Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
God bless
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amsha amsha zipi kama za Makonda?Kunenge kapoa sana jiji linataka amsha amsha hili
Makonda jambazi tu kama za makambaAmsha amsha zipi kama za Makonda?
Si umezungumzia amsha amsha?Makonda jambazi tu.kama za makamba
That guy was half man half devil.Mwendazake alitaka Makalla amsulubishe Sugu na chadema yake pale Mbeya, lkn Makalla akacheza fairly.
Mwendazake akafura kama kifutu akamhamishia Makalla mkoani Katavi. Lkn kumbe alikuwa bado anamtafutia visa tu.
Wakati wa zoezi la uuzaji wa vitambulisho vya wamachinga, Amos aliuza vitambulisho 6,000 tu. Maana mkoa wa Katavi wamachinga hawazidi buku 5.
Mwendazake akamtupilia mbali Makalla. Makalla akajaribu kugombea ubunge 2020, kashinda kura za maoni lkn bado mwendazake akalikata jina la Makalla.
Mwendazake hakuwa mtu.
Hao hawamfikii John Mhaville!Tukiacha roho mbaya za majitu ya mtandaoni na majungu ya Chadema hakuna wakuu wa mikoa wa Dar ambao wanaweza kuvuja record ya ufanisi na uchapakazi ya Makamba Sir na P .C .Makonda
Surely, he a monster.that guy was half man half devil.
Atakuwa amekwisha akicheza hapoAjiepushe na Cloudsiiiii hilo genge la Kusaga likishamkumteka basi
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Tarehe 18 ni leo na Mkuu wa Mkoa anayeondoka alisema hawataondolewa. Ila kwa hali iliyopo wasipoondolea mitaa ya Dar itakuwa imeharibika kabisaNiliskia wenye vibanda pembeni ya barabara wamepewa mpaka tarehe 18.5. wawe wameondoka.
kama Makonda probably?Kwa hiyo hapo Dar anakuja kupiga kazi au kula bata?