Ushauri kwa wahitimu wa kidato cha 4 (O-Level)

Ushauri kwa wahitimu wa kidato cha 4 (O-Level)

WEWE HUNA HADHI YA KWENDA EUROPE KIJANA ACHA KUJIFARAGUA😂😂😂

WEWE ENDELEA KUPIGA DEIWAKA HAPO KWENYE KIJIWE CHA BODABODA!
 
Asante Kwa kushare.

Kuna baadhi ya taasisi uhitaji elimu ya high school ili kupata ajira nauliza swali hill ili kupata ufahamu mzuri.
hamna taasisi yoyote dogo kapige shule achana na huyo MBANGAIZAJI.

TAASISI NYINGI ZINAHITAJI WATENDAJI WENGI AMBAO WENGI WAO ELIMU HUWA NI DIPLOMA.


HUYO MLETA MADA NI AINA YA WATU WAKUNDI LILILOKUWA LINAAMINI ILI UWE RUBANI LAZIMA USOME PGM😂😂😂


KUMBE NJE YA NCHI HUKO WEWE UWE TU NA WASTANI WA MILLIONI 250 -300 UNACHUKUA VIMISTARI VYAKO VINNE CHAPU UNAENDELEA NA MAISHA.
 
Kimataifa upo sahihi kabisa.

Internationally elimu za kiafrika hutambulika kwa kuanzia level ya high school(12 years of formal education), Bachelor degree, Masters na kuendelea.

Hizi Diploma zetu uchwara hazifahamiki.

Kwa hivyo mtu akiishia diploma tu, Ajue kwamba kimataifa yeye ni sawa na standard seven.

Labda apate Bachelor degree.
 
Kwamba akipita Diploma hawezi kufikia hiyo Masters ambayo ndo kiwango cha elimu kinachotambuliwa kwa mujibu wa maelezo yako?
DOGO ANATOKA BUSHI HUKO ANAONGELEA MAMBO YA KUSADIKIKA😂😂😂
 
Hiki kitu huwa kinanishangaza sana unakuta mtoto ana sifa zote za kuingia kidato cha Tano ila mzazi sijui anatoa wapi ushauri anaacha kumpeleka mtoto.

Halafu badae anaanza kulia.
Advance Level ni nzuri sana.
AMNA KITU MAWINGA KIBAO WAPO KARIAKOO WAMEPITA HIYO ELIMU NA HAMNA KITU AJIRA ZA SERIKALI ZOTE 3/4 NI KUHUSU LEVEL YA DIPLOMA. PUNGUZENI EGO ANGALIENI UHALISIA WA MAISHA YA HAPA MAVUMBINI.

JULIKO KWENDA ADVANCE ULAMALIZA UENDE CHUO UKASOME BACHELOR IN SOCIALOGY NI HERI UKAPIGE KADIPLOMA KAKO KA RECORD MENAGMENT AU SECRETARIAL STUDIES HUWEZI KUFA NJAA😂😂😂

UKITAKA UPATE KAZI MAPEMA SOMA DIPLOMA UKITAKA SIFA ILA UWE NA AKILI ZA KUPIGA WANI YA SINGO DIGIT NENDA ADVANCE LEVEL ILA KAMA WEWE MBANGAIZAJI PIGA DIPU HICHO CHETI IKO SIKU KITAKUOKOA.DEGREE HAINA SOKO UKISHAVUA JOHO NDO UTAONA BORA UNGEPIGA HATA SHORT KOZI YA MIEZI MITATU VETA📌📌📌
 
Huo ndio ukweli. Mwanangu alitakiwa kujiunga na A level mm nikagoma nikampeleka diploma ya CO Iringa sasa hivi anaajira ya serikali na anajisomea mengine taratibu wakati anauhakika yupo kazini
KINACHOWASUMBUA WATU NI MALENGO:

1.KAMA UNAMALENGO YA KUSOMA HUKO ULAYA BAADA YA ADVANCE BASI HUYU MTU NDO AENDE HUKO ADVANCE

2.ILA KAMA MALENGO MTU ANAPLANI ZA KUWEZA KUJITEGEMEA KWA UJUZI NA AWEZE KUAJIRIKA ZAIDI AENDE DIPLOMA.

3.WALE WASIO NA MALENGO NDO HAO MTU ANASOMA MPAKA FORM SIX ILA UKIMUULIZA WEWE UNAUELEKEO UPI ANAKWAMBIA ANASUBIRI MAJIBU NDO YAMUAMULIE,HAWA USELESS CREATURES NDO WANATULETEA UBISHANI HUMU KWAKUA HAWANA UWAKIKA NA NINI WANAKITAKA AU KUKITATAJIA.

#KUPANGA NI KUCHAGUA,KILA KITU KINA FAIDA NA HASARA. NI VYEMA MTU BINAFSI AKAJIPIMA NA KUCHAGUA AKIPENDACHO KULINGANA NA MALENGO YAKE!!!
 
KINACHOWASUMBUA WATU NI MALENGO:

1.KAMA UNAMALENGO YA KUSOMA HUKO ULAYA BAADA YA ADVANCE BASI HUYU MTU NDO AENDE HUKO ADVANCE

2.ILA KAMA MALENGO MTU ANAPLANI ZA KUWEZA KUJITEGEMEA KWA UJUZI NA AWEZE KUAJIRIKA ZAIDI AENDE DIPLOMA.

3.WALE WASIO NA MALENGO NDO HAO MTU ANASOMA MPAKA FORM SIX ILA UKIMUULIZA WEWE UNAUELEKEO UPI ANAKWAMBIA ANASUBIRI MAJIBU NDO YAMUAMULIE,HAWA USELESS CREATURES NDO WANATULETEA UBISHANI HUMU KWAKUA HAWANA UWAKIKA NA NINI WANAKITAKA AU KUKITATAJIA.

#KUPANGA NI KUCHAGUA,KILA KITU KINA FAIDA NA HASARA. NI VYEMA MTU BINAFSI AKAJIPIMA NA KUCHAGUA AKIPENDACHO KULINGANA NA MALENGO YAKE!!!
Kwa sasa usitegemee ajira za Tanzania ambazo kuzipata hadi muwe mnajua .
 
Kwa sasa usitegemee ajira za Tanzania ambazo kuzipata hadi muwe mnajua .
wewe unadhani kwa dunia ya sasa utaenda kuajiriwa wapi na elimu yenu ya hovyo.

Ukiona watanzania huko nje ujue wanafanya kazi za chini ya meza.

Hakuna mzungu anaruhusu kazi za kiprofessional zifanye na INVOMPETENT MONKEYS FROM AFRICA!!!
 
wewe unadhani kwa dunia ya sasa utaenda kuajiriwa wapi na elimu yenu ya hovyo.

Ukiona watanzania huko nje ujue wanafanya kazi za chini ya meza.

Hakuna mzungu anaruhusu kazi za kiprofessional zifanye na INVOMPETENT MONKEYS FROM AFRICA!!!
We Una mawazo ya kimasikini Sana
 
NENDA HAPO INDIA HAKUNA HUO USHUBWANA WANAPOKEA MPAKA DIPLOMA HOLDERS NA NI VYUO VINATAMBULIKA MPAKA NA TCU. NA BADO UNAPATA SCHOLARSHIP MPAKA 50%

📌📌📌ACHENI KUDANGA WATU!!!
napata wapi orodha ya vyuo vya nje vinavyotambulika na TCU?
 
Asante kwa ushauri mkuu lakini ni vema ungesema ni ushauri kwa wahitimu wa kidato cha nne wanaotarajia kusoma nje na kufanya kazi nje ya nchi kwa maelezo yako. Pili huna sababu ya kuiomba serikali ilazimishe A level kwa sababu hizo! Mwanafunzi ataongeza nini Cha maana maishani kwa miaka yote hiyo 6?

1. Siyo kila mhitimu wa kidato cha nne anatarajia kuajiriwa ndani au nje ya nchi
2. Elimu ya sekondari kwa haimwandai mwanafunzi kujitegemea Bali kuwa tegemezi. Utegemezi wa vijana kama taifa umetokana na hiyo A level
3. Fani zinazosomwa vyuo vikuu na wahitimu wengi wa A level haziakisi hadhi zao na matamanio yao maishani na nini walitaka kuwa ila ni ili wawe na degree ndio sababu wengi wanakosa ajira na akipata siyo fani takiwa

4. A level ni level ya kupotezea mwanafunzi mwelekeo. Wengi malengo na mipango hupotea wanapokuwa advance

5. Fani baada ya O level inamfanya mwanafunzi kujitegemea mapema. Anataka ajira atasomea specific fani anayotaka ili aajiriwe,anataka kujiajiri atasomea fani anayotaka akajiajiri. Mmoja anayejitambua akienda chuo na mwingine aende A level huyu wa A level atakapomaliza atamkuta mwenye cheti au diploma tayari yuko kwenye reli wakati yeye anatafuta akasome degree ya nini. Anpoamaliza degree anaanza kutafuta ajira mwenzake anaenda kusoma degree akiwa kwenye ajira!

6. Kwa mawazo finyu A level ina heshima kwa mawazo pana A level ni gunia linalozalisha vijana tegemezi kwa wazazi na jamii yao wakati vyuo vya kati vikitoa vijana wanaojitegemea!
Huu ni ushauri kwa mliomaliza kidato cha 4 (O-Level) mwaka huu na mnafikiria kujiunga na chuo japokuwa mna ufaulu mzuri wa kujiunga A-Level. Kama ni mzazi una mtoto aliyemaliza masomo hayo na ana wazo hili unaweza kumpatia ushauri huu. Natoa ushauri huu from experience na niliyoyaona baada ya mimi kupita njia hiyohiyo.

Kumekuwa na wimbi kubwa la wahitimu wengi wa kidato cha 4 kukwepa masomo ya A-Level wakiona kama ni kupoteza muda kwasababu tu ukipita chuo unapata ujuzi kwa fani unayoitaka, unaokoa muda (which isn't true), kupata ajira za diploma, kukimbia masomo ya A-Level yanayoaminika kuwa ni magumu.

Ila ni lazima wanafunzi wajue umuhimu wa masomo ya A-Level. Kwenye ngazi za kielimu A-Level inakupa hadhi ya "High School Graduate" ambayo kuipata kwenye nchi nyingi ni 12 years in school, sasa ukiishia form 4 unahesabika kama mtu ambaye hajahitimu High School. Pia, A-Level hutoa ujuzi muhimu na maarifa ambayo huunda msingi wa elimu zaidi na stadi za maisha. Wanafunzi hupata msingi mzuri kwa masomo kama: hesabu, sayansi na sanaa ya lugha.

Kimataifa elimu zinazotolewa Tanzania na kutambulika ni High School (A-Level), Bachelor's Degree, Master's Degree. Kutokana na Utandawazi na mapinduzi ya Teknolojia ni vyema kuendana na kasi ya Dunia kwa kuwa na International Credentials, hii itakupa wigo mpana kwenye soko la ajira na hata elimu pia.

Sasa tukirudi kwenye my experience, mwaka jana nilitaka kwenda kujiendeleza kielimu nje ya nchi, Central Europe. Shida ikaja kwenye vyeti nilivyonavyo kwakuwa sikuhitimu High School (12 years) nikawa sikidhi vigezo vya kujiunga na masomo hayo, japokuwa tayari nilikuwa nimefanya post-secondary studies. Ikatakiwa nifanye Foundation Program, ambayo inaongeza gharama za kifedha na muda wa mwaka mmoja.

So ushauri wangu ni vyema upite A-Level then, Bachelor's Degree. Ukihitimu unakuwa na ngazi mbili za kielimu zinazotambulika kimataifa. Hapahapa nchini kuna waajiri wanataka watu waliohitimu High School.

Ushauri wangu kwa serikali, katika maboresho ya sera za elimu 2027 baada ya kufuta darasa la 7 na kufanya uhitimu wa elimu yetu kuwa miaka 12 badala ya 13. Waangalie namna ya kufanya O-Level na A-Level kuwa mandatory na kidato cha 4 kuwe na mtihani wa taifa kama ilivyo sasa ila kusiwe na cheti na baada ya kuhitimu A-Level ndiyo mwanafunzi apate High School Certificate.
 
Nimesoma chuo na watu waliopitia certificate kisha diploma halafu wale wa fresh from school (A'level) wanakimbizwa vibaya sana kazi za group za wanasaidiwa na watu wa diploma.

Hata matokeo ya mwisho watu wa diploma wanaongoza kwa mbali kwasababu wana uzoefu na msingi wa profession tangu certificate.
Uongo mtupu huu.
Hao wa certificates na diploma ndo huingia vyuo vikuu kama "mature entrants", almost wote huwa ni "tia maji", hawana uwezo huo kamwe
 
Back
Top Bottom