Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ohoo si unaona hapa tunajifunza hata procedures! Hebu ngoja tuone wengine wanasemaje? Bt nahisi huyo muhitaji hana budi kumuita kwa docus maalum ili huyu dada aitumie kama sbabu ya kuombea ruhusa ya kuishi (visa) huko aendako.
Hapa kunashule hutakiwi kuikosa kabisa, kama kunajambo linakutatiza hujawaza kuuliza mara unakatana na majibu ambayo unajibia maswali yako yote hata ambayo hukuwahi kiwaza.

Hii ndio thread inayounganisha watu waiana zote, rangi zote, makabila yote, dini na wasio na dini. Hii ni nyizi ya wajanja waliopata elimu ya imani na kusaidia watu bure kabisa, kabisa.

Baraka zinazoshuka humu hazijawahi kushuka kwa jambo lolote katika nchi hii ya wenye vinyongo na roho mbaya. Na kila anayejaribu kutia pua kutaka kitiharibia anakula za usso anasepa.

Hongoreni vijana, wazee mliojitolea kuchukua muda wenu. Wanaopata fursa msituangushe, na hakuna kusita ukaanza kujiuliza sijui itakuwaje. Ukiipata shirikisha wenzako humu ili upewe a,b,c zakushika mkononi na kukuongezea ujasiri na umakini.

TWENDE KAZI..........
 
Naanza process za visa wapendwa uwiii its a nightmare to me
kwanza kabisa mshukuru Mungu kwa kukupa uzima na ujasiri, pia mshukuru izzo kwa kuwa na moyo wa upendo na hari ya kusaidia watanzania wenzake. am sure kama izzo angekuwa na moyo mdogo kwa maneno ya kevin nadhani asingeweza kuendelea na sisi hapa jukwaani. tuliza akili kidogo ili uweze kujaza kila kitu kwa ufasaha

ubarikiwe sana izzo ,stunter,daby,lusungo,kirikou,kavel na wengineo tunaowatakia wenzetu mafanikio. wao mbele sisi nyuma.
 
Umezungumza kweli Compact. Tunasali kulinda na kuondoa ubaya wote na akili chafu, kwa wote wenye nia ya dhati. Nina amini kila kwenye na mwenye nia, uchafu wote hujitenga.
 
Mwambie akutumie invitation letter, then ukienda Migration fasta wanakupa Passport( kama huna) then unafanya maswala ya visa ubalozini, easy unang'oa,,,, kama nitakuwa nimekosea wakuu watakuja kunicorect
Amesema hata akituma hawatakubali
Alishafanya hivyo ila huwa zina decline, so anatumia ma agent wa huko huko
 
nani amewaambia huku nje mnahitajika,Tuliendi bongo mtengeneze nchi yenu ,Watazania bana
 
Mkuu Marveljt, imani thabiti kwa jambo fulani. Ndio nguzo ya kufanikisha jambo hilo. Na muhimu zaidi, ni imani kuu kwa MUUMBAJI wetu. Mkuu Izzo angelikuwa na imani haba, Nina uhakika hata wazo la kuandika yote aliyoandika hapa, lingemtoka. Nawashukuru sana Mkuu Lusungo, Richard na wengine wote kwa kuimarisha Uzi huu.

PAMOJA NA KWA IMANI KUU, TUNASHINDA.
 
Umenikumbusha siku hiyo ndo naenda kupanda Airbus 380-300 jmn niliotaaa nikawa nawaza itakuaje kupanda dege kubwa hivyo kwa mara ya kwanza ndo zinawikaaaa.... Basi nikawa naota nachelewa ndege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thanks Richard please endelea kuniombea nifanikiwe
Siendi kufanya u sister duu,najua nilichoacha nyuma,najua natakiwa kuongeza elimu.
 
usife moyo. naimani hiyo umeandikiwa wewe na iko kwa ajili yako. kati ya wote tulioko hapa naimani kuna wengine ambao pia walituma baada ya izzo kuileta hii ishu hapa, lakini wewe umekuwa selected. hivyo kaza moyo dada. tutafika tuko nyuma yako.
Amesema hata akituma hawatakubali
Alishafanya hivyo ila huwa zina decline, so anatumia ma agent wa huko huko
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Umenikumbusha siku hiyo ndo naenda kupanda Airbus 380-300 jmn niliotaaa nikawa nawaza itakuaje kupanda dege kubwa hivyo kwa mara ya kwanza ndo zinawikaaaa.... Basi nikawa naota nachelewa ndege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…