USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

Alipotea usiku. Hakuna, yeye anachokumbuka ni kwamba alienda chimba dawa akamaliza akarudi akakuta gari hakuna akaanza tembea anahangaika kulitafuta akidani tingo kajikuta dereva
Duh! Hii mpya hii..😅
 
Kwa MUNGU inawezekana ila sio kwa stori wanazo taka kutuaminisha wanasayansi
Tunayoyafahamu katika dunia ni machache mno ukilinganisha na tusiyoyafahamu. Vitabu vya dini vinasibitisha hilo.
Na hata katika qur-ani kuna kisa cha swaaba mmoja aliwahi pia enda sehemu nahisi ni mbinguni ila sikumbuki vizuri yeye alitumia siku moja ila alirudi na kukuta watu wameishi miaka 70

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kwa wakati ule wengi waliamini kuwa nimenusulika kufichwa na wachawi ila kwasasa naamini ni TIME TRAVEL
Vitu vya hivi inakuwa ngumu kuniingia akilini.. two days and you feel like four hours!.. familia walikula huku wanakutafuta siku ya kwanza Tena na siku ya pili then ndo wakakuona..😅😅
Au waliamua tu kukuzuzua..
 
Vitu vya hivi inakuwa ngumu kuniingia akilini.. two days and you feel like four hours!.. familia walikula huku wanakutafuta siku ya kwanza Tena na siku ya pili then ndo wakakuona..😅😅
Au waliamua tu kukuzuzua..
Mbona walienda mpaka kwa mganga na ukilinganisha nilikuwa mdogo pili ni kijijini yaani shamba nakikubwa ni kupotea na wale mbwa pia.
 
Mbona walienda mpaka kwa mganga na ukilinganisha nilikuwa mdogo pili ni kijijini yaani shamba nakikubwa ni kupotea na wale mbwa pia.
It needs scientific research to explain this mkasa..😅
 
Kuna kisa kimoja cha mtume muhammad na swahaba wake..
Wakati mtume muhammad amekwenda israa na miraj kwa usiku mmoja safari ambayo ingemchukua zaidi ya miezi sita.aliporudi akawasimulia maswahaba kuna baadhi walimuamini na wengine wakatilia shaka..
Mmoja wa waliotilia shaka alikuwa ni OKASHI.
Basi mwenyezi mungu akataka kumuonesha OKASHI miujiza yake.
Siku moja kabla ya swala ya ijumaa OKASHI na wenzake walikwenda mtoni kuoga..
OKASHI alipozamia kwenye maji Haku rudi tena akaenda kuibukia nchi nyingine tena akiwa mwanamke.
Alipo fika kule aliokotwa na akina mama akiwa Hana nguo wakampeleka kwa MFALME wa nchi hyo MFALME akampenda akamuoa OKASHI akiwa mwanamke akazaa nae watoto .
Baadae ya kupita miaka kadhaa Okashi alikwenda kuoga kwenye mto akiwa katika hyo nchi nyingine alipozama akajikuta yupo tena maka na hata azana ya swala ya ijumaa haikuaziniwa na aliwakuta watu wale wale na mazingira yale yale.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Japo sio mjuzi.....kwa vyanzo nilivofatilia mie ni kwamba time travel iz just hypothetical idea ambayo inategemea🔜 equal to or exceed speed of light
Kwaio ukienda kwenye formula hio kitu ndo inawezakana,but in a reality tisubiri labda wajukuuu wa wajukuu zetu wanaeza kuexperience hio kitu😎
 
Kwa upande wangu nimejifunza pia kumbe sio kila wanaopoteaga maporini aidha kutafuta miti au kuwinda wanachukuliwaga na wachawi wengine waweza ona wanarudi baada ya miaka mia huko na ushei ila wenyewe sasa hivi waweza ona wametulia labda kwao ni siku yapili kwetu mwaka wa 20.
 
Hiyo ya kwenda kuwinda wanyama na kuchelewa kurudi nyumbani haiwezi kuwa time travel wewe sema ulikuwa umesinzia vichakani ulivyoamka ukapata wazo la kurudi nyumbani.
alikula matopetope akalewa akalala fofofo [emoji28]
 
Back
Top Bottom