Hapo ndipo roho za watanzania wengi zilipo. Kaona njia anayotumia ndugu yetu izzo wengi wataweza kufanikiwa. Daby amemwambia ukweli kama una nia hasa toa maoni yako ni njia gani itumike ili kuwe safe kwa pande zote ila yeye anang'ang'ana stop, stop. Naimani wengi wenye kuchangia hii mada ni wale wenye uhitaji. Na katika baadhi ya maneno yetu pia tumetoa onyo kwa watakaobahatika.Too bad lakini ndio ubin-adam.
Serious anajoin jf kumuonya mtu ili asitoe rizki kwa mwenzake [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Ukiachana na migodini, kuna fursa zipi kule bondeni umezionaMkuu kuhusu kipindi wanachoruhusu kukaa hata wakikuruhusu wiki mbili ww kama umeamua kwenda kutafuta maisha usijali mm nilikuwa na viza ya mwezi 1 miaka hiyo unachofanya ukifika unaenda kujilipua home affair kuomba asylum seeker usiende na passport utapata hiyo permit utakayokuwa unaenda kurenew kila baada ya miezi kadhaa kwa wakati ule unaruhusiwa kufanya kazi na kusoma unaweza kuchukua hata miaka 4 ndio uje usikilizwe kesi yako kwa ajili ya kupata status ila mara nyingine watz huwa hatupati utapewa siku za kurudi kwenu au kuapili kupinga hiyo hukumu kwa cape town tulikuwa tunaenda UCT pale kuna mawakili wanaosaidia nakumbuka baada ya kuapili nilikaa mpaka 2010 nilipoamua kuondoka mwenyewe, nadhani nitakuwa nimesaidia kidogo kama ndicho ulichotaka kujua
unachojitetea hapa ni ujinga. Hata uwe nazo 10 zinapatikana ili mradi uwe na simu. Mchina ana simu za laini mbili je unashindwa kuweka ya uganda na tz hata dubai. Shame on you!!!!Pretend inferiority and encourage his arrogance. how mtu mmoja kuwa na namba 5 na zote zinapatikana ? tena za chi mbalimbali acheni uongo hv ulivyoandika nani anashindwa kuandika ?The main part of intellectual education is not the acquisition of facts, but learning how to make facts live.
Hapo ndipo roho za watanzania wengi zilipo. Kaona njia anayotumia ndugu yetu izzo wengi wataweza kufanikiwa. Daby amemwambia ukweli kama una nia hasa toa maoni yako ni njia gani itumike ili kuwe safe kwa pande zote ila yeye anang'ang'ana stop, stop. Naimani wengi wenye kuchangia hii mada ni wale wenye uhitaji. Na katika baadhi ya maneno yetu pia tumetoa onyo kwa watakaobahatika.
Nadhani ifike muda ndani ya mada tuweke vigezo fulani. Maana katika safari kuna wenye nia hasa na kuna wakatisha tamaa. Asanteni sana lusungo, stunter, adam, izzo, daby na wengine wote tulioshiriki kumdadavua kevin. Pia pawepo na utaratibu wa kuwajibu wale ambao ni wageni ndani ya mada yetu. Tuko tukiianza tokea mwanzo na tulikuwa tunajadiliana na kupeana maoni, changamoto na hata kutahadharishana kuhusiana na msaada ambao wenzetu wamepanga kutusaidia. Tukisimama kidete na kuungana na kuwa kitu kimoja tutafanikiwa. Mungu atawaleJamani humu ndani hakuna aliewahi kusafiri kwa njia za meli?? Kuna maswali nataka nimuulize,
We are all born ignorant, but one must work hard to remain stupid hivi wewe unajua unachosema kweli? then nyinyi ndo mnataka kwenda kwa wazungu na akili zenu hizi , unawezaje kuwa na chip ya Dubai ,Uganda then zikafanya kazi TanzaniaUb
unachojitetea hapa ni ujinga. Hata uwe nazo 10 zinapatikana ili mradi uwe na simu. Mchina ana simu za laini mbili je unashindwa kuweka ya uganda na tz hata dubai. Shame on you!!!!
Mwambieni ukweli si kumdanganya mwezenu, kuchukua watoto wa watu then mje mfanye mambo ya ajabu ajabu lie can travel half way around the world while the truth is putting on its shoesKujikwaa siyo mwisho wa safari. Don't take it generally.
Kama wewe ni mzazi. Unaweza kumpa mtoto wako mtu uliyekutana nae online with fake id?jamani huyu jamaa hafai, ana roho mbaya hapendi wenzake wafanikiwe, Mimi navojua kila anaefuatilia uzi huu ana ndoto ya kwenda juu ndo maana anafuatilia uzi huu kwa makini ili apate njia ya kufanikisha ndoto yake, Sasa jiulize akipata njia anaweza kuiharibu ?? wakati ndo itakayomfikisha kwny ndoto yake ?????
Kwahyo unamalizia kwa kusema?Hahahahahahaha There are all kinds of stupid people that annoy me but what annoys me most is a lazy argument. Mimi ni msomaji tu wa JF kama mgeni ,sina Id nyingine na kama ipo mods waifunge The wise are instructed by reason, average minds by experience, the stupid by necessity and the brute by instinct. Wema si lazima ufanyiwe mazuri hata kumwambia ukweli mtu ni wema pia izzo mimi nimemwambia ambacho wengi wenu mmeshindwa kusema japo ukweli mnaujua
Hahahahahahha are you Max or JF shareholder? truth will set you free, but first it will piss you off.Ninakupa nusu saa ufungashe virago ktk uzi huu vinginevyo nitakudhalilisha nyani wewe!! Mwanaume unakua pashkuna na mjiroho wa kichawi namna hii bora ukafie baharini...
Jamani wengine mliopo ktk uzi huu naomba nifunge naye huyu mbwa asitokee mwingine wa kumjibu huyu mtu namjua na amekuja hapa purposely...
Please ignore him....
_________________________________________
Unaweza chukua yule mtoto wako wa kike ukampa jamaa uliyekutana nae online with fake id kukaa na mwanao miezi 3?Kwahyo unamalizia kwa kusema?
Asisaidie watu kisa wewe uliowasaidia walifanya hovyo?
Toa ushauri lakini usimkataze mtu mkuu na ikiwezekana jaribu kusaidia tena utakutana na malaika na ndo hapo utakapo shangaa kumbe sio wote wapo km wale waliokutendea ndivyo sivyo.
Mr KGB nimeshasema nimejoin JF to Tell the truth, if you don't someone will tell it for you mnataka kumfanya mwenzenu aonekane mjinga kwa jambo hili how can you do that mr izzo hivi unawezaje kufanya hv wanaokusifia hapa moyoni wanakuona mjinga kubeba msalaba kwa watu ambao hata uwajui, kama ni watu wema kweli hapa kuna wezi,vibaka,wasomi JF imebeba watu wote unaowajua so what if unampatia mtu mtoto wa watu then usiku akambaka asubuhi akatoroka kwani nyumba amepanga si yake then kamwibia kila kitu , utawambia nini wazazi wake ?
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahaha washinde wenyewe tu mi hapa nilipo nimmewakusanya na wote wanaamini nawapenda kikubwa ni kujari tu maana ninapochati nao huku ikiwa usiku kule kwao ni mchana na ninapowaaga nilale wote kwa pamoja nawaaga nalala muda ninaoamka ndio muda wanaolala basi hua nawahi kuwasiliana nao asubuhi yangu ili usiku wao uwe mzuri na kuwalaza unono basi wananogewa
Hapa ndiyo nimekupuuza kabisa. Unategemea hizo id ndizo zitakazofanya kazi baadae? Poor you. Pia kuhusu chip usifikiri wote ni wajinga, chip hata ya tz unaweza kuitumia nje ya nchi kama kuna mtandao sawa.mfano ukiwa na voda tz kenya inakuwa sasatel utatumia chip hiyo hiyo. Acha ujingaKama wewe ni mzazi. Unaweza kumpa mtoto wako mtu uliyekutana nae online with fake id?
Mkuu it is better you stop this as long as you have played your part and done. Please, we are no longer wishing to receive and read those kind of the posts that aim at pushing down all the efforts being made a long way ago.Unaweza chukua yule mtoto wako wa kike ukampa jamaa uliyekutana nae online with fake id kukaa na mwanao miezi 3?
Hahaha, u nailed it mkuuKabisaa tena anachukia kuona uzi huu utadhani anachangia figo bila malipo
Haya tuachane na habari za hostingTahadhari without truth is like Stupidity combined with arrogance and a huge ego will get you a long way