Ushauri kwa wazazi wa Kiislam: Wapelekeni watoto Madrasa

Ushauri kwa wazazi wa Kiislam: Wapelekeni watoto Madrasa

Achen kuchafua dini kwa uzushi wenu
Kama kawaida yenu... DENIAL

Waislam mnafanana kwenye jambo moja, DENIAL... Yaani huwa hamkubali madhaifu yenu hata siku moja... na hapa utatafuta Mzungu/Mmarekani/Mkristo umlaumu.
 
Natumai nyie ni wazima wa afya,

Leo nimeona nilete huu ushauri kwa wazazi wa kiislam kuwa tujitahidi sana watoto wetu waende madrasa wapate elimu ya dini.

Elimu ya kawaida tunajua ni muhimu sana na kwasasa kila muislam kaamka kuhusu elimu ya kawaida ila naombeni tu msiache kuwapeleka watoto madrasa.

Ikishindikana kabisa hakikisha mwanao anapata access ya elimu ya dini maana hii dunia ya sasa hii huko tuelekeapo ni pabaya sana shetani yupo kazini kwelikweli.

Sahivi vita iliyopo duniani ni vita dhidi ya maadili tunaona jinsi ushenzi wa kimagharibi na maadili yasiyofaa kutoka West yanavyolitesa bara la Afrika na Waafrika hadi Asia na Latin pia wamekua ni wahanga wakubwa wa kupotoka maadili kunakosababishwa na nchi za Magharibi.

Ni muhimu sana kwa watoto wetu wapate elimu ya dini, mimi wangu wanasoma Day na ni private lakini nahakikisha madrasa wanaipata hata kama mimi baba yao sijaweza kusimama mwenyewe imara kidini lakini sitaki watoto wangu waje kuwa kama mimi nataka watoto ambao watakua kusimama na kuielewa dini vizuri leo na kesho.

Huo ndiyo ujumbe wangu kwenu.

#Kimaro
Tatizo hiyo elimu ya dini inazarisha waisiharamu badala ya waislamu .kwa sasa tz nzima kumpata muislamu hata mmoja ni ajabu ya mwaka....bali waisiharamu ndiyo wamejazana hadi misikitini
 
huko mnapo sema uislamu umeshika ndio sehemu yenye wasomi wengi wenye elimu ya dunia mpaka wanatuma setelite zao.

huku mnakazana dani mliyoletewa mpo bize nayo,wenye nayo wapo biza kuhakikisha nchi zao zinakuwa matajiri na kombe la dunia
 
Kwa hivyo mitungo ya nyumba ndogo inayozalisha watoto wa nje iko sawa, au unasemaje? Maana kila siku humu watu wanajisifu kuwa na michepuko kadhaa bila ya hofu.
Hao nao ni wapotofu wa maadili na wanafaa kuanzishiwa uzi kama huu pia.
 
Natumai nyie ni wazima wa afya,

Leo nimeona nilete huu ushauri kwa wazazi wa kiislam kuwa tujitahidi sana watoto wetu waende madrasa wapate elimu ya dini.

Elimu ya kawaida tunajua ni muhimu sana na kwasasa kila muislam kaamka kuhusu elimu ya kawaida ila naombeni tu msiache kuwapeleka watoto madrasa.

Ikishindikana kabisa hakikisha mwanao anapata access ya elimu ya dini maana hii dunia ya sasa hii huko tuelekeapo ni pabaya sana shetani yupo kazini kwelikweli.

Sahivi vita iliyopo duniani ni vita dhidi ya maadili tunaona jinsi ushenzi wa kimagharibi na maadili yasiyofaa kutoka West yanavyolitesa bara la Afrika na Waafrika hadi Asia na Latin pia wamekua ni wahanga wakubwa wa kupotoka maadili kunakosababishwa na nchi za Magharibi.

Ni muhimu sana kwa watoto wetu wapate elimu ya dini, mimi wangu wanasoma Day na ni private lakini nahakikisha madrasa wanaipata hata kama mimi baba yao sijaweza kusimama mwenyewe imara kidini lakini sitaki watoto wangu waje kuwa kama mimi nataka watoto ambao watakua kusimama na kuielewa dini vizuri leo na kesho.

Huo ndiyo ujumbe wangu kwenu.

#Kimaro
S ahihi kabisaa.
 
Are you stupid?Kwahyo kuoa mke zaidi ya mmoja ni upotofu wa maadili?

Umeona hilo lisigida jeusi kwenye paji la Uso? Aliongeza mke wa pili ili awe anapiga mtungo double double. Haya ni matokea ya Madrassa.
 
Wasichana waliosoma madrassa ndio wanaongoza kwa kuolewa wake wawili wawili na kupigwa mitungo kama akina wa Haji Manara. Huo ni upotufu mkubwa wa maadili kupigana mitungo.

==========================
Update: 08/12/2022

Endelea kufikiria ujinga wako , Hawa ndio mojawapo wa mashetani wanaoongelewa humu
 
Endelea kufikiria ujinga wako , Hawa ndio mojawapo wa mashetani wanaoongelewa humu
Kama hilo shetani la ngono za mtungo lililofanya hayo mauaji , chanzo kikubwa ni mafundisho aliyopata Madrassa
 
Endelea kufikiria ujinga wako , Hawa ndio mojawapo wa mashetani wanaoongelewa humu
Muhammad alikuwa govi na anapiga wanawake tisa mtungo ana oga akimaliza wote tisa , fikiria alivyo kuwa ananuka

Nukuu sahih ya waislamu
Muhammad used to go round (have sexual relations with) all his wives in one night, and he had nine wives. Sahih al-Bukhari 5068

One day the Messenger of Allah had sexual intercourse with (all) his wives with a single bath. Sunan Abi Dawud 218
 
Familia/mzazi/mlezi itakkayofanikiwa kuwa mtoto atakayehifadhi Quran kifuani mbele Allah ataombwa awaombee msamaha watu kadhaa Sasa akifanikiwa kukutaja wewe umepona.

Tuwahimize watoto wahifadhi Quran.

Ushauri katika hili ninkwamba watoto wafumdushwe herufi kama vile wanavyosomeshwa 'a' 'e' 'i' 'o' 'u'.

Kule madrasa ataweza kusoma vizuri na hatachukua Muda mrefu kujifunza na kusoma.

Sio kama enzi zetu tikuwa tukiimba
Kwa kuhifadhi Quran tu ndo apewe nafasi ya kuwaombea msamaha watu!!!!??? Aisee, kumbe ni rahisi hivyo!?
 
Na huo uzinzi mnaofanya chanzo ni madrasa? Mke mmoja halali mia hawara nao mmepata madrasa elimu hyo? Hakika nyie ni maadui kwetu hvyo sitoweza kubisahana nawe
Athari za madrasa hizi!!! Huu utumwa wa dini za kigeni umeliharibu taifa, umetufanya tuwe mateka wa fikra.
Mtu mweusi unambagua mweusi mwenzio kisa hamuamini katika dini moja! Unamuona mzungu au mwarabu ni ndugu yako zaidi ya yule mnayeishi naye nyumba moja au mtaa mmoja! Ujinga mtupu.
 
Ushauri wake ulipaswa uwe watoto wazingatie zaidi elimu ya kawaida na sayansi kuliko madrasa kwa sababu sasa hivi kwa asilimia kubwa ni kinyume chake. Fika huko Lindi na Mtwara ndio utaelewa vizuri
 
Natumai nyie ni wazima wa afya,

Leo nimeona nilete huu ushauri kwa wazazi wa kiislam kuwa tujitahidi sana watoto wetu waende madrasa wapate elimu ya dini.

Elimu ya kawaida tunajua ni muhimu sana na kwasasa kila muislam kaamka kuhusu elimu ya kawaida ila naombeni tu msiache kuwapeleka watoto madrasa.

Ikishindikana kabisa hakikisha mwanao anapata access ya elimu ya dini maana hii dunia ya sasa hii huko tuelekeapo ni pabaya sana shetani yupo kazini kwelikweli.

Sahivi vita iliyopo duniani ni vita dhidi ya maadili tunaona jinsi ushenzi wa kimagharibi na maadili yasiyofaa kutoka West yanavyolitesa bara la Afrika na Waafrika hadi Asia na Latin pia wamekua ni wahanga wakubwa wa kupotoka maadili kunakosababishwa na nchi za Magharibi.

Ni muhimu sana kwa watoto wetu wapate elimu ya dini, mimi wangu wanasoma Day na ni private lakini nahakikisha madrasa wanaipata hata kama mimi baba yao sijaweza kusimama mwenyewe imara kidini lakini sitaki watoto wangu waje kuwa kama mimi nataka watoto ambao watakua kusimama na kuielewa dini vizuri leo na kesho.

Huo ndiyo ujumbe wangu kwenu.

#Kimaro
Aah case za madrasa watoto kulawitiwa, watoto na wale wenzao wakubwa kuingiliana wao kwa wao, matusi midomo michafu usiseme. Tuombe sana Mungu aiseh.
 
Elimu ya uhalisia na sayansi isichanganywe na mambo mengine ya dini/imani.
Swala la maadili ni tatizo sugua ila tuangalie na upande mwingine.

Bora elimu ziwe zinafanya kazi pamoja kuliko kubagua pawe na mitaala mizuri tu watu wapata elimu zote kwa wakati mmoja.

Wanaofungisha dini nao wanakatisha Tamaa kwa kesi zao za ovyo daily.
 
Elimu ya uhalisia na sayansi isichanganywe na mambo mengine ya dini/imani.
Lazima wasome kwa pamoja ,maana dini inabase kweny malevi na tabia katika jamii.
Iyo nyingine ni elimu ya mazingira na kutambua dunia inavyoenda.
 
Athari za madrasa hizi!!! Huu utumwa wa dini za kigeni umeliharibu taifa, umetufanya tuwe mateka wa fikra.
Mtu mweusi unambagua mweusi mwenzio kisa hamuamini katika dini moja! Unamuona mzungu au mwarabu ni ndugu yako zaidi ya yule mnayeishi naye nyumba moja au mtaa mmoja! Ujinga mtupu.
Sio uislamu huo
 
Manara si Allah wala mtume wetu, sisi tunafwata Allah anachosema kupitia quran na mtume wake sasa na kama manara ana uwezo na Allah ameruhusu wa nne ukiwa na nafasi sisi haitusumbui na kama anaoa na kuacha kwa nia ya kuwachezea pia si juu yetu ni juu ya nafsi yake na allah ndie atakaehukumu
Hiv Allah ndo Mungu huyu huyu tunaembiwa ndo atakaetuandalia mbingu cjui peponi au sisi wakristo tuna Mungu wetu
 
Natumai nyie ni wazima wa afya,

Leo nimeona nilete huu ushauri kwa wazazi wa kiislam kuwa tujitahidi sana watoto wetu waende madrasa wapate elimu ya dini.

Elimu ya kawaida tunajua ni muhimu sana na kwasasa kila muislam kaamka kuhusu elimu ya kawaida ila naombeni tu msiache kuwapeleka watoto madrasa.

Ikishindikana kabisa hakikisha mwanao anapata access ya elimu ya dini maana hii dunia ya sasa hii huko tuelekeapo ni pabaya sana shetani yupo kazini kwelikweli.

Sahivi vita iliyopo duniani ni vita dhidi ya maadili tunaona jinsi ushenzi wa kimagharibi na maadili yasiyofaa kutoka West yanavyolitesa bara la Afrika na Waafrika hadi Asia na Latin pia wamekua ni wahanga wakubwa wa kupotoka maadili kunakosababishwa na nchi za Magharibi.

Ni muhimu sana kwa watoto wetu wapate elimu ya dini, mimi wangu wanasoma Day na ni private lakini nahakikisha madrasa wanaipata hata kama mimi baba yao sijaweza kusimama mwenyewe imara kidini lakini sitaki watoto wangu waje kuwa kama mimi nataka watoto ambao watakua kusimama na kuielewa dini vizuri leo na kesho.

Huo ndiyo ujumbe wangu kwenu.

#Kimaro
Ungemalizia kabisa kuwa wawe makini mana kwenye madrasa ndio watoto wengi hulawitiwa na kubakwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom