Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

Ushauri kwenu wanaume: Acheni kuwadanganya wanawake, elezeni ukweli wenu

Unapokuwa na uhusiano na binti yoyote Alafu wewe ni Mume wa mtu ni vizuri ukawa mkweli kwasababu itakusaidia hata kumanage familia yako na huyo mchepuko kwasababu mchepuko atakuwa anajua mipaka yake ni ipi ila unapokuwa sio muwazi kuna hasara kubwa kuzidiwa kwa upande mmoja ndio maana wanasema huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja
mchepuko akijua una mke ndo nuksi inaanza, mwingine ataiba namba ya mkeo amtafute ukizingua lazima aku-blackmail. Kwanza utachukuaje mchepuko mtaa unaoishi? Kama unakaa Kigamboni chukua mchepuko Kimara , siku moja moja vaa pete ya ndoa hata kama huwa huvai atajiongeza mwenyewe baadaye unajipigia tu na yeye ashajiongeza una mke, sasa amjue mke wako umeambiwa ni ndugu?
 
mchepuko akijua una mke ndo nuksi inaanza, mwingine ataiba namba ya mkeo amtafute ukizingua lazima aku-blackmail. Kwanza utachukuaje mchepuko mtaa unaoishi? Kama unakaa Kigamboni chukua mchepuko Kimara , siku moja moja vaa pete ya ndoa hata kama huwa huvai atajiongeza mwenyewe baadaye unajipigia tu na yeye ashajiongeza una mke, sasa amjue mke wako umeambiwa ni ndugu?
Hiyo inategemea na level ya maturity ya huyo mchepuko
 
Hiyo inategemea na level ya maturity ya huyo mchepuko
Ishanitokea wakati naishi kigeto geto ! Nilikosea kumpeleka geto na anajua ni wangu ambaye ni serious, siku mwenyewe akaja akavamia getoni na kuanza mhusika mwenyewe ,nikachukua defender na kumweka ndani kwa siku moja ,alipotoka hata msg hajawahi kutuma tena achilia mbali kuleta makanyagio yake getoni.
 
Mna tamaa na kukimbilia kuvua vyupi kwa ahadi bila kuchunguza kwanza...unatongozwa leo leo ,unapewa ahadi leo na unavua kyupi na kuweka miguu juu kama popo leo leo, huyo mwanaume atakuwa mjinga akikuoa.
Ni kweli kabisa sio uongoo . Ila wewe mume wa mtu unaambiwa usizini,unazini usimtamani mkewa jirani yako unamtani,umeoa ila huwezi kutoshawishika ukioa tayari umeamua kufocus na maisha ya ndoa namwezi wako umetokea wapi kusex na mtu nje ya ndoa ungebaki huko huko.
Kuvua kiyupi siku hiyo hiyo hujui mwenzio hajatongozwa miaka mingapi ukaja wewe akatae tena siatakufa na hamu zake.
 
Haha, me niliishigi na mwanamke for 3yrs kama mke na mume ila tuliachana mwaka jana nilifuma messages za yeye na mchepuko wake (sponsor) mwanamke anamwambia Sponsor kuwa hana mtu na hapo alipo anaishi kwa Uncle wake, Yaani kwangu mimi ndo kwa uncle wake kwahiyo mimi ni uncle kwake "Oyaaaa we malaya toa nje vitu vyako sitaki kukuona mbele ya macho yangu..."
 
Ni kweli kabisa sio uongoo . Ila wewe mume wa mtu unaambiwa usizini,unazini usimtamani mkewa jirani yako unamtani,umeoa ila huwezi kutoshawishika ukioa tayari umeamua kufocus na maisha ya ndoa namwezi wako umetokea wapi kusex na mtu nje ya ndoa ungebaki huko huko.
Kuvua kiyupi siku hiyo hiyo hujui mwenzio hajatongozwa miaka mingapi ukaja wewe akatae tena siatakufa na hamu zake.
sasa kwanini mnasingizia kwamba mnadanganywa wakati mna minyege , we elewa tu huu ni uwongo mtoane minyege
 
Katika uislam uongo aina 3 umeruhusiwa kwenye UISLAM.
Moja wapo mume kumdanganya mkewe.
Mungu anajua alivyoziumba akili zenu na anajua yule nyoka alimwambia Nini mama yenu hawa
 
Hawa viumbe vp, mmesahau kama kudanganywa ni asili yenu? Mwanamke bila kumdanganya humpati ng’o. Na kuna mwingine unamweleza ukweli ila hakatai ombi lako anakubaliana na mwanaume mi kama mwanaume nimkatae.
Na mwanaume aliyeoa anajua kutunza mchepuko kuliko hawa single
 
Shida mnapenda sana uongo kuliko ukweli na mkiambiwa ukweli mnachomoa! Sasa nani yuko tayari akose mbususu kwa kuongea ukweli!
 
Acheni kuwa waongo dunia hii sio ya zamani mtazimwa kabisa.

Wanawake wamechoka wanaume waongoo, unamke sema mtu aolewe kwingine kwani mkisema nimekupenda na nimume wa mtu kuna ubaya gani?

Dunia hii sio ambayo ni yakumdanganya mtu itafikia siku asilimia kubwa ya wanaume ni matahira, mazuzu, vichaa kisa uongo.

Watu siku hizi hawataki utani wanataka watu wanaojitambua .
Mnaelewa jifanyeni mnajua ipo siku mtalikumbukia hili.

Muwe na wakati mwema
ukieleza ukweli upati kitu, speaking from experience
 
Back
Top Bottom