Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha we jamaa kata stimu sana, sijui umenitag kama Mlevi au Mchangia mada.
Kwa hio muda huu walevi bado wamelala au wameshaamka kwenda kunywa supu na chapati?Ukiona mlevi anakutukana ujue alikua anataka kukutukana muda mrefu ila alikua anakosa jinsi ya kuanza kukutukana, kwaiyo, akaamua kwenda kunywa pombe ili atoe nishai akutukane vizuri.
Jamani mbona umeni tag😂😂😂 mimi pombe ni sumu kwangu