Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Wakati unaperuzi nyuzi za britanicca ulikuwa unatumia ID gani?
Na kipi kilichojufanya ufungue ID hii jana?
na kwanini upo interest sana na Ishu za diaspora?
Wee jamaa wewe ni nani kwa britanicca? Mbona umechukia sana tulivyomdiss britanicca kuliko alivyochukia yeye?
uzi wa brita... mbona hajaucomment wala kuonesha kumpa ushauri...
 
Are you britanicca? was the one who supposed to appeal on this and not you bro. Kama yupo aje hapa aseme sio tapeli na hajachukua usd 120 kwa Eng Mose.


1. Britanicca alinambia yupo Uganda
Akanipa namba +256755522898
Muda huo huo siku hiyo akamwambia Eng Mose yupo Dubai akampa +971523328490
Kuna mwingine akapewa hii 0755522898 alimwambia yupo bongo.
Sio hizi tu alitoa namba zaidi ya tano kwa watu tofauti tofauti.

Hizo namba last seen zake ni since 17. Jan na ndiyo siku aliyopiga pesa. Ukitaka kuhakikisha vingine njoo inbox acha kuharibia watu uzi kwa kutetea utapeli.

Ukitaka screenshot ya taarifa zingine nifuate inbox.
Pretend inferiority and encourage his arrogance. how mtu mmoja kuwa na namba 5 na zote zinapatikana ? tena za chi mbalimbali acheni uongo hv ulivyoandika nani anashindwa kuandika ?The main part of intellectual education is not the acquisition of facts, but learning how to make facts live.
 
Are you britanicca? was the one who supposed to appeal on this and not you bro. Kama yupo aje hapa aseme sio tapeli na hajachukua usd 120 kwa Eng Mose.


1. Britanicca alinambia yupo Uganda
Akanipa namba +256755522898
Muda huo huo siku hiyo akamwambia Eng Mose yupo Dubai akampa +971523328490
Kuna mwingine akapewa hii 0755522898 alimwambia yupo bongo.
Sio hizi tu alitoa namba zaidi ya tano kwa watu tofauti tofauti.

Hizo namba last seen zake ni since 17. Jan na ndiyo siku aliyopiga pesa. Ukitaka kuhakikisha vingine njoo inbox acha kuharibia watu uzi kwa kutetea utapeli.

Ukitaka screenshot ya taarifa zingine nifuate inbox.
brita.JPG
britaa.JPG
btra.JPG
 
Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania It is hard to imagine a more stupid or more dangerous way of making decisions than by putting those decisions in the hands of people who pay no price for being wrong.Wote waliokuja huku wametoka hapa jamaa alikuja na mipango mizuri sana but mwisho wa siku walimwita tapeli, lakini ukiwauliza walitapeliwa ni kina nani au wangapi hakuna jibu. The difference between stupidity and genius is that genius has its limits how can you trust mtu ambae umjui just umekutana nae JF with fake id unamkabidhi mtoto wa watu ? izzo think twice brother

Acha wenge wewe, watu tumetapeliwa na huyo jamaa ako unaleta blah blaah hapa
 
Hahahahahahahahah When you have the facts on your side, argue the facts. When you have the law on your side, argue the law. When you have neither, holler but izzo i know you have brain you can think and take action usifanye ujinga ambao utakuja kujuta daima watoto wa watu usiwafanye kama mbuzi unawapeleka kwenye mnada
Ninakupa nusu saa ufungashe virago ktk uzi huu vinginevyo nitakudhalilisha nyani wewe!! Mwanaume unakua pashkuna na mjiroho wa kichawi namna hii bora ukafie baharini...

Jamani wengine mliopo ktk uzi huu naomba nifunge naye huyu mbwa asitokee mwingine wa kumjibu huyu mtu namjua na amekuja hapa purposely...

Please ignore him....

_________________________________________
 
Duuh huyo jamaa boya saana STUNTER.
Mimi nimebaki tu nacheka, asamehewe bure jamani. Kuna watu wana roho za hivyo, hawezi saidia mtu na akiona mtu anasaidiwa anaumia! Huyu ni mwenyeji sana tu, na atakuwa alikuwepo humu toka mnakasha unaanza ila kaona afungue ID nyingine ili asitambulike. Nimemshangaa kiasi ila anafurahisha pia.
 
Mimi nimebaki tu nacheka, asamehewe bure jamani. Kuna watu wana roho za hivyo, hawezi saidia mtu na akiona mtu anasaidiwa anaumia! Huyu ni mwenyeji sana tu, na atakuwa alikuwepo humu toka mnakasha unaanza ila kaona afungue ID nyingine ili asitambulike. Nimemshangaa kiasi ila anafurahisha pia.
P acha tu.
Ila ndivyo dunia ilivyo.
 
Nataka niende botswana nikaanzishe biashara huko je nifaate utaratibu upi?
Je itanibidi niaandae mtaji kama wa shilingi ngapi za tanzania?
Ni mitaa ipi nitatoboa kwa jiji la gaborone na biashara ipi italipa zaidi?
Je vitu gani niandae kabla ya kwenda?
Botswana ni ngumu sana kutoboa kabiasharA labda uende sauzi au Namibia
 
Kwa hilo umekurupuka brother.
And if that is what make you shout I can justify. You're right 99% tumetoka kwenye huo uzi Daby ganja gal STUNTER tombstone cognition Dumelang na wengineo.

Nani alitufuata kuuliza tumetapeliwa nin tukashindwa kujibu? Ulimfuata nani inbox? mimi sikujui na haujawahi kuniuliza haya maswala. No one asked for proof. Kuna uzi alishaanzisha Dr. Adams faida alielezea kuhusu huo utapeli. Kwa taarifa zako mimi ndiye niliyewaambia wenzangu britanicca ni tapeli na chatting zangu na yeye zipo inbox japo sikumpa pesa yoyote wenzangu wawili ndiyo walitapeliwa ninaye mkumbuka ni Eng Mose. Ukitaka uthibitisho utapewa.

Angalia, britanicca kampiga mtu pesa tarehe 16 January. Na tokea hiyo tarehe I'd yake haija login jf mpaka na leo. Kama britanicca yupo sasa hivi aje aseme hakuwaibia watu.

alitumia namba zaidi ya 5 kwa watu tofautitofauti na kila mtu anamwambia location tofauti mara yupo norway mara yupo dubai mimi alinambia yupo uganda. Sasa kusema tumeshindwa kusema tulichotapeliwa na britanicca na wakati hakuna aliyeulizia nakuona unaharibia watu fursa mzee.

Pia, haihitaji uwe CIA kushindwa kugundua britanicca katelelo na @dr RWEYENDERA ni mtu mmoja. Uzi wake ulikuwa mzuri and very useful to many of us. But his target was to fool us. Ukitaka uthibitisho sema .ila acha kuconclude fallacy bro.
Mkuu [HASHTAG]#Daby[/HASHTAG] mpaka sasa nahisi huyu mgaka12 ndiyo britanicca kwa maana hana hoja yenye mashiko juu ya lile alitakalo eti watu wasisaidiwe mi naona hakukuwa na maana yoyote ya kuweka vizuizi bila kutoa sababu zenye kuingia akilini mwetu ili jamaa asitusaidie.
Kitu kingine hii ni nguvu ya watu wengi na wenye malengo dhabiti juu ya hili lipo mbele yetu ili mradi kundi la watu kadhaa lifanikiwe naamini na wengine tutafuaata.
Mkuu mgaka12 wewe ni binadamu na we pia unamapungufu yako hivyo kwa namna moja ama nyingine upo sahihi.
Watu kama nyinyi kwenye jamii lazima muwepo ili kuleta changamoto kwa watu ili wafeli mipango yao ama muwazidishie speed.
Tangu uzi uanze niliamini tu kuna mtu au watu watakuja kuweka magogo kwenye uzi huu ili mambo wayavuruge lakini naamini hii team iliyopo ni watu wenye misimamo.
Mkuu [HASHTAG]#izzo[/HASHTAG] mpaka kuamua kuja kutoa msaada kwa ndugu zake najua kuna mazingira ambayo anayaandaa kwanza mpaka sasa kama ulikuwa hujui kuna watu wanapigwa michujo wapatikane watu wanaostahili hili swala izzo kashalizungumzia.

Mwisho mkuu naomba utuache tupambane kwa hili lililopo kama ingependeza ungetoa maoni ya kusapoti na siyo ulivyokuja umefura kuweka vingingi.
Kuna wengine tumejifunza vitu vingi na tupo kwenye hatua nzuri ya kwenda kufanikisha hivyo basi tunakuomba sana utuachie hili swala kwa maana umelikutia katikati hujui watu wametumia nguvu gani mpaka kulifikisha hapa.
Ndugu zangu naombeno tuendelee kushikamana mtu mmoja asituangushe lazima tufanikishe.
 
mm namusoma tu ila nahusi hatuwez kuforce watu wote kuwa perfect, bt lazima huu moto uliowashwa usaidie vijana kama wenzetu wa Nigeria, kenya nk wanavyovushana! Wangefikilia hizi changamoto leo hii wasingekuwa mfano km tunavyowajadili....unavyoplan kufanya jambo lifanye ili matokeo uyaone mwenyewe sio kuendekeza fear of unknwn
True mkuu, naamini the best investment us to invest to people though return sio lazima iwe 100%

Tuwatie shime our comrades wasife moyo
 
Mkuu [HASHTAG]#Daby[/HASHTAG] mpaka sasa nahisi huyu mgaka12 ndiyo britanicca kwa maana hana hoja yenye mashiko juu ya lile alitakalo eti watu wasisaidiwe mi naona hakukuwa na maana yoyote ya kuweka vizuizi bila kutoa sababu zenye kuingia akilini mwetu ili jamaa asitusaidie.
Kitu kingine hii ni nguvu ya watu wengi na wenye malengo dhabiti juu ya hili lipo mbele yetu ili mradi kundi la watu kadhaa lifanikiwe naamini na wengine tutafuaata.
Mkuu mgaka12 wewe ni binadamu na we pia unamapungufu yako hivyo kwa namna moja ama nyingine upo sahihi.
Watu kama nyinyi kwenye jamii lazima muwepo ili kuleta changamoto kwa watu ili wafeli mipango yao ama muwazidishie speed.
Tangu uzi uanze niliamini tu kuna mtu au watu watakuja kuweka magogo kwenye uzi huu ili mambo wayavuruge lakini naamini hii team iliyopo ni watu wenye misimamo.
Mkuu [HASHTAG]#izzo[/HASHTAG] mpaka kuamua kuja kutoa msaada kwa ndugu zake najua kuna mazingira ambayo anayaandaa kwanza mpaka sasa kama ulikuwa hujui kuna watu wanapigwa michujo wapatikane watu wanaostahili hili swala izzo kashalizungumzia.

Mwisho mkuu naomba utuache tupambane kwa hili lililopo kama ingependeza ungetoa maoni ya kusapoti na siyo ulivyokuja umefura kuweka vingingi.
Kuna wengine tumejifunza vitu vingi na tupo kwenye hatua nzuri ya kwenda kufanikisha hivyo basi tunakuomba sana utuachie hili swala kwa maana umelikutia katikati hujui watu wametumia nguvu gani mpaka kulifikisha hapa.
Ndugu zangu naombeno tuendelee kushikamana mtu mmoja asituangushe lazima tufanikishe.
hayo magogo watakayo weka ndio tutakayo wapiga nayo... nazani sasa amekaa kimya baada ya kuelewa watu wa humu wamemfahamu wana data zake kama alivyo askofu wa kanisa la kufufua...
 
Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu
Mkuu, IZZO , ndg yangu nakuomba saaana unisaidie kuhusu hio kazi ya driving au kazi za ndani in New Zealand, nina vigezo vyote ulivotaja hapo juu, mimi ni dereva mzuri na sheria zote za barabarani nazijua na leseni ninayo, Pia pasport kubwa ninayo pia kwa upande wa lugha niko vizuri sana. Naomba unisaidie ntakushukuru sana ndg yangu.
 
Back
Top Bottom