Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
the gentleman is done politically,Haiwezekani uchaguzi umeanza wewe unaitwa vyombo vya habari kutaka kuzua taharuki.
Nashauri chama kimzuie asilete taharuki.
Kamkimbia mh Makonda Arusha akiamini katika siasa hana tena chake
View attachment 3201080
he is no longer relevant nor influencial in polical arena š