cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utarogwa vibaya wee.Tayari mtu ameshaliwa kimasihara..
Pole sana, tatizo wanaume wa siku hizi wabishi sana (in Smart911 voice)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utarogwa vibaya wee.Tayari mtu ameshaliwa kimasihara..
Pole sana, tatizo wanaume wa siku hizi wabishi sana (in Smart911 voice)
Amtaje watu tumsuuze. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unique Flower nilishakwambia mtaje jina nikusaidie kumchambaaaa....[emoji3][emoji3]
jf haiwez kuwa na matapeli wa mbususu hlf tuwachekee
Kuna wanawake bikra zinatokea bila hata kufanya mapenzi,Mwanamke anayejiheshimu ni yule anayobikra basi wote ni malaya tu kwa sababu wamezini na unavyosema malaya na wanaojiuza wewe mwenyewe unajiuza na nimalaya sema hujajijua kwa kivipi . Tu mwenyewe huna bikra umevunjwa na hao unao wahita malaya halafu hao malaya ndio wanakukubali ukiwa una minyege yako na hao wanawake wenye heshima wakikunyima kisa huna hela .
Sijapigwa na kitu kizito tu nileo nimeenda kurepair dread zangu sasa nikasikia wadada wanamvyomteta mwanaume fulani kuhusu kumwambia yeye ni single na wamezaanaye mtoto na miaka 2 yote hajajua kuwa ni mume wa mtu ameamua kitu kibaya huyo mwanaume na nikibaya
Haha, me niliishigi na mwanamke for 3yrs kama mke na mume ila tuliachana mwaka jana nilifuma messages za yeye na mchepuko wake (sponsor) mwanamke anamwambia Sponsor kuwa hana mtu na hapo alipo anaishi kwa Uncle wake, Yaani kwangu mimi ndo kwa uncle wake kwahiyo mimi ni uncle kwake "Oyaaaa we malaya toa nje vitu vyako sitaki kukuona mbele ya macho yangu..."
Sijapigwa na kitu kizito tu nileo nimeenda kurepair dread zangu sasa nikasikia wadada wanamvyomteta mwanaume fulani kuhusu kumwambia yeye ni single na wamezaanaye mtoto na miaka 2 yote hajajua kuwa ni mume wa mtu ameamua kitu kibaya huyo mwanaume na nikibaya
Sasa nikikwambia sina mpango wa kuoa nataka nikunyandue utanielewa kweli ?Exactly, yan kama unataka kuwa mtu wa kunyanduana tuu just say it, sio ohoo nakupenda, hakuna zaid yako, mimi sio kama wengine, we are tired na hizo bullshit jmn.
Kama umeoa sema ukwel kwamba "nimevutiwa na wewe ila mimi nimeshaoa. Au tuwe na mahusiano lakin lengo la kukuoa sina, hata mtu akikubali anajua vipi amejipanga moyoni mwake, ili tuepushe mambo ya kulizana lizana.
Sasa huyo dada amfanye msukule huyo mwanaume, ili amkomeshe.Hii kitu imeenea sana nowdays
Kuna dada mpaka kapelekwa nyumbani kwa mume
Kumbe mume wa mtu
Dada alikabidhi mpaka password za bank maskin[emoji119]
Usifanye hivyo jamani mremboHeri nibaki single ptuuuuujuui
Heri ukweli mchungu kuliko uongo🥺🥺. watu wameteketea kisa uongoUsifanye hivyo jamani mrembo
Huwa unachukua muda gan kuwachunguza? Mpaka unadate na Mume wa mtu inathibitisha wewe siyo Mchoyo, Ahsante endelea kugawa utamu.Acheni kuwa waongo dunia hii sio ya zamani mtazimwa kabisa.
Wanawake wamechoka wanaume waongoo, unamke sema mtu aolewe kwingine kwani mkisema nimekupenda na nimume wa mtu kuna ubaya gani?
Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.
Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.
Muwe na wakati mwema
Karibu sana nawewee ugawiwe ila ninao wagawia wanalipa kodi ml 5 kwa mwezi na matumizi halafu kingine hawatumii tigoo. Wanajali sana.Huwa unachukua muda gan kuwachunguza? Mpaka unadate na Mume wa mtu inathibitisha wewe siyo Mchoyo, Ahsante endelea kugawa utamu.
Nani ajinyonge kwa ajili ya nani kwa wanaume wa sasa ishi kwa akili tu na pia mjue jamboo wanawake wanawatu wao . Sema tu hawapendi kusema wanapimaUtkuja ujinyonge
Hyo ni Hadith ya mtume.uongo mwingine NI ndugu waliogombana ukitumia uongo kuwapatanisha na ukiwa mateka unaweza kuwadanganya watekaji wako ili uachiwe.Shekhe kweli?Nisaidie aya gani 😀😀😀
Asante nimekupata mkuuHyo ni Hadith ya mtume.uongo mwingine NI ndugu waliogombana ukitumia uongo kuwapatanisha na ukiwa mateka unaweza kuwadanganya watekaji wako ili uachiwe.