Msisahau kuwakumbusha na kina Mmawia, Erythrocyte, Yericko Nyerere, Tindo nk watafute vibarua vingine vya kuwapatia ugali na ada za shule kwa watoto wao. Maana aliekuwa anawasaidia kuishi mjini ili kumlinda asing'atuke kitini watu hawamtaki.
Wee Enomist huna ushauri kwa wajumbe wa mkutano wao ndo wanajua zipi mbichi na mbivu kama unataka subiri na wee ukawe mjumbe ili ukatimize wajibu wako lakini huna cha kuwashauri watu wenye akili timamu.