Uchaguzi 2020 Ushauri kwa wanasiasa: Mbio zenu za Madaraka zisiathiri maisha yetu; kuigingilia mitandao na intaneti ni kuzuia haki zetu

Wewe twitter unaenda kufnya nini zaidi ya kumfollow kigogo?

Si umeona sasa selikali ilivyo na nguvu? Maana mlikuwa manajishaua humu hoo kigogo atawanyoosha. Subiri kesho na jf ipigwe chini
kwa hyo kesho wataongelea chumbani mwisho sebulen kwao manake nje nako maalufuku kulinda kura
 
Wapi uliambiwa mitandao ya kijamiii ni haki yakoo haki yakoo wewe ni TBC HHABARI LEO NA DAILY NEWS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…