Ushauri kwa wazazi wa Kiislam: Wapelekeni watoto Madrasa

Upuuzi wa dunia ni pamoja na ndoa za mtungo, among others, na madrassa ndio zinazopalilia wanawake kuolewa wake wa pili na watuta ect. Kwa style ya mtungo
Ok, mbona hujibu uzinzi mnaoufanya umepaliliwa na nani
 
Na huo uzinzi mnaofanya chanzo ni madrasa? Mke mmoja halali mia hawara nao mmepata madrasa elimu hyo? Hakika nyie ni maadui kwetu hvyo sitoweza kubisahana nawe
Hao wenye mahawara nao waanzishiwe uzi, maana huo nao ni upotofu wa maadili. Ila hapa tunazungumzia madrassa na mchango wake katika kufundisha wanawake kukubali kuolewa kwa style ya mtu wake wa4 hadi 7 kuoingana na uwezo wa kifesha na uwezo wa kupiga mashine, manara kwa uwezo wake keshavuta watatu
 
Kuna madrasa kibao nzuri za watu wenye maadili tu na zaidi unaweza lipa mwalimu kuja kuwafundisha nyumbani
Mimi kumkaribisha mwl nyumbani kunifundishia watoto naona ni changamoto
 
Mimi kumkaribisha mwl nyumbani kunifundishia watoto naona ni changamoto
Inategemea na walimu wako wazuri tu, tena wakati mwingine inakua nafasi ya watu wa nyumba yako kusoma kwa wakati mmoja,
 
Manara si Allah wala mtume wetu, sisi tunafwata Allah anachosema kupitia quran na mtume wake sasa na kama manara ana uwezo na Allah ameruhusu wa nne ukiwa na nafasi sisi haitusumbui na kama anaoa na kuacha kwa nia ya kuwachezea pia si juu yetu ni juu ya nafsi yake na allah ndie atakaehukumu
 
Ni vigumu Sana ngamia kuingia kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia motoni
Ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuona ufalme wa mbinguni.
Hapa usipotuliza kichwa unaweza usipate jibu.
N.B
Siku hizi watu wanaabudu dini na wala si Mungu. Nimeishi na waislamu na wakristo wanaosema wanamcha Mungu lkn bilabla.
Hapa hapa, naishi na waislam wanyaturu na wanyiramba. Hawa hata ukiwakuta wanakula hawawezi kukaribisha chakula ni zaidi ya salamu tu lkn misikitini wanaenda.
 
Sasa hivi watu wanaabudu dini na siyo Mungu. Nimeishi na waislam na wakristo lkn 0.
Kuna maustadhi muda wote matusi yaani hawezi kuongea bila tusi lkn ikifika mida anaenda kuswali. Hapo ulipo unaangalia mtu wa kumpa msaada ili baadae akusaidie.
 
Sasa hivi watu wanaabudu dini na siyo Mungu. Nimeishi na waislam na wakristo lkn 0.
Kuna maustadhi muda wote matusi yaani hawezi kuongea bila tusi lkn ikifika mida anaenda kuswali. Hapo ulipo unaangalia mtu wa kumpa msaada ili baadae akusaidie.
Si afikiani na matusi yao lkn angalau tree anakumbuka swala na huenda ktk jitihada zao hizo za swala Allah akajlia uongofu hvyo mtu kutenda dhambi si kigezo cha kuacha yale aliyoamrisha mola wake .
 
Lengo ni kuhurumiana na kusameheana. Basi mengine hatuwezi
 
Ndoa za mtungo ni upotofu wa maadili, hata kama Allah amewaruhusu, upotofu ni upotofu tu, na upotofu huu unakuzwa zaidi na kumezeshwa kwa wanawake kupitia Madrassa ili wakubali kupigwa mtungo na wanaume wenye tamaa ya ngono. Ngono za mtungo ni upotofu kwa maadili ya jamii, keep Allah out of it.
 
Tatzo wewe dereva una stress sana za kuendesha magari ya wenzio
 
Are you stupid?Kwahyo kuoa mke zaidi ya mmoja ni upotofu wa maadili?
 
Tatzo wewe dereva una stress sana za kuendesha magari ya wenzio
Yawezekana. Ila Madrassa kama chombo cha kukuza michezo ya kupigana mtungo si kitu cha kupromote mitandaoni kama ulivyojaribu kufanya.
 
Are you stupid?Kwahyo kuoa mke zaidi ya mmoja ni upotofu wa maadili?
Ofcourse ni upotofu wa maaadili, Kupigana mtungo ni upotofu wa maadili ndio, its obvious, are you Stupid??! Watu wenye ulafi wa ngono hutumia dini kama loophole, type ya kina doctor mwaka!

 
mnatia aibu dini chafu
 

Attachments

  • 07ea55840c060e2a2d0906e0521b7b2a.mp4
    1.8 MB
Muhammad alikuwa anapiga mtungo wanawake 9 kwa siku bila kuoga
Nukuu sahih ya waislamu
Muhammad used to go round (have sexual relations with) all his wives in one night, and he had nine wives. Sahih al-Bukhari 5068

One day the Messenger of Allah (May peace be upon him) had sexual intercourse with (all) his wives with a single bath. Sunan Abi Dawud 218
 
Post unaileta wewe na unashangaa wewe kwa msisitizo sasa unataka sisi tufanyeje!
 
Wasichana waliosoma madrassa ndio wanaongoza kwa kuolewa wake wawili wawili na kupigwa mitungo kama akina wa haji manara. Huo ni upotufu mkubwa wa maadili kupigana mitungo
Kwa hivyo mitungo ya nyumba ndogo inayozalisha watoto wa nje iko sawa, au unasemaje? Maana kila siku humu watu wanajisifu kuwa na michepuko kadhaa bila ya hofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…