisingizie
Kabisa mkuuTatizo wanaroga sana hao michepuko ili kuwashika waume za watu!
Sio michepuko yote inaroga lakini wengi wao ni wachawi na walozi sana tu!
Sababu kwa hali ya kawaida wanaona hawawezi kupendwa hivi hivi isipokuwa kwa nguvu ya ziada ya giza!
No sina shida na post yako! Nimekuelewa vzr tu! U have a point!Soma tena post yangu nimesema point ya pili ukiona anakupenda kuliko mkeo,kuna maisha baada ya haya ,nimeshaur usimuweke mume wa mtu weekend ya kukaa na wanae na mke wa mungu kwako ukajidai nkaandika kuna maisha baada ya kufa,nkashaur tumia akili yako kama yy hana
Duh!...kazi kweli kweliKuna wanaume wachache sana wako very smart always [emoji108]
Mara nyingi wanakuwa watu wa mazoezi regularly Kwa hiyo wanakuwa active !
Mwanaume usikubali kufutwa na mchepuko!
Jifute mwenyewe au wahi bafuni ukanawe au kuoga!
Atachukua hizo kama inputs ya kwenda kukumaliza na pengine hata kuharibu ndoa yako!
Hivi mpo wangapi vile kulinganisha na wanaume..nyia hata kila mwanaume akiwamiliki wa4 wa4 bado kuna watakao kosa wanaume.Wadada say no kuwa michepuko, Mungu alimuumbia kila mdada na baby wake, why kuchukua mume wa mtu.[emoji848]
Unawasemaje wale wanaoacha familia zao zinakula vyema na pia mchepuko nao unakula vyema je hao wako sawa na michepuko itapata laana..acha kupangia watu maisha.Write your reply...utopolo tu....na hii iwafikie michepuko wote Mali za kuchukua kutoka kwa waume za watu hutokea matakoni......ni laana tupu na hazidumu!...trust me....unakula michesho ya kuku huku nyumbani mume hajaacha chochote au kaacha kisichotosheleza wewe mchepuko unajiona mjanjaaaa kumbe yuko MUNGU na ardhi inakurekodi utaolewa na mume wako atachepuka! utalia mbele za Mungu na ardhi itakushitaki...# kataa dhambi ya kuwa mchepuko ni laana kama laana nyingine.
Point yake kuu wajiongeze Kwa kujitegemea wao ili wakiachwa wasiyumbe kiuchumi.Mwanaume anashauri mwanamke akae kimkakati apige hela, mwanaume huyu huyu baadae anapiga uturn kusema sema wanawake wanapenda hela. Ila CCM Mungu anaiona kwakweli!!!!
Ndo maana nakula tu wake za watu. Michepuko huru mzigo. Nikijusikia kuchepuka unampanga mke wa mtu, anapigwa yeye hadi hela ya mumewe nakula na mke wangu.Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza kwa huduma ya penzi lenu mwanana hakika mna mahala penu mbinguni.
Ushauri niliowaitia hapa ni kuwa dada zangu mnajisahau sana:
1. Unapokuwa mchepuko tambua kuwa wewe ni wa mda mfupi kwa msela, hivyo kaa kijanja ,uwezekano wa mchepuko kuzidi miaka mitano huwa mdogo, dada mtumie huyo kujijenga kiuchumi au kimaarifa ukiwa naye, mdada anakusimulia et jamaa ananipa laki 5 za matumizi kila mwezi siwezi muacha, mimi nilidhani uje na mikakati ya kuhakikisha unaweza kuishi bila yeye, yaani save fikilia biashara hizo laki tano ukiingiza kila mwezi laki 3 kwenye duka lako la nguo baada ya 3yrs siku anaondoka unaenda kulilia hotel Zanzibar.
2. Ukiona anakupa thamani kuliko mkewe basi dada jua unadate na muhuni, mama hata akikuoa ww atathamini wengine, hebu epuka dhambi zisizo na lazima plz kuwa mwanamke mwema kataa hizo mambo kumfungia mme wa mtu weekend nzima ni raha kwako ila dada kuna maisha baada ya kufa, amekupenda msaidie akili yako maana yake hana.
3. Usiache kuyapangilia maisha yako nje ya mume wa mtu, waza utaolewa na nani unataka nini kwenye maisha na ujue yeye hayupo kwenye maisha yako ni rafiki tu wa faida
KWANINI NIMEPANIC KUSHAURI?
Mimi mme wa mtu na watoto 3 na naipenda familia yangu kuzidi chochote, katika miaka 12 ya ndoa hii nimebadili michepuko 6 ila mke ni huyu huyu, maishani nimejaliwa kupata michepuko smart yote hakuna asinipigia simu na kunimisi wawili leo ni wake za watu na wanahela kunizidi na mm wanakiri ndo nimewaonesha njia.
Haba juzi kati nlipata ka-single mother nikakaelewa kukala mala mbili tatu nikaomba nijue maisha yake, ni kwamba msela alimzalisha kwa kuzuga anatoa mahali alitoa hadi uchumba akatoka nduki, dada kapanga uswaz ana binti wa miaka 7, basi nikamueleza mm nataka awe mchepuko wangu ila sitaki uzazi nataka tustarehe ila in return nitajenga maisha yake, nikamtoa chumba cha Tshs 25 uswazi huko nikamhamishia eneo nikalipa Tshs 60 miez 6, kwa kuwa alikuwa anafanya mgahawa ni nkamwambia tafuta eneo nikuwekee kabiashara akapata frame nkalipa ths 300k miez 3 na cash700 afungue nkamuahidi kadili tukijaaliwa nataka auze vinywaji etc nshaongea na msela wangu wa mafriji akanambia tafuta rejeta laki kava atampa shemu wake bure.
Cha ajabu? Dada amehamia kuniganda simu hapa na hapa, juzi kaniibukia baa et toyo wamesema wameniona na mtu, nkamwambia mm mbona sijamkataza akipata mtu wa maana wadumu sina FUTURE naye ikawa valangati, anatuma SMS ooh luku imeisha luku yake mwezi 7000 mtu anauza hadi laki, yaani kifupi hana lengo la kujitegemea ili aamue anidate kwa kunipendea hela au independent.
HITIMISHO
Michepuko tunawapenda sana lakini mnapaswa mjue nafasi yenu, hakuna mwanaume anachaguliwa mchepuko, unampenda mwenyewe ukiondoa penzi na support ya kukufanya ujitegemee huna urithi, hata ukisema tuzae unambania mwanao nafasi ya kufurahia penzi la baba kama nalowapa wana wamke wangu halali, MJITAMBUE.
🚮Una uhakika gani kwamba hajawafungulia wanawe akaunt??
Acha kujipa umuhimu kwenye maisha ya mleta mada..