Ushauri : Lisu imetosha kubali yaishe, Jiengue kwenye nafasi ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ushauri : Lisu imetosha kubali yaishe, Jiengue kwenye nafasi ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Wadau ...

Nipende kumshauri mpinzani wa kweli na Muumini wa Demokrasia Mh Tundu A. Lisu kuwa ni busara kujiengua mapema kwenye kiini macho kinachosubiriwa cha uchaguzi CDM, watu ambao wanaenda kupiga Kura wanakula , wanalala kwa gharama za Mbowe. Wewe Nani atakupigia Kura japo wanafahamu uwezo unao?

Huoni kukubali kuliendea sanduku la Kura unakuwa umehalalisha kuwa kuna Demokrasia ndani ya CDM wakati kiuhalisia haipo?

Lisu huoni kitendo cha wewe kukubali kwenda kushindana na Mbowe ni kujishusha hadhi na Imani yako mbele ya wapenda Haki ambao wameshaona kuwa uchaguzi hauwezi kuwa wa Haki na Mshindani wako Mbowe Hilo ameshaliweka wazi lazima ashinde?

Mbowe hakupaswa kuwania tena hiyo nafasi, na kama ulijua kuwa Mbowe ana Nia ya kuwania usingejisumbua kuchukua fomu.

Anyway kwa kuwa CDM inafanya biashara wacha wachukue hizo Milioni 1.5 za fomu
 
Kwani alipotangaza nia hakujua kuwa Mbowe nae anaweza kugombea ?? Kwani alipotangaza nia akili yake ilimtuma kuwa Mbowe atamuachia ? Au akili yake ilimtuma kuwa Mbowe atamuogopa hata nae asiende kuchukua fomu ??
Sasa acha aende kwenye uchaguzi.Demokrasia ndio muamuzi yeye ni mwamini wa demokrasia akishinda sawa akishindwa hewalaaa ! Lakini nimshauri tu Tundu Lissu nje ya CHADEMA hatoboi hata kidogo !
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wadau ...

Nipende kumshauri mpinzani wa kweli na Muumini wa Demokrasia Mh Tundu A. Lisu kuwa ni busara kujiengua mapema kwenye kiini macho kinachosubiriwa cha uchaguzi CDM, watu ambao wanaenda kupiga Kura wanakula , wanalala kwa gharama za Mbowe. Wewe Nani atakupigia Kura japo wanafahamu uwezo unao?

Huoni kukubali kuliendea sanduku la Kura unakuwa umehalalisha kuwa kuna Demokrasia ndani ya CDM wakati kiuhalisia haipoi?

Lisu huoni kitendo cha wewe kukubali kwenda kushindana na Mbowe ni kujishusha hadhi na Imani yako mbele ya wapenda Haki ambao wameshaona kuwa uchaguzi hauwezi kuwa wa Haki na Mshindani wako Mbowe Hilo ameshaliweka wazi lazima ashinde?

Mbowe hakupaswa kuwania tena hiyo nafasi, na kama ulijua kuwa Mbowe ana Nia ya kuwania usingejisumbua kuchukua fomu.

Anyway kwa kuwa CDM inafanya biashara wacha wachukue hizo Milioni 1.5 za fomu
Lissu kafanya kazi kubwa ya ku expose nyufa kwenye jumba la cdm, bila uongozi kubadilika watu makini itakuwa ngumu kuwashawishi

Kwa expose usanii wa mbowe ametusaidia kubuni harakati nyingine upya kuliko tungeendelea kuitegemea cdm ya kisanii
 
Kwani alipotangaza nia hakujua kuwa Mbowe nae anaweza kugombea ?? Kwani alipotangaza nia akili yake ilimtuma kuwa Mbowe atamuachia ? Au akili yake ilimtuma kuwa Mbowe atamuogopa hata nae asiende kuchukua fomu ??
Sasa acha aende kwenye uchaguzi.Demokrasia ndio muamuzi yeye ni mwamini wa demokrasia akishinda sawa akishindwa hewalaaa ! Lakini nimshauri tu Tundu Lissu nje ya CHADEMA hatoboi hata kidogo !
Wewe ni mjinga
 
Lissu anaenda kuzikwa kisiasa, alianza kutukana mamba, atapigwa kama ngoma
 
Ukute yeye hayuko serious na haya mambo nyie tu ndio mko serious mwezenu anataka kupiga pesa, shauri yenu.
 
Lissu kwisha habari yake.
Ni aina ya kiongozi mjinga,mropokaji,hana mipango,hana subira,hana upeo wa kuona kesho.
 
Kwani alipotangaza nia hakujua kuwa Mbowe nae anaweza kugombea ?? Demokrasia ndio muamuzi yeye ni mwamini wa demokrasia akishinda sawa akishindwa hewalaaa ! Lakini nimshauri tu Tundu Lissu nje ya CHADEMA hatoboi hata kidogo !

wengi wa washabiki wake wanamdanganya sana, tundu lisu ni maarufu mitandaoni tena kwa wanafunzi wa sheria na wanasheria (baadhi) kwa maana wanarelate naye na ndiyo wako vocal mitandaoni kila mahali lkn on the ground tundu lisu hawezi kushinda any popular vote tz hata kama Kanisa takatifu likisimamia uchaguzi na mbowe &co. wanalijua hilo, mbowe hawezi kuwa mjinga hivyo kama anajua tundu lisu ana uwezo wa kuiingiza chadema madarakani au hata tu kufikisha kura na wabunge ambao lowasa aliwaleta 2015 they is no way mbowe ange-stand in the way kwani ni interest ya mbowe chadema kufanikiwa pia …
 
wengi wa washabiki wake wanamdanganya sana, tundu lisu ni maarufu mitandaoni tena kwa wanafunzi wa sheria na wanasheria (baadhi) kwa maana wanarelate naye na ndiyo wako vocal mitandaoni kila mahali lkn on the ground tundu lisu hawezi kushinda any popular vote tz hata kama Kanisa takatifu likisimamia uchaguzi na mbowe &co. wanalijua hilo, mbowe hawezi kuwa mjinga hivyo kama anajua tundu lisu ana uwezo wa kuiingiza chadema madarakani au hata tu kufikisha kura na wabunge ambao lowasa aliwaleta 2015 they is no way mbowe ange-stand in the way kwani ni interest ya mbowe chadema kufanikiwa pia …
Sawa Kijakazi wa Mbowe.
 
Chadema uchaguzi wa ndani ya chama huwa ni kipindi cha seke seke kwao, miaka yote.
 
Usimjengee mentality za uoga who is Mbowe ?

Muache apambania hadi hatua ya mwisho.

Mbowe ameshakatiliwa , atapata cheo Ila atapoteza reputation yake yote.
Mbowe amesema chama ni mali yake.

Nani ahangaike na mali ya mtu mmoja asiyewaamini wengine wote?
Hivi hiki chama ni kikubwa kuliko nchi ?
Ni wazi kuwa Mbowe anatafuta umaarufu kupitia maumivu ya wengine huku yeye akijifanya ni mwema na mwenye uzalendo kumbe ni mbwa mwitu mkali katikati ya kondoo anayewala usiku na mchana.
 
Wadau ...

Nipende kumshauri mpinzani wa kweli na Muumini wa Demokrasia Mh Tundu A. Lisu kuwa ni busara kujiengua mapema kwenye kiini macho kinachosubiriwa cha uchaguzi CDM, watu ambao wanaenda kupiga Kura wanakula , wanalala kwa gharama za Mbowe. Wewe Nani atakupigia Kura japo wanafahamu uwezo unao?

Huoni kukubali kuliendea sanduku la Kura unakuwa umehalalisha kuwa kuna Demokrasia ndani ya CDM wakati kiuhalisia haipo?

Lisu huoni kitendo cha wewe kukubali kwenda kushindana na Mbowe ni kujishusha hadhi na Imani yako mbele ya wapenda Haki ambao wameshaona kuwa uchaguzi hauwezi kuwa wa Haki na Mshindani wako Mbowe Hilo ameshaliweka wazi lazima ashinde?

Mbowe hakupaswa kuwania tena hiyo nafasi, na kama ulijua kuwa Mbowe ana Nia ya kuwania usingejisumbua kuchukua fomu.

Anyway kwa kuwa CDM inafanya biashara wacha wachukue hizo Milioni 1.5 za fomu
Hakuna kujiengua walakuenguliwa hadi kieleweke
 
Wadau ...

Nipende kumshauri mpinzani wa kweli na Muumini wa Demokrasia Mh Tundu A. Lisu kuwa ni busara kujiengua mapema kwenye kiini macho kinachosubiriwa cha uchaguzi CDM, watu ambao wanaenda kupiga Kura wanakula , wanalala kwa gharama za Mbowe. Wewe Nani atakupigia Kura japo wanafahamu uwezo unao?

Huoni kukubali kuliendea sanduku la Kura unakuwa umehalalisha kuwa kuna Demokrasia ndani ya CDM wakati kiuhalisia haipo?

Lisu huoni kitendo cha wewe kukubali kwenda kushindana na Mbowe ni kujishusha hadhi na Imani yako mbele ya wapenda Haki ambao wameshaona kuwa uchaguzi hauwezi kuwa wa Haki na Mshindani wako Mbowe Hilo ameshaliweka wazi lazima ashinde?

Mbowe hakupaswa kuwania tena hiyo nafasi, na kama ulijua kuwa Mbowe ana Nia ya kuwania usingejisumbua kuchukua fomu.

Anyway kwa kuwa CDM inafanya biashara wacha wachukue hizo Milioni 1.5 za fomu
Mbowe kahaidiwa pesa ndefu sana na ccm kwa kumzuia lissu na kuiua chadema ...maana mbowe anajua vizuri kuwa yeye kugombea na akishinda ni kifo kamili cha chadema ...hivyo mbowe yupo.kwenye misheni na ccm ya mchongo wa pesa
 
Back
Top Bottom