Ushauri kwa Yanga kipindi cha pili, mgeni wetu aruhusiwe kuongeza mchezaji wote tuwe 11 kwa 11

Ushauri kwa Yanga kipindi cha pili, mgeni wetu aruhusiwe kuongeza mchezaji wote tuwe 11 kwa 11

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Kadi nyekundu wamepewa kiulaini sana na imewaua na kuharibu ladha ya mpira

Tunataka kuona ubora wa wachezaji wetu na timu yetu yanga

Hatuwezi kuona ubora kwa usahihi kwa kucheza na timu pungufu

Kama rafu hata sisi tumecheza nyingi ila refa hajatupa kadi

Tumpe nafasi mgeni wetu.. mechi ni ya kirafiki tu hiii.. tumbebe mgeni wetu kufuta ile red card
 
Ni kama CCM. DED (Refarii) ameamua arahisishe ushindi. Kama ulivyosema, hatuwezi kuipima vizuri timu yetu kwa timu isiyokamilika!
 
Kadi nyekundu wamepewa kiulaini sana na imewaua na kuharibu ladha ya mpira

Tunataka kuona ubora wa wachezaji wetu na timu yetu yanga

Hatuwezi kuona ubora kwa usahihi kwa kucheza na timu pungufu

Kama rafu hata sisi tumecheza nyingi ila refa hajatupa kadi

Tumpe nafasi mgeni wetu.. mechi ni ya kirafiki tu hiii.. tumbebe mgeni wetu kufuta ile red card
Hilo halipo.

Hapo atolewe wa Yanga kwa Red ndo inawezekana
 
Utopolo wakipendelewa wao basii sheria halali.Angetolewa mchezaji wao ingedaiwa TFF ni Simba,marefa ni Simba mpaka FIFA ni Simba.
Kwa wachezaji hao niliwaona jana Bingwa anajulikana. Tunangojea visingizio.
 
Back
Top Bottom