Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Karibu sana boss, repair industry inalipa, leta maswali tutakuwa tunajibiana taratibu, wote tunajifunza na hatutakiwi kuchoka
Mimi ninafanya tv/monitor repair ninashida ya smd rework station ninaweza kuipata wapi?
 
Nina laptop yangu ilizima tu ghafla nimepeleka kwa mafundi imeshindikana tatizo laweza kua ni nn?
 
View attachment 1160572

Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.

Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop

Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician

Profesional Nilisomaga Diploma Ya Clinical Medicine Lakin Mapenz Na Fikra Zangu Zipo Kwenye Electronics Tangu Mtoto, So Hata Nilipokuwa Chuo Bado Niliwekeza Nguvu Kwenye Electronics Ingawaje Nasoma Medicine.

Leo Ningependa Ku Share Na Nyinyi Experience Na Mbinu Na Ningependa Wengine Wajifunze Jinsi Ya Ku Run Phone And Computer Repair Business.

1. TAMBUA NA JIFUNZE BASIC ELECTRONICS KJKM

Hiki Ndio Kitu Kikubwa Kuliko Vyote, Kwa Maana Mafundi Wengi Hawajui Haswaa Kufanya Motherboard Repair Wanasingizia Motherboard Imeunguaz But Motherboard Haijawahi Kuungua Na Haitaungua, Kwa Maana Motherboard Ina IC Zaid Ya 50 + Other Eletronics Component Ambazo Sio Rahis Zote Kupiga Short.
Wanafanya Hivyo Kwa Sababu Hawajui Na Hicho Ndicho Kinachofanya Motherboarx Repair Iwe Most Paid Job Kwenye Repair Business.

Nitajifunzaje???

Kujua Electronics Kunaanzia Na Kuipenda Na Kuchezea Vifaa
Kwa Repair Kwanza Tambua Motherboard Component Na IC, Capacitors, Drivers, Mosfet Etc.
Pia Tambua Na Hivi

JINSI YA KUTUMIA MULTIMETER
JINSI YA KUUNGA COMPONENTS (SOLDERING & DESOLDERING)
SHORT CIRCUIT & NORMAL CIRCUIT
JINSI YA KUSOMA SCHEMATIC DIAGRAM

Vitu Vyote Utavipata Google Na Yourube So Tumia Internet Vizuri Na Tools Zipo Baadhi Cheap Sana, Mfano Multimeter Ni Elfu 8 Tu Kariakoo, Soldering Iron Cheap Ni Elfu Kumi Tu Kariakoo
Means Ukiwa Na Is 20k Basic Tools Zote Utazipata.

2. USIOGOPE KUWEKEZA KWENYE VIFAA

Vifaa Vipo Vingi Na Vinalipa Ila Vifuatavyo Ni Vifaa Basic Ambavyo Mimi Ninlmetumia Na Naamini Vinatumik Sana Katika Kazi Hizi.

MULTIMETER
SOLDERING STATION
LCD SEPARATOR
LAPTOP
ANT STATIC WRAP
BENCH POWER SUPPLY (30V, 10A)
HAND TOOLS (SCREWS, Etc)
USB VOLTMETER
REPAIR MICROSCOPE (Advanced Users)
Etc.
Mimi Nimepiga Hesabu Kwa Vifaa Hivyo Kariakoo Unavipata Kwa 1 Million Vote (Toa Microscope)

Always Kumbuka Vifaa Vinajilipa.

3. UAMINIFU, UAMINIFU, UAMINIFU.

Hapa Ndipo Mtihani Unapoanzia Maana 90% Ya Mafundi Ni Waongog Na Sio Waaminifu, Wanaiba Sana Vifa Vya Wateja Wao Na Wanatakaga Watanguliziwe Pesa Hatay Kama Kazi Imegoma, Wakishachukua Pesa Wanaanza Sound
Jitahid Usiwe Kama Hao, and Kuwa Mkweli Na Muaminifu
Mimi Ofisini Kwangu Ni 24 Hour's Muda Wa Kusubir Baada Ya g Hapo Mteja Atarudishiwa Kifaa Chake, Kama Imeshindikana Imeshindikana Tu, La Sivyo Kiwe Kinataka Spair Imeagizwa Na Mteja Akakubali Kusubir.

4. JIFUNZE UTOAJI HUDUMA NA KAULI SAHIHI

Wateja Ni Kama Mtoto Au Mpenzi Anahitaji Lugha Na Kauli Nzuri Ili Arudi Tena, Tambua Aina Za Wateja Wako Na Jua Jinsi Ya Kuongea Nao, Tengeneza Mazingira Rafiki Kwa Wateja Kufika, Mimi Kwangu Nimefanya Haya

UCHANGAMFU
KINYWAJI WAKATI MTEJA ANASUBIRI KIFAA CHAKE
USAFI WA OFISI
FOMU YA MREJESHO (Mteja Atatuambia Kuhusu Huduma Zetu)
HUDUMA YA BURE KUFUATA NA KURUDISHA KIFAA (DELIVERY)

5. JITANGAZE KIDIGITALI

Tengeneza Akaunti Katika Mitqndao Ya Kijamii
INSTA, FB NA TWITTER, WhatsApp Business Acount.
Hii Itqkusaidia Sana Kwa Maana Ulimwengu Wa Sasa Asilimia Kubwa Ya Wateja Wanapatikana Online., Kwanzoni Inakuwaga Ngumu Ila Baadae Inakaa Sawa Na Utaona Kawaida.

6. ITANUE BIASHARA YAKO.

Unaweza Kuiongezea Vitu Kama Spair Za Laptop Na Simu Kama Charger, Battery, Vioo Na Storage Device, Zinasaidia Kukuza Mtaji, Na Kuifanya Biashara Yako Kubwa.

Pia Unaweza Kufanya ON SITE IS BASED REPAIR (Unaenda Kurekebisha Kifaa Alipo Mteja) Au REMOTE SERVICE (Unamuelekeza Mteja Anatuma Kifaa, Unarekebisha Na Wewe Unamtumia)

USEFUL SITES KWA WANAOTAKA KUJIFUNZA

Youtube: SORIN REPAIR SCHOOL, LOUIS ROUSMAN NA IFIXIT






Software Za Simu:


Google.

Wanaohitaji Software Za Kuflash Na Ku Unlock Simu
CRACKED VERSION ONLY
Download Kwenye Hii Link Ya Google Drive



Kwa Wasio Wavivu Kusoma Vitabu Unaweza Kupitia Vitabu Hapo Chini

MOST PAID JOBS

1. Motherboards Repair
2. Screen Replacement
3. Data Recovery
4. Windows Instalation
5. Phone Unlocking & Flashing

Tuendeleze Mjadala

ASANTENI

SOMA HAPA CHINI DARASA LIMEANZA




Uko vizuri ntakutafuta pm tuyajenge...
 
Asante sana mkuu kwa huu uzi, niko interested sana sana sana na inshu za kompyuta repairing. Uliwezaje kujifunza online? Mimi nilishindwa japo nilidownload documents za training na vifaa ila haikukaa kichwani sijui labda kama kutotilia maanani sana au la.
Kuna site za online zinazotoa training kwa kiswahili?
Mkuu kama ulishindwa kuelewa electronics basis unahitaji msaada, tuwasiliane nikuandalie tutorial ya kiswhili(electronics science ie digital electronics,analogue electronics,digital components) mi ni mfizikia sio sio injinia ila electronics theory tumeichapa sana hivyo vitu kama semiconductor devices havinipi shida.
Mafundi wengi hawataweza kuelewa mother board kwa sababu it is purely science nao waliishia 7.
Hata hivyo nina mpango wa kuanzisha website ambapo nitatoa msaada wa hizo kitu kwa lugha nyepesi hata mtu alie ishia la 2 aelewe na aboreshe kazi yake.
 
Mkuu kama ulishindwa kuelewa electronics basis unahitaji msaada, tuwasiliane nikuandalie tutorial ya kiswhili(electronics science ie digital electronics,analogue electronics,digital components) mi ni mfizikia sio sio injinia ila electronics theory tumeichapa sana hivyo vitu kama semiconductor devices havinipi shida.
Mafundi wengi hawataweza kuelewa mother board kwa sababu it is purely science nao waliishia 7.
Hata hivyo nina mpango wa kuanzisha website ambapo nitatoa msaada wa hizo kitu kwa lugha nyepesi hata mtu alie ishia la 2 aelewe na aboreshe kazi yake.
Fanya hivyo mkuu

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Nimemfatilia mtaalam Sorin, anasema msingi mzuri wa kujua vizuri electronics ni 'Ohms Law'.
Acha utani, labda umeme was majumbani.Electronics is a complete science. Ina mambo mengi sana.Kama huna mwalimu mzuri kuelewa nu ngumu sana, na ndio maana mpaka kesho sisi waafrika tumeshindwa kuprint Chip ambayo wachina wanapambania.Kama unaongelea simple circuit ya darasa la saba sawa ila kama levo yote, electronics ni mziki mwingine you need to crake your head.
 
Acha utani, labda umeme was majumbani.Electronics is a complete science. Ina mambo mengi sana.Kama huna mwalimu mzuri kuelewa nu ngumu sana, na ndio maana mpaka kesho sisi waafrika tumeshindwa kuprint Chip ambayo wachina wanapambania.Kama unaongelea simple circuit ya darasa la saba sawa ila kama levo yote, electronics ni mziki mwingine you need to crake your head.
Wewe labda kama unataka kutengeneza electronics zako mkuu. Mimi nazungumzia kuhusu ufundi wa kufanya repair kama kichwa cha thread kinavyosema.
 
I'm not interested in laptop or s/phone repair ila nmeupenda huu uzi kwa namna ulivyochambua biashara yenyewe from the technical part to business part, and bytheway hongera sana kwa commitment yako kwenye kujifunza electronics stuffs!
 
Hv zle tools za kufungulia kibox kinauzwa sh ngapi..?
Na ile mashine ya kusafishia simu...inatoa upepo inaitwaje na sh ngapi?
 
Back
Top Bottom