Ya kwenu imeshafika tamatiTulieni safari bado ndefu!
Yaani mtu kapigwa ngumi yuko chini anasema ungenipiga kichwa. Wewe uliona wapi mfungwa anachagua adhabu na jela?Hiyo ni kazi ya hakimu (Simba).Ukipewa amri unalala na usingizi huna. Ndio adha ya kuwa mfungwa.
Huyu ni kati ya makocha wabovu kabisa waliowahi kuifundisha yanga katika kipindi cha miaka 20 iliyopita , ni mara mia kazi hiyo angepewa Kataraia Minziro .
Wana Yanga mtakubaliana na mimi kwamba tangu ameichukua timu hii , kile kiwango cha kimataifa ilichokuwa inacheza timu yenu , kile kiwango kilichoifanya Tanzania ijivunie yanga kimepeperuka mithili ya Njiwa wa uganga .
Fukuzeni huyu jamaa haraka sana kuinusuru timu yenu na aibu inayokuja .
Tutakufuta ww Kwanzaa. .Tulizen korodany zenu sisi tunataka ccm pamoja na yanga yake tuwafutilie mbal kwenye huu uso wa bongo.
wewe.umemfukuza nani toka uzaliwe?Huyu ni kati ya makocha wabovu kabisa waliowahi kuifundisha yanga katika kipindi cha miaka 20 iliyopita , ni mara mia kazi hiyo angepewa Kataraia Minziro .
Wana Yanga mtakubaliana na mimi kwamba tangu ameichukua timu hii , kile kiwango cha kimataifa ilichokuwa inacheza timu yenu , kile kiwango kilichoifanya Tanzania ijivunie yanga kimepeperuka mithili ya Njiwa wa uganga .
Fukuzeni huyu jamaa haraka sana kuinusuru timu yenu na aibu inayokuja .
Inauma mkuu ukiwaza kichapo cha Azam na leo tena ndindiMkuu Kufungwa ni Sehemu Ya Mchezo
Tuvumilie Vuta Subira.
Maneno yako Nifah hayajaanguka chini hakukuwa na sababu timu inafanya vizuri kisha kubadilisha kocha imekuwa mlima mkubwa kwetu kuupanda nakuunga mkono hapa . Wacha tujipange hakuna namna waliofanya maamuzi watakuwa wanajuta sisi huku wanatulaza mapema .Jamani Wanayanga wenzangu hili nililisema tokea mwanzo,sikiridhia kabisa suala la kumtoa Pluijm na kumleta huyu Mzambia.
Niliwaambia kabisa hofu yangu ni kubwa,haya sasa mambo mnayaona.
cc Guasa Amboni nasmapesa na wengine wote tuliojadili kuhusu suala la ujio wa kocha mpya kwenye mechi za mwisho wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu bara.
Hakika mkuu naumia sana! Sidhani kama maumivu haya yataisha leo wala kesho.Maneno yako Nifah hayajaanguka chini hakukuwa na sababu timu inafanya vizuri kisha kubadilisha kocha imekuwa mlima mkubwa kwetu kuupanda nakuunga mkono hapa . Wacha tujipange hakuna namna waliofanya maamuzi watakuwa wanajuta sisi huku wanatulaza mapema .
Kwan umeshndwa nn kufunga ww penalty . Simbaaaa buanaaa!!!!!Kkunifundisha nini kwa hizo penalty! ?
Pole bibie hapana pokea simu ya mzazi yeye anathamani kubwa kuliko hicho ambacho mnakinzana wengi tulipata khofu na kutabiri madhira haya na kweli yametokea piga moyo konde ni sehemu ya mchezo tena basi hakuna raha kama kuumia kwa unachokipenda hapo unadhihirisha upenzi wako ulio TUKUKA kwa timu yetu once again pole dada yangu .Hakika mkuu naumia sana! Sidhani kama maumivu haya yataisha leo wala kesho.
Juzi jumapili nilitoka na Niqab nyumbani maana sithubutu kukatiza kitaa najisikia aibu sana,sasa kesho sijui nauweka wapi uso wangu.
Hadi leo kwa mara ya kwanza maishani nimeacha kupokea simu ya baba yangu mpenzi (yeye ni Mzee wa Msimbazi)
Imeniuma sana [emoji24].