Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Oya walevi bado mmelala? Au ndio muda wa kuwatukana watu asubuhi hii na kuwaamsha na matusi?
 
Ukiona mlevi anakutukana ujue alikua anataka kukutukana muda mrefu ila alikua anakosa jinsi ya kuanza kukutukana, kwaiyo, akaamua kwenda kunywa pombe ili atoe nishai akutukane vizuri.
 
Ukiona mlevi anakutukana ujue alikua anataka kukutukana muda mrefu ila alikua anakosa jinsi ya kuanza kukutukana, kwaiyo, akaamua kwenda kunywa pombe ili atoe nishai akutukane vizuri.
Kwa hio muda huu walevi bado wamelala au wameshaamka kwenda kunywa supu na chapati?
 
Acha kuuza uduvi utaolewa

- Alubati Chalamila
FB_IMG_1735673845506.jpg
 
Back
Top Bottom