huu sasa umekuau ukumbi wa stori za kutunga. Nami nna yangu. Jana nimeota nimelala na mlinzi mmoja wa gadafi, alikuja kujificha tz baada ya kukimbia libya. Je nimwambie waifu, au ataona wivu? Nishaurini
Sijui what is she thinkingWewe bado ni binti mdogo, tulia dada. Hebu mshirikishe Mungu kwenye utafutaji wako huo? Muombe Mungu atakusaidia na kukupa kijana mwaminifu! Kila la heri
I support you Michelle, yaani unakaa unapoteza muda hapa kumpa ushauri mtu wakati unajua ni upuuzi tu... lazima kutilia maanani hivi vitu.. manake watu wanapost uongo halafu mnajaza server kuchangia kumbe ni udwanzi tu...
Sijui what is she thinking
Yaani afadhali umesema dada Michelle, hata nami nimeshangaa!!!
Yaani huyu dada hajatulia hata kidogo,......na sio rahisi kuamini anachokisema!
Still bado anarudi na kutetea anachokisema akiona ni sawa i just don't understand what are his intentions akitoka hapo ataanza kulaumu wanaume wabayaYaani huyu dada hajatulia hata kidogo,......na sio rahisi kuamini anachokisema!
Kifupi hiyo ni Rula balaaHivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?
ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
Kinachoniuma ni pale alipokuwa anatafuta mpenzi....sasa hao wakaka wa watu waliomtafuta? kumbe mwenyewe hajielewi wala hayuko serious?
Kazi kweli kweli......!!!!
She might tell you she's okay and she doesn't need thatKama ni kweli anachosema, basi anahitaji msaada zaidi....psychological counselling!
She might tell you she's okay and she doesn't need that
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?
ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
Babu wa Loliondo kiboko amekuwa over night celebrity ghaflaBasi aende kwa babu wa loliondo......lol; kwani babu hatibu haya matatizo???!!!
Babu wa Loliondo kiboko amekuwa over night celebrity ghafla
Aahaaa ahaaa Keren usinichekeshe banaa yaani BABU LOLIONDO angekuwa mbele mbele CNN, CNBC wangeishamfanyia live coverage l.o.lYaani babu angepata mshauri angekuwa millionaire sasa....!!! Angempata dk. Ndodi.....mambo yake yangekuwa mbali sasa!!!