Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
🤣
🤣
tuhurumie ndo tulivyo
🤣
tuhurumie ndo tulivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kuloga ndio imekuwa kimbilio kubwa kwenu, mabazazi wenzangu tujizindike kikamilifu.Tena uongo mwingine unavuka hadi mipaka ya utu na ubinadamu, watu wanaenda hadi kutambulishana kwa wazazi kumbe mtu ni mume wa mtu. Mtakuja mlogwe vibaya sana kwenye familia za watu mbakie na majuto yasiyoisha.
Ukiwa mkweli kupata wanawake itakuwia vigumu unless uwe na ela tofauti na hapo uongo haukwepekiBinafsi sipendezwi na mtu ni Mume wa mtu alafu unamdanganya binti wa watu tunaweza kuwa tunadanganya lakini isiwe issue sensitive kama hii
"Sina shida na Wanaume" Kuna mwanaume aliujeruhi moyo wako na mpaka Leo hujapona jeraha la moyoMimi sina stress na raha za maisha sana tu labda kitu kidogo kinachonipa stress ni hili moja tu hela nitazijazaje mimi sina muda na wanaume.
Kweli social media ni nzuri sana .
Zinakusaidia urelax ni kweli soon nitauchukua ushauri wako.
Nimeshaenda hospitali na pia sina shida ya akili labda wewe unashida fulani ya kunitaka nikuseme vibaya .
Jingine laiti ungejua no minder nakazi nyingi ikiwemo kuagua .
Wanawake na ukweli hawakai sentensi mojaMkiambkwa ukweli hamtoi papuchi
Mwanamke anayejiheshimu umwambie tuwe na mahusiano ya kunyanduana na akubali ni ngumu, Malaya na wadangaji ndo wanaokubali ukiwaambia hivyoExactly, yan kama unataka kuwa mtu wa kunyanduana tuu just say it, sio ohoo nakupenda, hakuna zaid yako, mimi sio kama wengine, we are tired na hizo bullshit jmn.
Kama umeoa sema ukwel kwamba "nimevutiwa na wewe ila mimi nimeshaoa. Au tuwe na mahusiano lakin lengo la kukuoa sina, hata mtu akikubali anajua vipi amejipanga moyoni mwake, ili tuepushe mambo ya kulizana lizana.
Haya mnasema hapa nyuma ya marimba ya mzungu ila reality sio hivyo.Exactly, yan kama unataka kuwa mtu wa kunyanduana tuu just say it, sio ohoo nakupenda, hakuna zaid yako, mimi sio kama wengine, we are tired na hizo bullshit jmn.
Kama umeoa sema ukwel kwamba "nimevutiwa na wewe ila mimi nimeshaoa. Au tuwe na mahusiano lakin lengo la kukuoa sina, hata mtu akikubali anajua vipi amejipanga moyoni mwake, ili tuepushe mambo ya kulizana lizana.
Mimi nazungumzia kwenye issue Hiyo ukiwa ni Mume wa mtu sizungumzii uongo kiujumlaUkiwa mkweli kupata wanawake itakuwia vigumu unless uwe na ela tofauti na hapo uongo haukwepeki
Bibie unashindwaje kutujua kama sisi tumeoa ?Acheni kuwa waongo dunia hii sio ya zamani mtazimwa kabisa.
Wanawake wamechoka wanaume waongoo, unamke sema mtu aolewe kwingine kwani mkisema nimekupenda na nimume wa mtu kuna ubaya gani?
Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.
Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.
Muwe na wakati mwema
Hata mwanamke wa Kawaida lazima utumie uongo unless amekuelewa au una hela za kumuongaMimi nazungumzia kwenye issue Hiyo ukiwa ni Mume wa mtu sizungumzii uongo kiujumla
Katika uislam uongo aina 3 umeruhusiwa kwenye UISLAM.
Moja wapo mume kumdanganya mkewe.
Mungu anajua alivyoziumba akili zenu na anajua yule nyoka alimwambia Nini mama yenu hawa
Duh jamaa una link mpaka Eden?😀😀Ukiwa mkweli unaonekana zoba
Asili ya wanawake ni kudanganywa
Ilianzia pale EDEN
Heri nibaki single ptuuuuujuuiUmesema ukwel ila mwanamke siku zote ukimwambia ukwel humpati ng'oo sema ngoja twende na hii formula uongo kwanza ukwel badae
Mwanamke anayejiheshimu ni yule anayobikra basi wote ni malaya tu kwa sababu wamezini na unavyosema malaya na wanaojiuza wewe mwenyewe unajiuza na nimalaya sema hujajijua kwa kivipi . Tu mwenyewe huna bikra umevunjwa na hao unao wahita malaya halafu hao malaya ndio wanakukubali ukiwa una minyege yako na hao wanawake wenye heshima wakikunyima kisa huna hela .Mwanamke anayejiheshimu umwambie tuwe na mahusiano ya kunyanduana na akubali ni ngumu, Malaya na wadangaji ndo wanaokubali ukiwaambia hivyo
Mie nilizwe na mwanaume wa mtu weeh sii hingoma labda inginePole sana #flower lakini laha si mlipata wote?
Kinachomfanya mtu alie ni zile promises walizokuwa wanazipanga possible a girl aliweka mno akilini, so then turnout lately a misery after a guy quitout all, lakini angepata let say mtu mstaarabu kama mm sidhani kama ningefanya hivyo, unajua umakini unahitajika sana katika issue hizi, waaminifu na politemen ni wachache sana indeed I still topingup, hey ladies be keen.Mie nilizwe na mwanaume wa mtu weeh sii hingoma labda ingine
The same here i am single and not ready to mingle in JF halafu sungle meaning sijaolewaKinachomfanya mtu alie ni zile promises walizokuwa wanazipanga possible a girl aliweka mno akilini, so then turnout a misery after a guy quitout all, lakini angepata let say mtu mstaarabu kama mm sidhani kama ningefanya hivyo, unajua umakini unahitajika sana katika issue hizi, waaminifu na politemen ni wachache sana indeed I still topingup, hey ladies be keen.