Naona jamaa unielewi na hujanielewa mimi nimepiga uongo kutumia ikiwa wewe ni Mume wa mtu lakini kwa mambo mengine Unaweza kuutumiaHata mwanamke wa Kawaida lazima utumie uongo unless amekuelewa au una hela za kumuonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona jamaa unielewi na hujanielewa mimi nimepiga uongo kutumia ikiwa wewe ni Mume wa mtu lakini kwa mambo mengine Unaweza kuutumiaHata mwanamke wa Kawaida lazima utumie uongo unless amekuelewa au una hela za kumuonga
OK, Asante sana, haya mambo watu wanayachukulia kijuujuu tu lakini unapoji angage yanajenga na kuwa commitment sasa wengi hawapendi kuwa committed, na suala zima la mapenzi na pia ikumbukwe mapenzi au upando sio kuparamiana kimapenzi hapana wengi hudhani hilo ndio la msingi, which not!, mapenzi kimsingi huishi ndani ya moyo, kumwona mpenzi wako na kufurahi kula pamoja kuche ka, and all that add joy, umeona mummii!The same here i am single and not ready to mingle in JF halafu sungle meaning sijaolewa
Ukiambiwa ukweli utatoa mbususu..!? Nyie hamuendi bila kambaAcheni kuwa waongo dunia hii sio ya zamani mtazimwa kabisa.
Wanawake wamechoka wanaume waongoo, unamke sema mtu aolewe kwingine kwani mkisema nimekupenda na nimume wa mtu kuna ubaya gani?
Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.
Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.
Muwe na wakati mwema
Ndioo kama nimempendaUkiambiwa ukweli utatoa mbususu..!? Nyie hamuendi bila kamba
Yes i want to be a wife of some bodyOK, Asante sana, haya mambo watu wanayachukulia kijuujuu tu lakini unapoji angage yanajenga na kuwa commitment sasa wengi hawapendi kuwa committed, na suala zima la mapenzi na pia ikumbukwe mapenzi au upando sio kuparamiana kimapenzi hapana wengi hudhani hilo ndio la msingi, which not!, mapenzi kimsingi huishi ndani ya moyo, kumwona mpenzi wako na kufurahi kula pamoja kuche ka, and all that add joy, umeona mummii!
*Don't you wish to be a wife of somebody one day? I don't mean here ladie, be serious
OK thank you so much, hili ni kusudio la kila binadamu mkamilifu./au aliyekamilika kimaumbile na mwenye kuhitaji heshima.Yes i want to be a wife of some body
Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.
Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.
[emoji23]mchepuko akijua una mke ndo nuksi inaanza, mwingine ataiba namba ya mkeo amtafute ukizingua lazima aku-blackmail. Kwanza utachukuaje mchepuko mtaa unaoishi? Kama unakaa Kigamboni chukua mchepuko Kimara , siku moja moja vaa pete ya ndoa hata kama huwa huvai atajiongeza mwenyewe baadaye unajipigia tu na yeye ashajiongeza una mke, sasa amjue mke wako umeambiwa ni ndugu?
Acheni kuwa waongo dunia hii sio ya zamani mtazimwa kabisa.
Wanawake wamechoka wanaume waongoo, unamke sema mtu aolewe kwingine kwani mkisema nimekupenda na nimume wa mtu kuna ubaya gani?
Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.
Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.
Muwe na wakati mwema
Pole sana mkuuAcheni kuwa waongo dunia hii sio ya zamani mtazimwa kabisa.
Wanawake wamechoka wanaume waongoo, unamke sema mtu aolewe kwingine kwani mkisema nimekupenda na nimume wa mtu kuna ubaya gani?
Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.
Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.
Muwe na wakati mwema