Ushauri: Mahari ifutwe?

Ushauri: Mahari ifutwe?

Mimi naona huo utaratibu uendelee kuwepo ili wajinga waendelee kupigwa.

Yaan umempa heshima mwanamke na bado umewaondolea mzigo bado unamtunza tena ulipe hela za kumchukua huo ni ujinga.

Nasema hivi mahali isizidi laki 3,ikizidi hapo ni wizi mtupu.
Hayo ni mawazo ya kijinga sana yaani et unafikiri kuoa ni kuwaondolea mzigo, mzigo upi??? Mtoto wa watu anakuja Kwako kifua kimesimama chuchu zinavutia mpaka udenda unakutoka anakuwaje mzigo kwao, na Bado anakuzalia watoto na Wewe unajiona jembe huo mzigo wa hiyo mwanamkee ni upi kwamba kwao wameshindwa kumlisha, kumvisha??? Tuacheni dharau basi na Wewe utakuja kuwa na mtoto wa kike atakuwa mzigo Kwako umwambie tu mwanaume ambebe??
 
Hapana nakataa mahari sio kikwazo hapo kikwazo kilikuwa Kwa hiyo muolewaji hakuwa Tayari kuishi na jamaa yako, mahari haijawah kuwa kikwazo kama muolewaji ameamua kuolewa
Daah hiili suala linahuzunisha sana kuna Jamaa Jana alikua anasimulia ameshindwa kuoa sababu ya Mahari yaani unaambiwa ukweni walimwambia alipe Million 2 na Laki 5, shughuli anazofanya na malipo ya mahari haviendani kabisa hivyo amebaki kuishi uchumba sugu huu mwaka wa 10 bado hajaoa mke kashamzalisha watoto watatu ila ndoa hawajafunga kisa Mahari parefu

Mahari hizi au vikwazo vya kutokuoa?
 
Hapana nakataa mahari sio kikwazo hapo kikwazo kilikuwa Kwa hiyo muolewaji hakuwa Tayari kuishi na jamaa yako, mahari haijawah kuwa kikwazo kama muolewaji ameamua kuolewa
Hawa wanaishi pamoja km mke na mume

Waliishia kuchumbiana tu na kuanza kuishi
Pamoja
Ila hawajaoana sababu ya Mahari mkuu
 
Mahari inatakiwa ilipwe kwa mwanamwali "mwanamke bikira" tu...
 
Kwanza; tujadili suala la kuoa. Kuoa ni upumbavu sana.
 
Hayo ni mawazo ya kijinga sana yaani et unafikiri kuoa ni kuwaondolea mzigo, mzigo upi??? Mtoto wa watu anakuja Kwako kifua kimesimama chuchu zinavutia mpaka udenda unakutoka anakuwaje mzigo kwao, na Bado anakuzalia watoto na Wewe unajiona jembe huo mzigo wa hiyo mwanamkee ni upi kwamba kwao wameshindwa kumlisha, kumvisha??? Tuacheni dharau basi na Wewe utakuja kuwa na mtoto wa kike atakuwa mzigo Kwako umwambie tu mwanaume ambebe??
Wanawake umewaona wameolewa kifua kimesimama [emoji23][emoji23][emoji23]. Amechezewa na watu zaidi ya ya wanne ndio anakuja kuolewa, leo useme amekuja kwangu kwaajili ya ndoa ilihali wanatafuta unafuu wa maisha.

Mabinti wangapi walioolewa uliona wanauwezo wakimaisha wakati wamesimama hawajui waende wapi. Kamuulize binti aliyetoka chuoni kama anataka ndoa, atakwambia, I want to develop my carrier na kuwastable ila ndoa sio mpango, subiri 1 to 2 years uone atakujibu nini maana wanakuwa wameweka mwanaume kama contingency plan baada ya maisha au ajira kuwakataa.

Kijana, wanaume tunaishi kwenye hii hii jamii tuliochanganyikana na wanawake hivyo ujue wao sio malaika na siwatakatifu ni binadamu tu. Usitetee point kwakumkweza mtu fulani ili aonekane yeye ni bora huo ni ukosaji wa maarifa. Watu wanafanya hadi upumbavu mpaka tushaanza tusiulizane yaliyopita tugange yajayo leo useme eti chuchu saa sita. Njoo uone mabinti wanavyotoa mimba hospitalini. Acha primitive thinking.
 
Tunong'oneze ndugu yetu.Unaweza kutushawishi tukahamia kijijini kwenu.
Jaribu kuufuatilia Uislamu ila sharti kwa watu walosoma sio hawa wapenda ubwabwa
utafahamu yalo mengi ambayo yanafichwa na dini nyengine ili hali kwenye Uislamu ni mambo rahisi sanaaa
 
Hawa wanaishi pamoja km mke na mume

Waliishia kuchumbiana tu na kuanza kuishi
Pamoja
Ila hawajaoana sababu ya Mahari mkuu

Wanawake umewaona wameolewa kifua kimesimama [emoji23][emoji23][emoji23]. Amechezewa na watu zaidi ya ya wanne ndio anakuja kuolewa, leo useme amekuja kwangu kwaajili ya ndoa ilihali wanatafuta unafuu wa maisha. Mabinti wangapi walioolewa uliona wanauwezo wakimaisha wakati wamesimama hawajui waende wapi. Kamuulize binti aliyetoka chuoni kama anataka ndoa, atakwambia, I want to develop my carrier na kuwastable ila ndoa sio mpango, subiri 1 to 2 years uone atakujibu nini maana wanakuwa wameweka mwanaume kama contingency plan baada ya maisha au ajira kuwakataa. Kijana, wanaume tunaishi kwenye hii hii jamii tuliochanganyikana na wanawake hivyo ujue wao sio malaika na siwatakatifu ni binadamu tu. Usitetee point kwakumkweza mtu fulani ili aonekane yeye ni bora huo ni ukosaji wa maarifa. Watu wanafanya hadi upumbavu mpaka tushaanza tusiulizane yaliyopita tugange yajayo leo useme eti chuchu saa sita. Njoo uone mabinti wanavyotoa mimba hospitalini. Acha primitive thinking.
Nadhani wewe ndio una primitive thinking, au ndo nyie mnawaza ukioa aliye na uwezo atakusaidia maisha?? Maisha mwanaume hasaidiwi anapambana, mke wangu nimemuona akiwa anamalizia mwaka wake mwisho chuo na ni mhasibu aliyeajiliwa Sasa, na rafiki zake wote aliosoma nao tumeshakula ubwabwa yaanii wameolewa Sasa sijui wanafunzi gani wa chuo ambao hawataki kuolewa, hayo mawazo ya kwamba eti mwanamke kuolewa anatafuta unafuu wa maisha ni mawazo ya kijinga Sana, mbona hao wanaume wanaoa wengine hata mahari wanasaidiwa na wanawake hao hao, Kwani hujaona wanaume nao wanataka kuoa wanawake wenye pesa hao wanawake nao watakuwa wanatafuta unafuu wa maisha?? Hebu amka usingizi mkuu, kama wa kwako alisema anataka kuolewa na wewe Kwa sababu ya maisha usisemee wote, halafu suala la kusema eti wanakuja wamechoka nani anawachosha?? Kama huoni haja ya kuoa na usioe.
 
Nadhani wewe ndio una primitive thinking, au ndo nyie mnawaza ukioa aliye na uwezo atakusaidia maisha?? Maisha mwanaume hasaidiwi anapambana, mke wangu nimemuona akiwa anamalizia mwaka wake mwisho chuo na ni mhasibu aliyeajiliwa Sasa, na rafiki zake wote aliosoma nao tumeshakula ubwabwa yaanii wameolewa Sasa sijui wanafunzi gani wa chuo ambao hawataki kuolewa, hayo mawazo ya kwamba eti mwanamke kuolewa anatafuta unafuu wa maisha ni mawazo ya kijinga Sana, mbona hao wanaume wanaoa wengine hata mahari wanasaidiwa na wanawake hao hao, Kwani hujaona wanaume nao wanataka kuoa wanawake wenye pesa hao wanawake nao watakuwa wanatafuta unafuu wa maisha?? Hebu amka usingizi mkuu, kama wa kwako alisema anataka kuolewa na wewe Kwa sababu ya maisha usisemee wote, halafu suala la kusema eti wanakuja wamechoka nani anawachosha?? Kama huoni haja ya kuoa na usioe.
Sasa wewe kilichofanya uwajumuishe wanawake wote wanakuja wakiwa ni wabichi ni nini kama unajua hata kuna wanaume wanaoa wanawake ili wapate ubora wa maisha. Unatuletea exceptions za wewe, kwani unaishi peke yako duniani. Mabinti wa shule na chuo wanajiuza mitandaoni kwaajili ya kutafuta maisha leo unatuletea theory wanakuja wakiwa wanachuchu saa sita😂😂😂.

Idadi ya single parents imeongezeka hasa single moms kupelekea wanaume kuwaoa hao wanawake na kukubali kulea watoto wa mwanaume mwingine, we unatuletea exceptions za wewe. Wanawake wanajua mtu ni mme wa mtu na bado wanaendelea kufanya ushenzi wakifikiri ni kawaida, wewe unatuletea mada ya wakiwa sijui na chuchu saa sita.

Hatuoi shape wala sura bali tabia, sasa kaa hapo kisa binti yangu anavitu hivi na hivi useme eti nibora hivyo wakumpata lazima atoe hichi, umeambiwa yeye ni ng'ombe anauzwa. Unakariri maisha superficial ya wadada hasa wasomi na asilimia chache walioajiriwa wanaojionyesha ni disciplined kumbe watu wamefanya na wanafanya uzinzi wa kufa mtu tangu chuoni.

Narudia kukwambia, kama wanawake wangeishi kivyao tusijue yanayotokea basi ungetuongopea ila jamii hii ambayo wanaume na wake tumechanganyikana, uongo uo sahau. Watu wanakupa shuhuda kila siku za mabinti kuwaka matamaa ya pesa na kuishiwa kuchezewa kimasihara leo uniambie eti binti sijui chuchu saa sita, kwani umeambiwa ni bidhaa huyo.

Acha mawazo ya kiunafiki na jua, mtoto wa kiume analelewa vivyohivyo. Leta hoja makini lakini sio ya kumfanya mwanamke aonekane special maana hii humlemeza au aonekane sexual object. Hao wanawake wenye vipato umewaona wangapi, nahuwezi amini pamoja na serikari kuweka upendeleo kwenye ajira kwa jinsia yao, ila bado niwategemezi kwawanaume sana tena sana.
 
Isifutwe ILA intabidi wachangishane na huyo binti then kiasi kitakacho patikana wanaanzia maisha
 
Mahali iongezwe. Vijana wajitume kufanya kazi, wajue kabisa bila chambi chambi hawapati jiko [emoji16][emoji16]
Ukisikia na kuona wanalialia hivi hadi mitandaoni ujue mahari siku hizi haishikiki, mahari ya chini sana ni milion moja na nusu hadi nne. Halafu kwa makusudi mazima wanamtuma mshenga mgonjwa ataaga dunia tu na mazishi yake yatakuwa kesho saa kumi, maana hiyo 4m NI mahari tu bado shuka la babu, mkaja, kanzu ya mjomba, kilemba Cha Bibi na makorokoro kibao,

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naona huo utaratibu uendelee kuwepo ili wajinga waendelee kupigwa.

Yaan umempa heshima mwanamke na bado umewaondolea mzigo bado unamtunza tena ulipe hela za kumchukua huo ni ujinga.

Nasema hivi mahali isizidi laki 3,ikizidi hapo ni wizi mtupu.
Aliyekuambia binti NI mzigo nyumbani kwao Nani? Lipa mahari chukua binti huna acha wengine watatoa na kuozeshwa

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kuufuatilia Uislamu ila sharti kwa watu walosoma sio hawa wapenda ubwabwa
utafahamu yalo mengi ambayo yanafichwa na dini nyengine ili hali kwenye Uislamu ni mambo rahisi sanaaa
Mwambie tu kwamba mahari kwa Islam ni ya muolewaji, wazazi hawapati hata senti moja labda binti mwenyewe aamue kuwagawia au kuwaachia yote na si rahisi maana ana mahitaji mengi yanayomuhusu kwenye ndoa yake,

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom