Waziri wa Fedha pamoja na wasaidizi wako nataka niwashauri kuhusu kodi ya plate number binafsi [Majina kwenye plate Namba] za vyombo vya moto (Magari) kama tunataka kuongeza mapato huduma hiyo iwe na watumiaji wengi
Ishuke iwe kwa mwezi, serikali iweke Tsh laki moja kwa mwezi [100,000] itapata Watanzania wengi sana kuliko hizo gharama za milion 5 inabaki kwa watu wachache.
Ikishuka ikawa laki moja kwa mwezi hata IST watu wataweka namba binafsi(Majina) ,wenye namba A ,B,C,D wataweka namba binafsi.
SIO SAWA.
UKISHUSHA BEI KILA MMOJA ATAMUDU TUTAKUWA NA MAJINA MENGI BARABARANI HUTAJUA YUPI NI YUPI KIRAHISI ALAFU WABONGO WENGI MAJINA YANAFANANA. JUMA, JOHN, PETER, RAMADHANI, HAMISI, ETC.