USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

Unajua hii NADHARIA inaweza ikawa ya kweli.
Tatizo wale wanaoamini wanashindwa kutuaminisha inafanyika vipi na hata wao hawajui inafanyika vipi.?.
tungekuwa na uwezo hata wa kufika Lisaa limoja mbele tungejua kipi kitakachotokea tusingepata shida.
Labda kuna time traveller za aina mbili, hii wanaosema hapa kwamba unatumia dakika 3 mazingira flani na wanaokuzunguka wanatumia miaka 3 kukutafuta mazingira hayo hayo.

Na ya pili ni kusafiri kabisa kutoka mwaka flani kwenda mwaka flani. Kama yule jamaa alionekana kwenye picha huko uingereza mwaka 1928 kwenye ufunguzi wa daraja akiwa amevaa tshirt bodytight ya technokolojia na kiwanda cha 2007.

Au yule jamaa alionekana kwenye pambano la Tyson mwaka 1986 amevaa miwani ya toleo la miaka ya 2000

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Unajua hii NADHARIA inaweza ikawa ya kweli.
Tatizo wale wanaoamini wanashindwa kutuaminisha inafanyika vipi na hata wao hawajui inafanyika vipi.?.
tungekuwa na uwezo hata wa kufika Lisaa limoja mbele tungejua kipi kitakachotokea tusingepata shida.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ninachojalibu kuwaza ni kuwa, hii kitu hauwezi ifanya wala haipo mahala flani katika hii dunia.
Bali nikitu inayoweza jifanya yenyewe namahala popote katika hii dunia japo watafiti wanasema kuwa ipo sayari ambae hapo mda hauendi. Ila kwa hii dunia nahisi hii kitu inatokea mahala flani na kila baada ya miaka flani. Sio kit ipo ipo tuu sehemu flani yaani ipo kama ajali kutokea katika dunia.
 
Ni sayari hyo.
Sasa sijui ni kweli au na wao wanatupiga kamba tu
Ninachojalibu kuwaza ni kuwa, hii kitu hauwezi ifanya wala haipo mahala flani katika hii dunia.
Bali nikitu inayoweza jifanya yenyewe namahala popote katika hii dunia japo watafiti wanasema kuwa ipo sayari ambae hapo mda hauendi. Ila kwa hii dunia nahisi hii kitu inatokea mahala flani na kila baada ya miaka flani. Sio kit ipo ipo tuu sehemu flani yaani ipo kama ajali kutokea katika dunia.
Screenshot_20200827-140531.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Hyo ni movie.[emoji16][emoji16][emoji16].
Sijajua walivyo rudi ilikuwaje
Kwahiyo hao waliosimama hapo waweza ona walimuacha mkapa madalakani wanakuta tushazika. Au kikwao wezaona walimuacha bushi madalakani. Au kama wameondoka 2020 weza ona watarudi na kuikuta dunia ipo 2090

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Ni sayari hyo.
Sasa sijui ni kweli au na wao wanatupiga kamba tuView attachment 1550682

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni science fiction movie ilyoandikwa na Christopher nolan hakuna chochote kilicho cha kweli, ni kama hadithi za sungura na fisi zilizo advanced.

kila kitu kwenye hiyo movie ni uongo.
Sababu hiyo sayari ya Miller ipo galaxy nyingine.
Pia walitumia wormhole kufika hiyo galaxy nyingine. Na mpaka sasa hakuna wormhole iliyogunduliwa na hakuna Binadamu aliyewahi kutoka kwenye hii galaxy.
Pia kwenye hiyo interstellar imeonyesha hiyo wormhole ipo karibu na Jupiter. Wakati Jupiter hakuna wormhole.


Pia muda kuwa tofauti na duniani ni kwa sababu ya massive blackhole iliyo karibu na hiyo sayari, hivyo gravity inayosababishwa na hiyo blackhole husababisha muda/time kuwa slow zaidi ya duniani. Ndo maana wakasema kila saa moja Miller ni miaka saba duniani..

Pia miller ni jina la spaceman mmoja aliyefika sayari ya hiyo ya maji miaka 10 iliyopita hapo kwenye hiyo sayari ya maji kabla ya hao kundi la pili kufika.

Kama aliyeandika hivyo unamjua mwambie yeye muongo na aache kuongopea watu, akibisha mwambie athibitishe kama sayari ya Miller ipo.
 
Shukrani. Maana hata mimi mwenyewe nilipata wasiwasi
Hiyo ni science fiction movie ilyoandikwa na Christopher nolan hakuna chochote kilicho cha kweli, ni kama hadithi za sungura na fisi zilizo advanced.

kila kitu kwenye hiyo movie ni uongo.
Sababu hiyo sayari ya Miller ipo galaxy nyingine.
Pia walitumia wormhole kufika hiyo galaxy nyingine. Na mpaka sasa hakuna wormhole iliyogunduliwa na hakuna Binadamu aliyewahi kutoka kwenye hii galaxy.
Pia kwenye hiyo interstellar imeonyesha hiyo wormhole ipo karibu na Jupiter. Wakati Jupiter hakuna wormhole.


Pia muda kuwa tofauti na duniani ni kwa sababu ya massive blackhole iliyo karibu na hiyo sayari, hivyo gravity inayosababishwa na hiyo blackhole husababisha muda/time kuwa slow zaidi ya duniani. Ndo maana wakasema kila saa moja Miller ni miaka saba duniani..

Pia miller ni jina la spaceman mmoja aliyefika sayari ya hiyo ya maji miaka 10 iliyopita hapo kwenye hiyo sayari ya maji kabla ya hao kundi la pili kufika.

Kama aliyeandika hivyo unamjua mwambie yeye muongo na aache kuongopea watu, akibisha mwambie athibitishe kama sayari ya Miller ipo.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni science fiction movie ilyoandikwa na Christopher nolan hakuna chochote kilicho cha kweli, ni kama hadithi za sungura na fisi zilizo advanced.

kila kitu kwenye hiyo movie ni uongo.
Sababu hiyo sayari ya Miller ipo galaxy nyingine.
Pia walitumia wormhole kufika hiyo galaxy nyingine. Na mpaka sasa hakuna wormhole iliyogunduliwa na hakuna Binadamu aliyewahi kutoka kwenye hii galaxy.
Pia kwenye hiyo interstellar imeonyesha hiyo wormhole ipo karibu na Jupiter. Wakati Jupiter hakuna wormhole.


Pia muda kuwa tofauti na duniani ni kwa sababu ya massive blackhole iliyo karibu na hiyo sayari, hivyo gravity inayosababishwa na hiyo blackhole husababisha muda/time kuwa slow zaidi ya duniani. Ndo maana wakasema kila saa moja Miller ni miaka saba duniani..

Pia miller ni jina la spaceman mmoja aliyefika sayari ya hiyo ya maji miaka 10 iliyopita hapo kwenye hiyo sayari ya maji kabla ya hao kundi la pili kufika.

Kama aliyeandika hivyo unamjua mwambie yeye muongo na aache kuongopea watu, akibisha mwambie athibitishe kama sayari ya Miller ipo.
Hakika upo vizur
 
Mkuu sijapataga jibu la hi kitu
Mimi hua kunapicha zinanijia kichwani Ila baada ya muda najikuta Nipo ndani ya Ile picha
Na hua nkakumbuka Kama hili Jambo nliwahi jiona nipo
Same to me bro!
Binafsi huwa najikuta kuna vitu vinanitokea ima usingizini au muda mwingine nikiwa macho, huja ghafla na kujikuta kama nimezama kwenye dimbwi la mawazo/ kama ndoto hivi nikiwa nafanya jambo fulani then baada ya muda nikiwa niko timamu ndipo huwa nafanya kile kilichonijia, isitoshe tu mbali ya kufanya ila pia huwa najua mpaka muendelezo wake. Hapo ndio huwa nagutuka na kujiuliza mwenyewe "mbona nilishawahi kufanya kitu kama hiki" Hadi leo bado najiuliza na sijapata jibu! Yaani inakuwa kama nacheki movie na ninakuwa na uwezo wa kuelezea. May be its true!!
 
Same to me bro!
Binafsi huwa najikuta kuna vitu vinanitokea ima usingizini au muda mwingine nikiwa macho, huja ghafla na kujikuta kama nimezama kwenye dimbwi la mawazo/ kama ndoto hivi nikiwa nafanya jambo fulani then baada ya muda nikiwa niko timamu ndipo huwa nafanya kile kilichonijia, isitoshe tu mbali ya kufanya ila pia huwa najua mpaka muendelezo wake. Hapo ndio huwa nagutuka na kujiuliza mwenyewe "mbona nilishawahi kufanya kitu kama hiki" Hadi leo bado najiuliza na sijapata jibu! Yaani inakuwa kama nacheki movie na ninakuwa na uwezo wa kuelezea. May be its true!!
Sasa sijui Ni uwezo au vipi,
Wengine wanahusianisha na blood group
 
Da'vinci mdogo wangu unapotelea gizani bila hata kujijua...kanuni au theory ya Albert Eistern ni maoni yake tu juu ya ufaham ya jambo hili.Jambo hili la kusafiri katika Muda ni jambo halisi na lina njia zake ambazo binaadamu hatujazivumbua..hapa ukumbuke ili tuupate muda ni lazima kuwe na mwanga(jua), kuna baadhi ya sehemu ndani ya sayari yetu hii speed ya jua hua ni zero.na maaneo hayo ndio hole za kutembea katika muda..jambo moja tu ambalo bado limefichwa na alieumba Dunia hii ni kwamba anaeingia katika sehem hizo hua hajui mpaka atakapotoka na kurudi eneo sahihi la asili la mwili..Najua wewe si muumin wa maisha baada ya kifo.ila time travel ni kionjo kidogo cha Paradise..hufi wala huzeeki na wala muda hausongi mbele....bi maana muda husimama. Na maana wanaoamini juu ya malipo huita siku ya "Mwisho",
Nnaomba ushahidi wa haya unayoyaandika hapa.
 
Mwaka 2002 mjomba wngu alikuw anaendesha magari makubwa, akiwa ametoka kukusanya mzigo wa kahawa akiwa na konda wake, walifika sehemu akaegesha gari pembeni ilikuwa usiku akaenda chimba dawa. Kwenye gari alikuwa kaambatana na tingo wake. Tingo alisubiri jamaa hakurejea. Ikabidi aanze kumtafuta akamtafuta sana vichakani akaita lakini jamaa hakuwepo. Yani ni kama vile e just vanished into thin air without a trace.
Kesho yake habari zikafika nyumbani, na kwa mke wake kazini na kwa marafiki pamoja na vyombo vya dola. Alitafutwa sana lakini hakuwahi kupatikana kabisa mpaka baadae msako ukakoma maana hakukuwa na habari yake kabisa.
Ikapita miaka 3, ndipo habari ikaja kuwa kapatikana. Ajabu alikuwa kavaa nguo zile zile alizopotea kavaa na hazijachakaa, ni kama vile yuko vile vile, kuanzia nywele zake ziko kama zilivyokuwa yuko kama alivyokuwa wakati anapotea.
Jambo la kushangaza yeye alikuwa anadai kapaki gari kaenda chimba dawa karudi hakulikuta ndipo akaanza tembea tembea barabarani kulitafuta mpaka alipokutana na wananchi wakamsaidia kumfikisha serikali ya kijiji. Kwake ilikuwa ni tukio la muda mchache hakujua kama kapotea miaka mitatu.
Hakuna aliyeweza kuelewa nini kinaendelea, watu wakahusisha na ushirikina. Na bahati mbaya alifariki kwa kuugua baad ya miaka miwili toka apatikane.
Sijui nini kilitokea mpaka leo hakuna anayeelewa.
Ukiangalia vizuri hiki ulichokiandika ni Time Dilation na si time Travel. Hakuna Time Travel na haiwezekani.

Mathalani kuhusu Time Dilation, una kuta muda wa hapa ardhini si sawa na muda mbinguni, hii kwa mujibu wa vitabu vya dini, kwa maana kuna siku moja ya mbinguni sawa na miaka elfu moja ya hapa ardhini, na siku moja ya safari ya malaika toka hapa suniani kwenda mbinguni ni sawa miaka 50,000. Huku ni kupishana kwa muda na uhusiano wa muda kulingana na sehemu mbali mbali. Katika vitabu vya dini, lipo tukio lililo simuliwa juu ya vijana fulani ambao walipigwa na usingizi, wakaishi katika usingizi huo kwa miaka 309, ila wao wakaona walikuwa wamelala katika sehemu ya siku. Hali hii inatokea ukiwa hujitambui na hufanyi chochote. Unajua kutambua hilo hapo baadae baada ya kuzinduka. Lakini Time Travel tunaambiwa kwamba mtu anakuwa anajua anachokifanya na kuelezea alipo kuwa wakati jambo hili haliwezekani na halina ushahidi wa Kisayansi wala wa kinyume chake.

Uwepo wa muda unahitaji nafasi (Space) pekee na utambuzi, si mwanga.

Kwahiyo tunahitimisha ya kuwa matukio haya yalitokea hapa hapa duniani na wote hao walikuwa wamelala tu, yaani walipitiwa na usingizi.
 
Mim niliwah kunywa sumu ilikuwa alhamis nkaaenda polini nkajihis nmelala huko sku moja lakin waliponiokota huko npo hoi nko na njaa Kali na midomo imebabuka na suruali yang imeliwa mchwa,baada ya kupelekwa hospital nkaambiwa SKU hyo ni jumapili wakati mie nilhis n jumamos
 
Mwaka 2002 mjomba wngu alikuw anaendesha magari makubwa, akiwa ametoka kukusanya mzigo wa kahawa akiwa na konda wake, walifika sehemu akaegesha gari pembeni ilikuwa usiku akaenda chimba dawa. Kwenye gari alikuwa kaambatana na tingo wake. Tingo alisubiri jamaa hakurejea. Ikabidi aanze kumtafuta akamtafuta sana vichakani akaita lakini jamaa hakuwepo. Yani ni kama vile e just vanished into thin air without a trace.
Kesho yake habari zikafika nyumbani, na kwa mke wake kazini na kwa marafiki pamoja na vyombo vya dola. Alitafutwa sana lakini hakuwahi kupatikana kabisa mpaka baadae msako ukakoma maana hakukuwa na habari yake kabisa.
Ikapita miaka 3, ndipo habari ikaja kuwa kapatikana. Ajabu alikuwa kavaa nguo zile zile alizopotea kavaa na hazijachakaa, ni kama vile yuko vile vile, kuanzia nywele zake ziko kama zilivyokuwa yuko kama alivyokuwa wakati anapotea.
Jambo la kushangaza yeye alikuwa anadai kapaki gari kaenda chimba dawa karudi hakulikuta ndipo akaanza tembea tembea barabarani kulitafuta mpaka alipokutana na wananchi wakamsaidia kumfikisha serikali ya kijiji. Kwake ilikuwa ni tukio la muda mchache hakujua kama kapotea miaka mitatu.
Hakuna aliyeweza kuelewa nini kinaendelea, watu wakahusisha na ushirikina. Na bahati mbaya alifariki kwa kuugua baad ya miaka miwili toka apatikane.
Sijui nini kilitokea mpaka leo hakuna anayeelewa.
Muonekano wake kiumri kwa Wakati ule ulikuwaje na aliporudi ulikuwaje? Kumbukumbu zake zilikuaje? Huko alikoenda alikumbana na nn? Na je hio sehemu/njian aliopita watu washajaribu kupita kuona miujiza yake?
 
Muonekano wake kiumri kwa Wakati ule ulikuwaje na aliporudi ulikuwaje? Kumbukumbu zake zilikuaje? Huko alikoenda alikumbana na nn? Na je hio sehemu/njian aliopita watu washajaribu kupita kuona miujiza yake?
Alikuwa vile vile hajabadirika kitu, yeye kama nilivyoeleza hakuna alichoona yeye anaona alienda chimba dawa na kurudi gari hakuna kwake ni kama kwake kitu kilitokea muda mfupi tu.
Yah wanapita tu ni eneo tu liko kjiji flani huko na wanaishi watu.
 
Ukiangalia vizuri hiki ulichokiandika ni Time Dilation na si time Travel. Hakuna Time Travel na haiwezekani.

Mathalani kuhusu Time Dilation, una kuta muda wa hapa ardhini si sawa na muda mbinguni, hii kwa mujibu wa vitabu vya dini, kwa maana kuna siku moja ya mbinguni sawa na miaka elfu moja ya hapa ardhini, na siku moja ya safari ya malaika toka hapa suniani kwenda mbinguni ni sawa miaka 50,000. Huku ni kupishana kwa muda na uhusiano wa muda kulingana na sehemu mbali mbali. Katika vitabu vya dini, lipo tukio lililo simuliwa juu ya vijana fulani ambao walipigwa na usingizi, wakaishi katika usingizi huo kwa miaka 309, ila wao wakaona walikuwa wamelala katika sehemu ya siku. Hali hii inatokea ukiwa hujitambui na hufanyi chochote. Unajua kutambua hilo hapo baadae baada ya kuzinduka. Lakini Time Travel tunaambiwa kwamba mtu anakuwa anajua anachokifanya na kuelezea alipo kuwa wakati jambo hili haliwezekani na halina ushahidi wa Kisayansi wala wa kinyume chake.

Uwepo wa muda unahitaji nafasi (Space) pekee na utambuzi, si mwanga.

Kwahiyo tunahitimisha ya kuwa matukio haya yalitokea hapa hapa duniani na wote hao walikuwa wamelala tu, yaani walipitiwa na usingizi.
Yaani haya ni mawazo yako alafu unablock watu na unaweka hitimisho kweri shekh unajielewa!!
 
Back
Top Bottom