Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

Wanaume wote ni single haijalishi ameoa au hapana.
Nyie wanawake huwa hampendi kuambiwa ukweli.
Ukose mbususu kwa kusema ukweli. Hapana
Michepuko iambiwe ukweli vaa pete uonekane wewe ni mume wa mtu. Sema ukweli ili ahida isijitokeze ajue mipaka yake.
 
Mmh
 
Shida yenu kubwa nyinyi wanawake watu wakweli hamtutaki. Mi mwenyewe zamani nilikuwaga mkweli nikapataga demu mmoja mbaya kama mbibi vile watu kumbe wananicheka kisogoni. Ila nilipochangamka na kuanza uongo nimekula mpaka mzungu, mwarabu, mchina na msomali. Wa kibongo hao ndo usiseme hakuna mkoa ambao sijala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…