Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Humu watu wapo makini sana, wee hujiulizi britanicca amejulikanaje?
 
Hakika mkuu naanza kuamini kwann watanzania hatupeani sapoti kumbe ni choyo na roho ya Kwanini.

Nliwahi kuona one family, jamaa ndie ana uwezo kwenye family yao sasa unaambiwa hataki kuwainua wengine ili wainuke maana wakiinuka lazima atapata watu wa level yake
 
Hii issue ilishaisha jana kuendelea kumjibu nikumpa kichwa .

Please msimqoute huyu jamaa. Please.
 
Mkuu IZZO nakukumbusha tena ndg yangu naomba unisaidie jinsi ya kupata hio kazi ya driving in New Zea land ntakushukuru saana mkuu, vigezo vyote ulivotaja ninavyo. Ntakushukuru saana Mkuu.
Get blessed mkuu, na wote walioomba hakika hili swala lifanikiwe Inshaallah
 
Mi ndo naingia sa hizi nasoma post za nyuma nakutana na chizi
Kuna watu cjui wametokea sayari isiyokaliwa na viumbe??!!!
Asante mkuu km yaliisha.
 
Road to ulaya
Mungu ni mwema mkuu,
Kuna jamaa alikua mchezaji wa basketball shuleni one day alinambia kocha wao aliwafundisha 3Ds
1. Determination
2. Desire
3. Discipline

Naamini kupitia hizo 3Ds lazima tutoboe
 
Tufanyeje tuombe ile kazi ya mfanyakazi wa ndani.
Yaani hapa hata km una degree unatafuta pa kutokea tuu itajulikana mbele kwa mbele
Kazini naomba likizo ya bila malipo ya mwaka naenda kusoma ramani zipoje
Niunganishe mkuu mimi she ila nina degree
 
Road to ulaya
Mungu ni mwema mkuu,
Kuna jamaa alikua mchezaji wa basketball shuleni one day alinambia kocha wao aliwafundisha 3Ds
1. Determination
2. Desire
3. Discipline

Naamini kupitia hizo 3Ds lazima tutoboe
Tutatoboa mkuu, ni kuweka mipango sawa.
 
Mi nataka kujilipua niunganishe mkuu na kazi ya nanny
Huku naomba likizo bila malipo hata mwaka huku nasoma ramani.
Nikaa vizuri naomba scholarship huko huko naendeleza ndoto kuliko kukaa bongo kila siku uhakiki vyeo havipandi mshahara mdogo halafu unaitwa Afisa,Afisa my foot!!
Mi she nataka hiyo kazi 100% mwendo wa kujilipua tuu.
 
Kuhusu wanaouliza kazi za NZ hasa za Udereva na Nanny

Nanny anaitajika ni mwanamke au msichana

Dereva ni wakiume au mwanaume

Tangazo hili la kazi limetumwa kwenye Group la Whats app lililosema juzi so mnaweza kuwasiliana na muhusika mwenyewe

Kwa facebook ni Arabella Walsh
kwa email ni walsharabella@gmail.com

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Kuhusu hoja za mgaka12 nazifatilia kujiridhisha na anachosema kwani si kila kitu alichosema ni chakupuuza
yapo mengine aliyoongea yanamaana sana

Ukiwasiliana naye sema unatokea Tanzania East Africa kwani kuna wengine hawajui Tanzania inapatikana wapi

anzeni kwenye Facebook account yake
 
Kwakuwa hii inshu ni yamuhimu sana sana kwetu na kwako na kwakuwa kweli hatujuani na mada ulioileta ya kutusaidia ndugu zako tumeikubali na kuipokea kwa mikono miwili mimi binafsi nilikuwa na wazo kwamba kwawale wote walioomba kuhost wageni ambao wewe unajidhamini ili tuu kuhakikasha unatusaidia ndugu zako mimi nafikiri tuanzishe utaratibu wakujuana kwanza kwa mfano tuliopo dar tunaweza kukutana na kujuana then tukatoa mrejesho wanamna tulivyoonana na hata kama mtu hana sifa kundi hilo hapo hapo litatoa jibu kwani mtu ukimuona tuu unaweza pata picha kama ni mvutaji mambo flan au vip hata maongezi pia yanatoa picha halis ya muhusika napia wamikoani nao watafanya hivyo pia lengo nikutoa mrejesho wa uhakika na kutokuwa na hofu zaidi napia kuwa na uongoz flan wa kuwachek hawa wenyeji watakaopokea wageni hao ni mawazo yangu wakuu nawakilisha.
 
Asante mkuu ngoja nijaribu
 
Mkuu izzo angalia usiingie king,huyo mgaka ni master mind,anacheza na akili yako,ukim-trust tu anakuliza., kwani ni mtu anaejulikana,lengo lake nazani anataka watakao host walipe wasipewe bure hiyo fursa maana kashaona fursa ya pesa inataka kutolewa bure
 
Safi mkuu ngoja niingie fb
 
Nimeshawasiliana nae,kasema ana watoto wawili kwangu haina shida
So nimetuma scanned passport na CV yngu so nasubiri kuckia kutoka kwake
Thanks izzo maisha popote,Yes nina degree lakini ramani hazisomi ngoja nijitoe muhanga mimi.
 
Nimeshawasiliana nae,kasema ana watoto wawili kwangu haina shida
So nimetuma scanned passport na CV yngu so nasubiri kuckia kutoka kwake
Thanks izzo maisha popote,Yes nina degree lakini ramani hazisomi ngoja nijitoe muhanga mimi.
Safi sana Shyshii.
 
Wazo zuri sana Mkuu Saidy Hamidu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…