Ushauri kwa wazazi wa Kiislam: Wapelekeni watoto Madrasa

Ushauri kwa wazazi wa Kiislam: Wapelekeni watoto Madrasa

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Natumai nyie ni wazima wa afya,

Leo nimeona nilete huu ushauri kwa wazazi wa kiislam kuwa tujitahidi sana watoto wetu waende madrasa wapate elimu ya dini.

Elimu ya kawaida tunajua ni muhimu sana na kwasasa kila muislam kaamka kuhusu elimu ya kawaida ila naombeni tu msiache kuwapeleka watoto madrasa.

Ikishindikana kabisa hakikisha mwanao anapata access ya elimu ya dini maana hii dunia ya sasa hii huko tuelekeapo ni pabaya sana shetani yupo kazini kwelikweli.

Sahivi vita iliyopo duniani ni vita dhidi ya maadili tunaona jinsi ushenzi wa kimagharibi na maadili yasiyofaa kutoka West yanavyolitesa bara la Afrika na Waafrika hadi Asia na Latin pia wamekua ni wahanga wakubwa wa kupotoka maadili kunakosababishwa na nchi za Magharibi.

Ni muhimu sana kwa watoto wetu wapate elimu ya dini, mimi wangu wanasoma Day na ni private lakini nahakikisha madrasa wanaipata hata kama mimi baba yao sijaweza kusimama mwenyewe imara kidini lakini sitaki watoto wangu waje kuwa kama mimi nataka watoto ambao watakua kusimama na kuielewa dini vizuri leo na kesho.

Huo ndiyo ujumbe wangu kwenu.

#Kimaro
 
Wasichana waliosoma madrassa ndio wanaongoza kwa kuolewa wake wawili wawili na kupigwa mitungo kama akina wa Haji Manara. Huo ni upotufu mkubwa wa maadili kupigana mitungo.

==========================
Update: 08/12/2022

 
Familia/mzazi/mlezi itakkayofanikiwa kuwa mtoto atakayehifadhi Quran kifuani mbele Allah ataombwa awaombee msamaha watu kadhaa Sasa akifanikiwa kukutaja wewe umepona.

Tuwahimize watoto wahifadhi Quran.

Ushauri katika hili ninkwamba watoto wafumdushwe herufi kama vile wanavyosomeshwa 'a' 'e' 'i' 'o' 'u'.

Kule madrasa ataweza kusoma vizuri na hatachukua Muda mrefu kujifunza na kusoma.

Sio kama enzi zetu tikuwa tukiimba
 
Kunradhi,nipo nje ya mada,naombeni kitabu Cha visa vya mitume kwa lugha ya kiswahili mtandaoni.

Natanguliza shukrani.
 
Swala la maadili ni tatizo sugua ila tuangalie na upande mwingine.

Bora elimu ziwe zinafanya kazi pamoja kuliko kubagua pawe na mitaala mizuri tu watu wapata elimu zote kwa wakati mmoja.

Wanaofungisha dini nao wanakatisha Tamaa kwa kesi zao za ovyo daily.
 
I doubt your way of thinking, uhusiano wa mtungo na ndoa halali nu upi? Uzinifu mnaojitapa nao kua nimelala na wanawake zaidi ya mia, mara silali na mwanamke mara mbilj is what you are proud of au.
Kitendo cha kuwa na carnal knowledge na wanawake wawili kwa wakati mmoja na wanajuana na wanaridhia ni mtungo, hata anapotbea nao kawashika.

Wote wawili na uume umemsimama kama mnara tayari ni mtungo, chumbani anaemda kuwamalizia tu. Mtungo ni upotofu wa maadili katika jamii, na chanzo kikubwa ni madrassa.
 
Huyu wa kumpuuza, yani hata kwa kitu kilicho wazi wataleta pumba zao zisizofaa hata kwa chakula cha mifugo mradi waaribu uzi, hawa ndo wale wapo proud wakiona watoto wakijifananisha na kina kadashian na upuuzi wa dunia
Upuuzi wa dunia ni pamoja na ndoa za mtungo, among others, na madrassa ndio zinazopalilia wanawake kuolewa wake wa pili na watuta ect. Kwa style ya mtungo
 
Mbona unakimbilia dini. Dini hailawiti bali walimu hulawiti na walimu siyo dini. Siku zote tusikimbilie kitu am,acho hakikusemwa, hapa sioni dini imeingiaje. Hata wakristu, wanaolawiti ni padri mmoja mmoja na siyo kanisa. siyo doctrine ya Uislamu wala Ukristu kufanya dhyambi, bali wafuasi wa hizi dini hufanya dhambi na watawajibika wenyewe kibinafsi na siyo Uislamu au Ukristo kuwajibika.
Ila kwa upande wa ndoa za kupigama mtungo ni suala la doctrine ya dini hiyo.
 
Kitendo cha kuwa na carnal knowledge na wanawake wawili kwa wakati mmoja na wanajuana na wanaridhia ni mtungo, hata anapotbea nao kawashika.

Wote wawili na uume umemsimama kama mnara tayari ni mtungo, chumbani anaemda kuwamalizia tu. Mtungo ni upotofu wa maadili katika jamii, na chanzo kikubwa ni madrassa.
Na huo uzinzi mnaofanya chanzo ni madrasa? Mke mmoja halali mia hawara nao mmepata madrasa elimu hyo? Hakika nyie ni maadui kwetu hvyo sitoweza kubisahana nawe
 
Back
Top Bottom