Uliwachungulia ama? Ulichoshauri ni sawa, kwa ajili ya maadili na utimamu wa saikolojia ya mtoto. Ila hilo la kuwashuhudia ndio linaleta taabu, ulipiga chabo ama wewe ni kichaa walifanya mbele yako na hukuona tabu kuwabatua makofi.Nimeshuhudi ndio maana nimeandika nimeshuhudia zaidi ya mara moja, elewa mkuu
Ni wazazi sio kutaniko la wazazi na wapo wengi wanaofanya hivyo lakini haipendezi kufanya hivyo mbele ya watoto hata km ndio mmeshapiga kinywaji kimewakolea basi nendeni chumbani wazazi msiwaonyeshee watoto
😂😂😂😂😂Yaan mapenz ile ya kuwekeana mdudu au?
Mkuu soma vizuri nilichoandika utanielewa nimeshuhudia sijachunguliaUliwachungulia ama? Ulichoshauri ni sawa, kwa ajili ya maadili na utimamu wa saikolojia ya mtoto. Ila hilo la kuwashuhudia ndio linaleta taabu, ulipiga chabo ama wewe ni kichaa walifanya mbele yako na hukuona tabu kuwabatua makofi.
Hapana mkuu sio vichaa
Dah wazazi hao ni vichaaNdio mkuu ndio nimemaanisha hivyo
Oya Tusepe Mpaji Mungu sio mchezombaya zaidi una watoto wa kiume na wa kike, ukikuta siku wananya mnawalaani.. ajabu!
ni kweli wazazi vichaa nakubaliUngeanza na neno
,Wazazi vichaa, maana sioni mzazi timamu akifanya hayo,
Watu wanakataa ila mimi nimeshuhudia kwa macho sasa watoto wanaiga huoni km hio ni mbaya, najaribu kushauri watu wanaanza kuhamisha mada kwamba wazazi ni vichaa sio vichaa ni uzumbukuku wa mapenzi tu na kujisahau wewe mzazi usifanye mapenzi mbele ya watoto hata iwejeNi moja ya vitu vya aibu sana maana Hawa watoto wako vizur sana kwenye kuiga kitu chochote ambacho wazaz wanafanya ndan
Kuna video niliiona ni aibu na inasikitisha mtoto wa umri miaka mitatu minne ila umri huo wakiwa wanafanya Hilo tendo wakike juu wakiume chini
Astaqafilullah ni huzuni