Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 800
Salamu zenu wana JF,
Leo nataka niwaelimishe wadada wanaopenda kupaka lipsticks mdomoni moja ya vitu vinavyounda lipsticks ni heavy metals kama vile mercury na silver.
Madhara yake ni nini?
Mwili wa binadamu una protein ambayo hutengeneza kinga za mwili( antibodies). Sasa hizo heavy metals zinaharibu( denature) protein na enzymes.
Hivyo basi baada ya muda binti unaanza kusumbuliwa na maradhi ya ajabu ajabu kama cancer.
Hitimisho: Wadada muache kutumia hizi lipsticks no hatari kwa afya zenu.Pia mwanaume muokoe mpenzi wako kwa kumkataza kutumia lipsticks
Alternative: lamba lamba lips zako au paka mafuta ya ALIZETI.
Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.