Ushauri: Mama mdogo anamsema vibaya mchumba wangu kumbe anajihusisha naye kimapenzi!

kumbe bado hujaguswa? kwetu tigo inasumbua huna mtandao wa Airtel au zantel uweke hapa nikupigie usiku
 
kuhusu wa mkataba niliahirisha kutokana na maushauri yenu. A'm in a very real trouble I need help. Niwape hongera wale waliokutana na mpenz mmoja na huyo huyo makemisty yao yakaendana. Hawajui adha 2nazopata sie wengine. Full kizunguzungu.

wewe unasema hujasex nao watakaaje na wewe? ndio maana huyo kaenda kwa mama mdogo coz anampa vitu we unabana!
 
Kuja tufunge namimi bana! PM tu nitakupata
 
hapo kweli kuna kuomba ushauri wakati na wewe unaona kabisa uchafu wa huyo mchumba feki na mamayako mdogo....achana naye huyo hakufai kabisa kama kaweza kutembea na mama yako mdogo hao wengine si ndiyo atawazoa kama gari la taka???!!! mwambie MUNGU ASANTE KWA KUKUEPUSHA NA NDOA YA TAABU....UNGEOLEWA NA HUYO JAMAA ANGEKUSUMBUA SANA...TULIA UWESIWE NA HARAKA UTAPATA MUME ATAKAYEKUFAA NA UKAJA KUFURAHIA MAISHA YA NDOA......HAKUNA RAHA NZURI KAMA YA KWENYE NDOA HASA UKIPATA BAHATI YA KUPATA MKE AU MUME AYEAMUA KUILINDA,KUITHAMINI,KUIPENDA,KUITUNZA NDOA YAKE....TULIA MDOGO WANGU MUMEO YUPO ANAANDALIWA NA MUNGU UTAMPATA TU...ILA POLE KWA SABABU NAAMINI UMEUMIA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE POLE SANA.
 
easy, easy! Easy guys

Sasa imagine huyo N4G ni mkeo wa raha na shida tayari mmeshafunga makufuli ya milele. Halafu asubuhi anakueleza hili mchana lingine na jioni lingine. Kwenye kiibodi tu hapa mnakereka, huyo mumewe?
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?

hahhahah wananchi mna kumbukumbuu...labda story ya kutunga jamani.mshauri tu Michelle
 
Huyu ni Not Enough guys do u remember aliaga amekuja sasa kivingine
 
easy, easy! Easy guys

Sasa imagine huyo N4G ni mkeo wa raha na shida tayari mmeshafunga makufuli ya milele. Halafu asubuhi anakueleza hili mchana lingine na jioni lingine. Kwenye kiibodi tu hapa mnakereka, huyo mumewe?

Sipati picha inakuwaje
 
huu sasa umekuau ukumbi wa stori za kutunga. Nami nna yangu. Jana nimeota nimelala na mlinzi mmoja wa gadafi, alikuja kujificha tz baada ya kukimbia libya. Je nimwambie waifu, au ataona wivu? Nishaurini
 
Huyo mchumba hakufai kwa kuwa si mwaminifu yaani mpaka kaamua kujivinjari na mama yako mdogo !!!. Na huyo mama yako mdogo sijui kampa nini huyo jamaa mpaka anakusaliti. Au pengine kampa kale kamtandao kanakotoza nusu shilingi baada ya dakika ya kwanza ?
 
huu sasa umekuau ukumbi wa stori za kutunga. Nami nna yangu. Jana nimeota nimelala na mlinzi mmoja wa gadafi, alikuja kujificha tz baada ya kukimbia libya. Je nimwambie waifu, au ataona wivu? Nishaurini

Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani hebu acheni kutuchekesha bana
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?

Yaani afadhali umesema dada Michelle, hata nami nimeshangaa!!!
 
Dena this is bullshit, .....tunamweka mtu tusiyemjua maanani,tunampa ushauri then kumbe anadanganya....!!!!

I support you Michelle, yaani unakaa unapoteza muda hapa kumpa ushauri mtu wakati unajua ni upuuzi tu... lazima kutilia maanani hivi vitu.. manake watu wanapost uongo halafu mnajaza server kuchangia kumbe ni udwanzi tu...
 

Mhhh:A S 13::A S 13::A S 13:........na wakati unatafuta mpenzi wa mkataba, hapo ulikuwa unawaza nini? hayo mapenzi ya mkataba bila sex....ndo yakoje vile???
 
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !

Kila la kheri....!!!
 
kuhusu wa mkataba niliahirisha kutokana na maushauri yenu. A'm in a very real trouble I need help. Niwape hongera wale waliokutana na mpenz mmoja na huyo huyo makemisty yao yakaendana. Hawajui adha 2nazopata sie wengine. Full kizunguzungu.

Wewe bado ni binti mdogo, tulia dada. Hebu mshirikishe Mungu kwenye utafutaji wako huo? Muombe Mungu atakusaidia na kukupa kijana mwaminifu! Kila la heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…